Mnaodhani Rais Samia ataikomboa na kuleta maendeleo basi mnajidanganya mtakuja kuniprove siku moja

Mnaodhani Rais Samia ataikomboa na kuleta maendeleo basi mnajidanganya mtakuja kuniprove siku moja

Umeandika ujinga mwiiingi kwa msingi wa Chuki.Sio kazi ya Rais kukukomboa wewe hapo,usipofanya kazi kwa kujifunza utaishia kulalamika kutwa kucha unless utuambie Rais aliyekukomboa wewe na kulikomboa Taifa Ni yupi?


Rais anatimiza majukumu yake ya kikatiba ya kuwezesha shughuli zako kuwa na ahueni,usipochungulia fursa itakukata..

Mojawapo ya Hilo jukumu Ni Hili la kuboresha huduma.za Afya Nchi nzima.mfani Sasa Hospital zote za Mikoa Zina CT Scan toka Uhuru haijawahi tokea 👇
Screenshot_20221212-182913.png
Mnaodhani ipo siku rais Samia ataleta maendeleo au kulikomboa hili taifa mtasubiri sana

Hata kama atashinda hadi 2030 urais bado hamna jipya atakalofanya nakuambia mtakuja kuukumbuka huu uzi amini nawaambia

Hakuna atakachokifanya nawaambia na hakuna atakachokifanya cha maana

Kwanza hana dhamira....pili sio mtendaji....Tatu hana team work ya kazi ni watu wa kujipimia, kusifia tu na cheap politics ndo waliomzunguka

Hana support ya watanzania wa kawaida, leo hii wanamkubali nchi nzima hata asilimia 4% hawafiki ukiachana na viongozi na makada ambao moyoni mwao ni mbali lakini wanajua wanamsifia tu siku ziende

Hakuna cha maana atakachokifanya huyu mheshimiwa zaidi tujiandae tu na misukosuko ya kila aina...
 
Kuna ukweli kwenye hoja yako lakini iliyojengwa kwenye msingi usio sahihi.

Kwa mfumo wa utawala uliopo sasa, hakuna mtu yeyote anayweza kuleta mabadiliko makubwa ya kimaendeleo kwa Tanzania.

Kiongozi pekee atakayeleta mabadiliko makubwa kwa Tanzania ni yule tu atakayeachana kabisa na mifumo ya sasa ya kiutawala, na kujenga mifumo mipya, kwa kuanzia na utengenezaji wa katiba mpya, mifumo mipya, halafu sheria mpya zitakazolinda hiyo katiba mpya na mifumo mipya.

Kumtegemea Rais Samia afanye maajabu chini ya mifumo hii mibaya ya utawala, itakuwa ni kumwonea. Sisi wananchi tulistahili kunyanyuka na kumwambia kuwa tunataka katiba mpya, mifumo mipya na sheria mpya za kusimamia mabadiliko.
 
Mnaodhani ipo siku rais Samia ataleta maendeleo au kulikomboa hili taifa mtasubiri sana

Hata kama atashinda hadi 2030 urais bado hamna jipya atakalofanya nakuambia mtakuja kuukumbuka huu uzi amini nawaambia

Hakuna atakachokifanya nawaambia na hakuna atakachokifanya cha maana

Kwanza hana dhamira....pili sio mtendaji....Tatu hana team work ya kazi ni watu wa kujipimia, kusifia tu na cheap politics ndo waliomzunguka

Hana support ya watanzania wa kawaida, leo hii wanamkubali nchi nzima hata asilimia 4% hawafiki ukiachana na viongozi na makada ambao moyoni mwao ni mbali lakini wanajua wanamsifia tu siku ziende

Hakuna cha maana atakachokifanya huyu mheshimiwa zaidi tujiandae tu na misukosuko ya kila aina...
KAMA Maendeleo yameshindikana kwa Miaka 60 ndio yatawezekana kwa Miaka 5 au 10?
 
Kwani ni wapi nilishawahi kumpenda mwendazake[emoji23] kwa lipi haswa

Samia kumuweka kwenye profile ilikua ni sahihi maana siku 100 za mwanzo.alificha makucha sahivi vipi??
Wewe ni mpumbavu!

Ulikuwa unamshabikia Samia sababu ya udini tu basi.
 
