Mnaodhani Rais Samia ataikomboa na kuleta maendeleo basi mnajidanganya mtakuja kuniprove siku moja

Mnaodhani Rais Samia ataikomboa na kuleta maendeleo basi mnajidanganya mtakuja kuniprove siku moja

Kuna ukweli kwenye hoja yako lakini iliyojengwa kwenye msingi usio sahihi.

Kwa mfumo wa utawala uliopo sasa, hakuna mtu yeyote anayweza kuleta mabadiliko makubwa ya kimaendeleo kwa Tanzania.

Kiongozi pekee atakayeleta mabadiliko makubwa kwa Tanzania ni yule tu atakayeachana kabisa na mifumo ya sasa ya kiutawala, na kujenga mifumo mipya, kwa kuanzia na utengenezaji wa katiba mpya, mifumo mipya, halafu sheria mpya zitakazolinda hiyo katiba mpya na mifumo mipya.

Kumtegemea Rais Samia afanye maajabu chini ya mifumo hii mibaya ya utawala, itakuwa ni kumwonea. Sisi wananchi tulistahili kunyanyuka na kumwambia kuwa tunataka katiba mpya, mifumo mipya na sheria mpya za kusimamia mabadiliko.
Ukweli au siyo?

Nchi nzima ni Samia kaweka CT scans

5.https://www.instagram.com/p/Cotn0MfD0_I/?igshid=YmMyMTA2M2Y=
 
Kweli tupu sahivi anaenda mwaka 3 hajaanzisha mradi wowote wa maana zaidi ya kwenda kufungua miradi ya marehemu
Uko sahihi hajaanzisha mradi wowote miradi kama hii mama Yako kaanzisha.

7.https://www.instagram.com/p/Cooit9ljgaT/?igshid=YmMyMTA2M2Y=
 
Yote hayo ni kosa la jk kutupendekezea makamu kilaza. Jpm angekua na mtu wake aliyemuamini Hussein Mwinyi saa hizi tusingekua kwenye mashaka.
Samia hana vision sio mjamaa sio mwanamapinduzi mentality yake ni utegemezi kuombaomba na kukopa.
Akili yake imejaa ubinafsi na ndio maana hawezi kutumia sheria zilizopo kubana wafanya biashara walipe kodi. Eti hataki kodi za nguvu wakati ni sheria imewekwa kubana wakwepa kodi. Na eti hataka nidhamu ya woga utafikiri nidhamu ya woga haina faida. Yote ni kuwapa washikaji wake green light wapige hela ya umma.
Nilipobaki hoi ni pale aliporuhusu vigogo wale kufuatana na urefu wa kamba zao.
Vitendo vinaongea
 
Watu mnataka tujaze Seva Bure
Ujenzi tuu wa viwanja vya ndege vinavyoendelea ni

Kigoma
Songea
Iringa
Mwanza
Dodoma
Arusha
Moshi

 
Miradi ya ujenzi wa Barabara za lami inayoendelea ni Mingi kiasi kwamba kuiweka Kila Moja tutajaza Seva.

Mbeya
Kigoma
Katavi
Njombe
Kagera
Dodoma
Rukwa
Songwe
Singida
Mtwara
Mara

 
ChoiceVariable jamaa,hayo ni madudu gani unaweka!!?? Naona links tu ambazo zinanipeleka kwenye madudu nisiyoyajua.

Kwa nini usiweke vitu vinavyoonekana badala ya links!!???
 
Mumeo kaanzisha
Na Bado utaaibika sana
Screenshot_20230219-112603.jpg
Screenshot_20230219-085222.jpg
 
Mnaodhani ipo siku rais Samia ataleta maendeleo au kulikomboa hili taifa mtasubiri sana

Hata kama atashinda hadi 2030 urais bado hamna jipya atakalofanya nakuambia mtakuja kuukumbuka huu uzi amini nawaambia

Hakuna atakachokifanya nawaambia na hakuna atakachokifanya cha maana

Kwanza hana dhamira....pili sio mtendaji....Tatu hana team work ya kazi ni watu wa kujipimia, kusifia tu na cheap politics ndo waliomzunguka

Hana support ya watanzania wa kawaida, leo hii wanamkubali nchi nzima hata asilimia 4% hawafiki ukiachana na viongozi na makada ambao moyoni mwao ni mbali lakini wanajua wanamsifia tu siku ziende

Hakuna cha maana atakachokifanya huyu mheshimiwa zaidi tujiandae tu na misukosuko ya kila aina...
Bado uzi wako uko valid?
 
Mama yupo vizuri sana,amejenga madarasa mengi sana na yakisasa,miundombinu kama barabara amejitahidi sana,mfano kuna barabara jimboni kwetu tangu enzi za mkapa niahadi tu ila mama katukumbuka barabara inapigwa lami ,kuanzia mkomazi hadi same kupitia ndungu gonja kisiwani.Wakulima tumeuza tangawizi kwa bei nzuri sana kilo imefikq hadi 4000 ,hongera sana Rais Samia suluhu hassani
 
Hawa 96% wasiomkubali kwanini wazidiwe maamuzi na 4% ya wanaomkubali mpaka hiyo 2030? au ni ng'ombe? Maana siku zote kundi la ng'ombe wengi hupelekwa machinjioni na binadamu wachache.
usicheze na mamlaka mkuu, masikini ni wengi lakini siku zote hawanaga sauti ya kimaamuzi...
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom