Mnaoelewa majukumu mapya ya Lukuvi na Paramagamba Kabudi, tujulisheni ufanisi ukoje

Mnaoelewa majukumu mapya ya Lukuvi na Paramagamba Kabudi, tujulisheni ufanisi ukoje

Uoga wa maneno.
Ana mamlaka ya kutengua na kuteua anayemtaka Ila sababu ya uoga anaamua kusema uongo
Nadhani hakuwa certain kwenye mbio za uspika maana rumors zilishaanza kusambaa kwamba mmoja miongoni mwao alikuwa akiwania uspika. So ni kama aliamua kuzima ndoto hiyo pia. Maana ana uwezo wa kuwaondoa kwenye uwaziri, yes lakini hakuwa na uwezo wa moja kwa moja wa kuzuia yeyote kugombea uspika. Otherwise, tuvute subira labda ofisi zao ndio zinajengwa.
 
Nadhani hakuwa certain kwenye mbio za uspika maana rumors zilishaanza kusambaa kwamba mmoja miongoni mwao alikuwa akiwania uspika. So ni kama aliamua kuzima ndoto hiyo pia. Maana ana uwezo wa kuwaondoa kwenye uwaziri, yes lakini hakuwa na uwezo wa moja kwa moja wa kuzuia yeyote kugombea uspika. Otherwise, tuvute subira labda ofisi zao ndio zinajengwa.
Wewe ni mgeni na ccm, wakiamuwa wanatowa fomu moja tu na mtowa fomu akishamkabidhi mtu wao anafunga ofisi anatokomea kabisa.
 
Mzee mzima ukipigwa chini - unapigwa ki-utu uzima uzima.

Sisi vijana wa kitambo tulikuwa na msemo " Ishatoka hiyo ikirudi panchaa..
 
Wazee watakuwa walitolewa kiaina.
Itakuwa walikuwa mizogo,ila kawalindia heshima
Dhahabu Huwa Ina tabia ya KUN'GAA sana ikipitishwa kwenye MOTO. Mf Usingesikia mgogoro wa Ngorongoro angekuapo LUKUVI.
 
Hakuna majukumu yoyote hapo, Katibu mkuu kiongozi ndio kiranja wa mawaziri.

Ile ilikuwa mbinu ya kuwang'oa wafuasi wa 'bwana yule' na kuwaingiza watoto wapendwa wa walamba asali kula keki.
Cha maana waliachwa kwa kuheshimiwa! Nadhani hiyo ilionesha utu!!
 
Mzee mzima ukipigwa chini - unapigwa ki-utu uzima uzima.

Sisi vijana wa kitambo tulikuwa na msemo " Ishatoka hiyo ikirudi panchaa..
Vijana wa leo wanasema imeisha hiyo.😄😄

Nikimkumbuka Kabudi enzi za kutowa mijicho kama gong'ole na kututaka wote tukae kimya nabaki nacheka tu.😄😄

Mungu anajuwa kuwaumbuwa mafashisti.
 
Wewe ni mgeni na ccm, wakiamuwa wanatowa fomu moja tu na mtowa fomu akishamkabidhi mtu wao anafunga ofisi anatokomea kabisa.
Yes, kumbuka by that time ni kama plan haikuwepo. No wonder baadaye ni kama walipata plan kiasi wakapitisha jina moja tu badala ya matatu. So by the time wanachukua fomu nadhani mapendekezo yalikuwa bado kama wacheze game gani. Ila CCM! Nawaonea huruma kile chama cha Magufuli.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT kazi inaendelea.

Sina mengi ningependa tu kufahamu hawa wazee wetu Mzee Kabudi na Mzee Lukuvi majukumu yao mapya ya kuwa viranja wa mawaziri yameleta matokeo chanya? Na je ukitaka kuwapa ushirikiano ofisi zao ziko wapi za ukiranja?

Ni hayo tu.[emoji1][emoji1]
Hawana Majukumu yoyote wapo Bungeni kama alivyo LUSINDE
 
Nadhani hakuwa certain kwenye mbio za uspika maana rumors zilishaanza kusambaa kwamba mmoja miongoni mwao alikuwa akiwania uspika. So ni kama aliamua kuzima ndoto hiyo pia. Maana ana uwezo wa kuwaondoa kwenye uwaziri, yes lakini hakuwa na uwezo wa moja kwa moja wa kuzuia yeyote kugombea uspika. Otherwise, tuvute subira labda ofisi zao ndio zinajengwa.
Acha uongo
Jina la spika linapitishwa na chama, majina yakienda ana uwezo wa kukata wale ambao hawataki.
 
