Mnaofananisha Simba na Yanga ligi za ndani na kimataifa mnakosea Sana. Hata viongozi wa hizi timu wanalijua Hilo.

Mnaofananisha Simba na Yanga ligi za ndani na kimataifa mnakosea Sana. Hata viongozi wa hizi timu wanalijua Hilo.

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Ukilewa utaona tu kibwana shomari Ni sawa Mohamed Huseni. Au kishabiki Dickson job Ni sawa na Onyango au Yanick Bangala anacheza Kama Inonga. Au Aucho Ni Puten kabisa.

Lkn tukumbushane tu. Malengo ya viongozi Yanga msimu huu yameshatimia. Kucheza makundi. Na viongozi hawazungumzii kabisa kwenda robo fainali.

Viongozi Simba ndio wanaowaza kuchukua kombe. Lakini washabiki wa Simba na Yanga wanaweka malengo yanayofanana. Huu Ni utani.

Mechi za ndani Zina Siri kubwa Sana. GSM anataka kufadhili kila timu. Yuko Namungo, Coast Yanga na alitaka afadhili ligi yote.


Kimataifa Yanga tumefikia malengo yetu msimu huu 100% tuwaachie watani wetu nao mtihani wa malengo yao. Hata tukipigwa kila mechi 5 bila sawa tu. hata watani msimu wa awali walichezea hizo goli Sana.


Tutavuruga program za kocha bure kwa kuweka malengo makubwa yasiyowezekana.
 
Sasa kolo umewahi kushiriki wapi ambapo yanga hajawahi? Kama umewahi kuchukua ubingwa wa Africa au shirikisho hata mara 1 na ligi kuu hata mara 26 nakuunga mkono 100% kinyume na hapo Yanga itakuwa timu ya kwanza Tanzania kunyanyua kwapa ubingwa africa.
 
Sasa kolo umewahi kushiriki wapi ambapo yanga hajawahi? Kama umewahi kuchukua ubingwa wa Africa au shirikisho hata mara 1 na ligi kuu hata mara 26 nakuunga mkono 100% kinyume na hapo Yanga itakuwa timu ya kwanza Tanzania kunyanyua kwapa ubingwa africa.
[emoji1787][emoji1787]
Simba kavaa medali 1993 Yanga je?
 
Ukilewa utaona tu kibwana shomari Ni sawa Mohamed Huseni. Au kishabiki Dickson job Ni sawa na Onyango au Yanick Bangala anacheza Kama Inonga. Au Aucho Ni Puten kabisa.

Lkn tukumbushane tu. Malengo ya viongozi Yanga msimu huu yameshatimia. Kucheza makundi. Na viongozi hawazungumzii kabisa kwenda robo fainali.

Viongozi Simba ndio wanaowaza kuchukua kombe. Lakini washabiki wa Simba na Yanga wanaweka malengo yanayofanana. Huu Ni utani.

Mechi za ndani Zina Siri kubwa Sana. GSM anataka kufadhili kila timu. Yuko Namungo, Coast Yanga na alitaka afadhili ligi yote.


Kimataifa Yanga tumefikia malengo yetu msimu huu 100% tuwaachie watani wetu nao mtihani wa malengo yao. Hata tukipigwa kila mechi 5 bila sawa tu. hata watani msimu wa awali walichezea hizo goli Sana.


Tutavuruga program za kocha bure kwa kuweka malengo makubwa yasiyowezekana.
Una shida we si bure.
 
Ukilewa utaona tu kibwana shomari Ni sawa Mohamed Huseni. Au kishabiki Dickson job Ni sawa na Onyango au Yanick Bangala anacheza Kama Inonga. Au Aucho Ni Puten kabisa.

Lkn tukumbushane tu. Malengo ya viongozi Yanga msimu huu yameshatimia. Kucheza makundi. Na viongozi hawazungumzii kabisa kwenda robo fainali.

Viongozi Simba ndio wanaowaza kuchukua kombe. Lakini washabiki wa Simba na Yanga wanaweka malengo yanayofanana. Huu Ni utani.

Mechi za ndani Zina Siri kubwa Sana. GSM anataka kufadhili kila timu. Yuko Namungo, Coast Yanga na alitaka afadhili ligi yote.


Kimataifa Yanga tumefikia malengo yetu msimu huu 100% tuwaachie watani wetu nao mtihani wa malengo yao. Hata tukipigwa kila mechi 5 bila sawa tu. hata watani msimu wa awali walichezea hizo goli Sana.


Tutavuruga program za kocha bure kwa kuweka malengo makubwa yasiyowezekana.
Wewe unashikiri kwenye vikao vya wachezaji, benchi la Yanga na viongozi wa Yanga? Unajua wanayopanga kwenye michuano ya kimataifa? Unajua uwepo wa raisi wa Yanga pamoja na timu popote timu iendapo kuna hamaaisha kipi?

Yanga imeshatoka katika tabia za kukusanya media na mitandao ya kijamii na kubwatuka bwatuka eti malengo yetu kufika mahala fulan.
 
Ukilewa utaona tu kibwana shomari Ni sawa Mohamed Huseni. Au kishabiki Dickson job Ni sawa na Onyango au Yanick Bangala anacheza Kama Inonga. Au Aucho Ni Puten kabisa.

Lkn tukumbushane tu. Malengo ya viongozi Yanga msimu huu yameshatimia. Kucheza makundi. Na viongozi hawazungumzii kabisa kwenda robo fainali.

Viongozi Simba ndio wanaowaza kuchukua kombe. Lakini washabiki wa Simba na Yanga wanaweka malengo yanayofanana. Huu Ni utani.

Mechi za ndani Zina Siri kubwa Sana. GSM anataka kufadhili kila timu. Yuko Namungo, Coast Yanga na alitaka afadhili ligi yote.


Kimataifa Yanga tumefikia malengo yetu msimu huu 100% tuwaachie watani wetu nao mtihani wa malengo yao. Hata tukipigwa kila mechi 5 bila sawa tu. hata watani msimu wa awali walichezea hizo goli Sana.


Tutavuruga program za kocha bure kwa kuweka malengo makubwa yasiyowezekana.
Mbumbumbu fc hamuishiwi vituko!! Kitendo Cha kuletewa Manzoki kwenye Mkutano mkuu wa wanachama wote na akapewa nafasi ya kuzungumza, viongozi wenu wame wachukulia nyie ni ma Mbumbumbu wa kutupwa.

Ndio maana wamewaambia malengo ni kuchukua kombe la Africa.
Yaani timu ambayo Kila mwanachama anaye pewa nafasi kwenye Mkutano mkuu wa klabu anauliza Kwa mgombea wataifungaje Yanga Leo ndio mna malengo ya ubingwa wa Afrika.
Nimeanini kuwaongoza ma Mbumbumbu ni rahisi sana.
 
Back
Top Bottom