Mnaoelewa majukumu mapya ya Lukuvi na Paramagamba Kabudi, tujulisheni ufanisi ukoje

Mnaoelewa majukumu mapya ya Lukuvi na Paramagamba Kabudi, tujulisheni ufanisi ukoje

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Nawasalimu kwa jina la JMT kazi inaendelea.

Sina mengi ningependa tu kufahamu hawa wazee wetu Mzee Kabudi na Mzee Lukuvi majukumu yao mapya ya kuwa viranja wa mawaziri yameleta matokeo chanya? Na je ukitaka kuwapa ushirikiano ofisi zao ziko wapi za ukiranja?

Ni hayo tu.😄😄
 
Hawana kazi nasikia wamepewa vijiofisi pale magogoni kuanzia asubuhi hadi jioni wanasoma magazeti na kunywa juice za miwa na tangawizi.

Prof wa Jalalani kaamua kususa ofisi kabisa.
Tupia picha wakinywa juice tuone mkuu. Kama hakuna basi wewe utakuwa na hitilafu upstairs
 
Hawana kazi nasikia wamepewa vijiofisi pale magogoni kuanzia asubuhi hadi jioni wanasoma magazeti na kunywa juice za miwa na tangawizi.

Prof wa Jalalani kaamua kususa ofisi kabisa.
Wapewe ofisi kweli kama akina nani? Hawa si ni wabunge tu. Ukiwa Mbunge (Legislative Organ) unaweza kuwa Serikalini (Executive) kama ni Waziri mwenye ministerial instrument, vinginevyo huwezi kuwa sehemu ya serikali na wakati huo huo ni mbunge! Huwezi kuwa kwenye Judiciary na wakati huo huo ukawa kwenye Executive ama Legislature. Hapa ndipo inakuja dhana ya separation of powers and checks and balance. Naamini ni Wabunge tu ambao waliwahi kuwa mawaziri kama Mh Kigwangala, Mh Chamuriho, Mh Kalemani, Mh Kamwelwe, Mh Mulugo, nk.
 
Wapewe ofisi kweli kama akina nani? Hawa si ni wabunge tu. Ukiwa Mbunge (Legislative Organ) unaweza kuwa Serikalini (Executive) kama ni Waziri mwenye ministerial instrument, vinginevyo huwezi kuwa sehemu ya serikali na wakati huo huo ni mbunge! Huwezi kuwa kwenye Judiciary na wakati huo huo ukawa kwenye Executive ama Legislature. Hapa ndipo inakuja dhana ya separation of powers and checks and balance. Naamini ni Wabunge tu ambao waliwahi kuwa mawaziri kama Mh Kigwangala, Mh Chamuriho, Mh Kalemani, Mh Kamwelwe, Mh Mulugo, nk.
Na hapo ndipo nadhani kuna kitu hakiko sawa...ni vipi MBUNGE anaweza kufanya kazi serikalini ilhali si WAZIRI? Nadhani kuna mgogoro hapo
 
Nawasalimu kwa jina la JMT kazi inaendelea.

Sina mengi ningependa tu kufahamu hawa wazee wetu Mzee Kabudi na Mzee Lukuvi majukumu yao mapya ya kuwa viranja wa mawaziri yameleta matokeo chanya? Na je ukitaka kuwapa ushirikiano ofisi zao ziko wapi za ukiranja?

Ni hayo tu.😄😄
Hakuna majukumu yoyote hapo, Katibu mkuu kiongozi ndio kiranja wa mawaziri.

Ile ilikuwa mbinu ya kuwang'oa wafuasi wa 'bwana yule' na kuwaingiza watoto wapendwa wa walamba asali kula keki ya taifa .
 
Hawana kazi nasikia wamepewa vijiofisi pale Magogoni kuanzia asubuhi hadi jioni wanasoma magazeti na kunywa juice za miwa na tangawizi.

Prof wa Jalalani kaamua kususa ofisi kabisa.
So anafanya kazi gani sasa!!?
ama amerudi jalalani alikookotwa!
 
Na hapo ndipo nadhani kuna kitu hakiko sawa...ni vipi MBUNGE anaweza kufanya kazi serikalini ilhali si WAZIRI? Nadhani kuna mgogoro hapo
Katiba yetu inasema Mawziri wote lazima wawe wabunge. Nadhani hii iliwekwa hivyo ili Serikali iwajibike Bungeni kwa kujibu maswali na kutoa ufafanuzi. Kenya kabla ya Katiba yao mpya ya 2010, walikuwa kama sisi ila wakafanya mabadiliko kwenye katiba na sasa Mawaziri (Cabinet Secretaries) siyo wabungek. Hili limewaletea tabu kidogo na kumekuwa na mapendekezo ya kutaka kurudisha utaratibu wa zamani ili Mawaziri wawe ni wabunge.
 
Hawana kazi nasikia wamepewa vijiofisi pale Magogoni kuanzia asubuhi hadi jioni wanasoma magazeti na kunywa juice za miwa na tangawizi.

Prof wa Jalalani kaamua kususa ofisi kabisa.
Naskia wamewaongezea na juice ya tende kwenye list siku za hivi karibuni.
 
Katiba yetu inasema Mawziri wote lazima wawe wabunge. Nadhani hii iliwekwa hivyo ili Serikali iwajibike Bungeni kwa kujibu maswali na kutoa ufafanuzi. Kenya kabla ya Katiba yao mpya ya 2010, walikuwa kama sisi ila wakafanya mabadiliko kwenye katiba na sasa Mawaziri (Cabinet Secretaries) siyo wabungek. Hili limewaletea tabu kidogo na kumekuwa na mapendekezo ya kutaka kurudisha utaratibu wa zamani ili Mawaziri wawe ni wabunge.
Nadhani ibaki tu kwamba Rais anaweza kumteuwa mtu yeyote bila kuwa mbunge lakini akishateuliwa anakuwa ni sehemu ya bunge na akiondolewa anapoteza hadhi ya ubunge immediately.

Kulazimisha Rais kuteuwa wabunge ndio wawe mawaziri kwa nchi zetu hizi ni hatari, wabunge wenyewe kina Babu Tale na Kibajaji? Wenye cv zao kina Kimei unashangaa wanawekwa pembeni na kina Mwigulu Nchemba.
 
Back
Top Bottom