Ni kweli mambo yatakuwa kawaida kawaida tu lakini nafuu mama kuliko JPM.
 
Mnaodhani ipo siku rais Samia ataleta maendeleo au kulikomboa hili taifa mtasubiri sana

Hata kama atashinda hadi 2030 urais bado hamna jipya atakalofanya nakuambia mtakuja kuukumbuka huu uzi amini nawaambia

Hakuna atakachokifanya nawaambia na hakuna atakachokifanya cha maana

Kwanza hana dhamira....pili sio mtendaji....Tatu hana team work ya kazi ni watu wa kujipimia, kusifia tu na cheap politics ndo waliomzunguka

Hana support ya watanzania wa kawaida, leo hii wanamkubali nchi nzima hata asilimia 4% hawafiki ukiachana na viongozi na makada ambao moyoni mwao ni mbali lakini wanajua wanamsifia tu siku ziende

Hakuna cha maana atakachokifanya huyu mheshimiwa zaidi tujiandae tu na misukosuko ya kila aina...
Kweli tupu sahivi anaenda mwaka 3 hajaanzisha mradi wowote wa maana zaidi ya kwenda kufungua miradi ya marehemu
 
Tatizo la madarasa nchi hii halitaisha bila kudhibiti kasi ya watu kuzaliana. Wastani wa mwanamke wa Kitanzania kuzaa ni watoto 5 wakati wastani wa dunia ni watoto 2.
Anatatua tatizo la madarasa na kila mtoto tz atafika sekondari,anamalizia bwawa rufiji,anajenga sgr,anaajiri,vituo vya afya/hospitali, barabara,ruzuku lukuki kilimo kimnyanyua mkulima,kinyerezi anasonga nayo..we unasema hatofanywa/hafanyi kitu,unatembea kichwa chini miguu juu!?
 
Kwa hiyo kodi, tozo zote na mapato mengine ya rasilimali za nchi hii zinazokusanywa ni kwa ajili ya kulipa wanajeshi, polisi na Usalama tu?
Maendeleo jiletee wewe mwenyewe..
Mradi ahakikishe kuna usalama na amani... maendeleo siku zote wananchi wanajiletea wenyewe
 
hueleweki akomboe nini, hii nchi imeshapata uhuru miaka 61 iliyopita. Maendeleo unamaanisha nini, au hujui maana ya maendeleo? Aje akujengee? We una lako jambo. Huoni miradi iliyosambaa nchi nzima? Km umetumwa waambie wameshindwa na walegee!
Tunataka maji na umeme wa uhakika.
Tunataka barabara za lami vijijini na mitaani.
Tunataka Hospital bora zisizo na misongamano na zenye mazingira mazuri.
 
Anatatua tatizo la madarasa na kila mtoto tz atafika sekondari,anamalizia bwawa rufiji,anajenga sgr,anaajiri,vituo vya afya/hospitali, barabara,ruzuku lukuki kilimo kimnyanyua mkulima,kinyerezi anasonga nayo..we unasema hatofanywa/hafanyi kitu,unatembea kichwa chini miguu juu!?
Wewe ulisikia wap
 
Anatatua tatizo la madarasa na kila mtoto tz atafika sekondari,anamalizia bwawa rufiji,anajenga sgr,anaajiri,vituo vya afya/hospitali, barabara,ruzuku lukuki kilimo kimnyanyua mkulima,kinyerezi anasonga nayo..we unasema hatofanywa/hafanyi kitu,unatembea kichwa chini miguu juu!?
Labda wanataka aibebe hii nchi mgongoni kwake ndiyo wataridhika.
 
Tunataka maji na umeme wa uhakika.
Tunataka barabara za lami vijijini na mitaani.
Tunataka Hospital bora zisizo na misongamano na zenye mazingira mazuri.
Kama haikuwezekana kwa miaka 59 itawezekana kwa miaka 2 aliyokaa yeye? Aweke maji, umeme, barabara wakati hata kulipa kodi hamutaki.