Wewe ni mgeni na ccm, wakiamuwa wanatowa fomu moja tu na mtowa fomu akishamkabidhi mtu wao anafunga ofisi anatokomea kabisa.
Sio mgeni bali hajui mchakato wa spika anavyopatikana
Wanaogombea uspika majina yao yanaapitishwa na CCM, hivyo kwa wale ambao hawatakiwi wanakatwa Kama ilivyofanyika. Na baada ya hapo linarudi jina moja bungeni kupigiwa kura.
Hivyo hata Kama lukuvi na kabudi wangechukua form,bado wangekatwa kwenye chama
 
Sio mgeni bali hajui mchakato wa spika anavyopatikana
Wanaogombea uspika majina yao yanaapitishwa na CCM, hivyo kwa wale ambao hawatakiwi wanakatwa Kama ilivyofanyika. Na baada ya hapo linarudi jina moja bungeni kupigiwa kura.
Hivyo hata Kama lukuvi na kabudi wangechukua form,bado wangekatwa kwenye chama
Samweli Sitta alikatwa jina akaambiwa na Makamba safari hii ni zamu ya mwanamke.😄😄.
 
Acha uongo
Jina la spika linapitishwa na chama, majina yakienda ana uwezo wa kukata wale ambao hawataki.
Unazingua. Uongo gani hapo? Unakumbuka kauli ya Rais akimwambia Lukuvi kuwa kuna vijineno neno kuwa utagombea uspika. Kisha akasema "hagombei". Sasa jiulize kama ile kauli ya Rais ilikuwa na maana gani. Je majina mangapi yalipigiwa kura na wajumbe wa CCM? Uliona majina matatu kule kwa wajumbe?
 
Sio mgeni bali hajui mchakato wa spika anavyopatikana
Wanaogombea uspika majina yao yanaapitishwa na CCM, hivyo kwa wale ambao hawatakiwi wanakatwa Kama ilivyofanyika. Na baada ya hapo linarudi jina moja bungeni kupigiwa kura.
Hivyo hata Kama lukuvi na kabudi wangechukua form,bado wangekatwa kwenye chama
Ya nini mpaka mfike hatua ya kukata majina na kuleta mpasuko au sintofahamu? Issue ya Lowasa ilifunza mengi ndio maana sasa hivi asiyetakiwa anazuiwa hata kuchukua fomu kabisa. So watu hawakutaka wafike kwenye "dhambi" za kukata jina la wasiyemtaka.
 
Ya nini mpaka mfike hatua ya kukata majina na kuleta mpasuko au sintofahamu? Issue ya Lowasa ilifunza mengi ndio maana sasa hivi asiyetakiwa anazuiwa hata kuchukua fomu kabisa. So watu hawakutaka wafike kwenye "dhambi" za kukata jina la wasiyemtaka.
Mimi nimekusahihisha pale uliposema asingeweza kuwazuia kugombea uspika.
Uwezo wa kuwazuia anao, kwa kuwa kabla ya jina kurudi bungeni majina yanapita chamani na huko wanachujwa. Hivyo Kama hawataki angeweza kuwachuja tu huko chamani Kama alivyofanya na kuamua kwenda na jina la Tulia
Alikua akimtaka Tulia, hao wengine wote hata wangechukua form na kufanya kila kitu bado majina yao yangekatwa tu.
 
Mimi nimekusahihisha pale uliposema asingeweza kuwazuia kugombea uspika.
Uwezo wa kuwazuia anao, kwa kuwa kabla ya jina kurudi bungeni majina yanapita chamani na huko wanachujwa. Hivyo Kama hawataki angeweza kuwachuja tu huko chamani Kama alivyofanya na kuamua kwenda na jina la Tulia
Alikua akimtaka Tulia, hao wengine wote hata wangechukua form na kufanya kila kitu bado majina yao yangekatwa tu.
Hata sijajua wapi hujaelewa. Kuna kugombea na kukata jina la mgombea. Yes, ana uwezo wa kukata jina la mgombea lakini Rais au Mwenyekiti wa Chama ana uwezo gani wa kuzuia watu kugombea?
 
Back
Top Bottom