Munanishangaza sana watz
 
Tatizo la madarasa nchi hii halitaisha bila kudhibiti kasi ya watu kuzaliana. Wastani wa mwanamke wa Kitanzania kuzaa ni watoto 5 wakati wastani wa dunia ni watoto 2.
Mbona limemalizwa,ni suala la projection tu,ndiyo maana ya sensa
 
Mnaodhani ipo siku rais Samia ataleta maendeleo au kulikomboa hili taifa mtasubiri sana

Hata kama atashinda hadi 2030 urais bado hamna jipya atakalofanya nakuambia mtakuja kuukumbuka huu uzi amini nawaambia

Hakuna atakachokifanya nawaambia na hakuna atakachokifanya cha maana

Kwanza hana dhamira....pili sio mtendaji....Tatu hana team work ya kazi ni watu wa kujipimia, kusifia tu na cheap politics ndo waliomzunguka

Hana support ya watanzania wa kawaida, leo hii wanamkubali nchi nzima hata asilimia 4% hawafiki ukiachana na viongozi na makada ambao moyoni mwao ni mbali lakini wanajua wanamsifia tu siku ziende

Hakuna cha maana atakachokifanya huyu mheshimiwa zaidi tujiandae tu na misukosuko ya kila aina...
Yote hayo ni kosa la jk kutupendekezea makamu kilaza. Jpm angekua na mtu wake aliyemuamini Hussein Mwinyi saa hizi tusingekua kwenye mashaka.
Samia hana vision sio mjamaa sio mwanamapinduzi mentality yake ni utegemezi kuombaomba na kukopa.
Akili yake imejaa ubinafsi na ndio maana hawezi kutumia sheria zilizopo kubana wafanya biashara walipe kodi. Eti hataki kodi za nguvu wakati ni sheria imewekwa kubana wakwepa kodi. Na eti hataka nidhamu ya woga utafikiri nidhamu ya woga haina faida. Yote ni kuwapa washikaji wake green light wapige hela ya umma.
Nilipobaki hoi ni pale aliporuhusu vigogo wale kufuatana na urefu wa kamba zao.
 
- kwamba hana dhamira uko sahihi -100% ingawa mwanzoni kabisa wakati anapokea kijiti alikuwa nadhamira ila sasa ilipo potelea sijui.
-Kwenye hilo la kuto kuwa na team work uko sahihi 100% hajui nani rafiki na nani adui na sidhani kama anatahadhari nao
-Hilo la kwamba Sio mtendaji uko sahihi 100%
-kuto kukubalika uko sahihi kabisa 100% na kundi kubwa lina mkubali nilile linalo nufaika kutokana na uwepo wake madarakani.
Kabisa
 
Mnaodhani ipo siku rais Samia ataleta maendeleo au kulikomboa hili taifa mtasubiri sana

Hata kama atashinda hadi 2030 urais bado hamna jipya atakalofanya nakuambia mtakuja kuukumbuka huu uzi amini nawaambia

Hakuna atakachokifanya nawaambia na hakuna atakachokifanya cha maana

Kwanza hana dhamira....pili sio mtendaji....Tatu hana team work ya kazi ni watu wa kujipimia, kusifia tu na cheap politics ndo waliomzunguka

Hana support ya watanzania wa kawaida, leo hii wanamkubali nchi nzima hata asilimia 4% hawafiki ukiachana na viongozi na makada ambao moyoni mwao ni mbali lakini wanajua wanamsifia tu siku ziende

Hakuna cha maana atakachokifanya huyu mheshimiwa zaidi tujiandae tu na misukosuko ya kila aina...
2030 kote huko tunaanza na haya hapa kwanza then useme wewe ni ya maana au sio ya maana

1.https://www.instagram.com/p/CowxGFZjfGV/?igshid=YmMyMTA2M2Y=
 
- kwamba hana dhamira uko sahihi -100% ingawa mwanzoni kabisa wakati anapokea kijiti alikuwa nadhamira ila sasa ilipo potelea sijui.
-Kwenye hilo la kuto kuwa na team work uko sahihi 100% hajui nani rafiki na nani adui na sidhani kama anatahadhari nao
-Hilo la kwamba Sio mtendaji uko sahihi 100%
-kuto kukubalika uko sahihi kabisa 100% na kundi kubwa lina mkubali nilile linalo nufaika kutokana na uwepo wake madarakani.
Huwa siandikii mate ila vitendo

Tatu
 
Back
Top Bottom