Mnaofuatilia soka la Bongo mna moyo mgumu sana. Soka halivutii kabisa

Mnaofuatilia soka la Bongo mna moyo mgumu sana. Soka halivutii kabisa

Yan game ya Simba halafu unategemea upate burudani? Uchafu tu. Ndio kuna siku nipo kibanda umiza nachek game ya Chelsea na Liver na siku hiyohiyo kulikua na game ya CHAN Tz na Sudan ghafla naona mdau kabadilisha chanel akaweka game ya CHAN, nilishindwa nikaamua kusepa
Sasa chelsea si ni bora niangalie game za ndondo za Mabibo Market na Friends Rangers.....
 
Nilikua sijalipia bado. Walikua wanasubiri game ya CHAN ianze ndio waanze kuchukua hela. Pua hata kama ningekua nimelipia nisingeweza kuangalia ile mechi. Mechi kama hizo unaangalia nyumbani ukiwa huna kazi ya kufanya.
Sasa mwenye banda anafata mechi yenye wadau wengi apige pesa,wewe hiyo chelsea yako hata watu wa kuangalia hamna
 
Jana nilijichanganya nikachukua lisaa langu na nusu kuangalia mechi kati ya simba sc na Azam fc, aiseeeee nilishuhudia mpira wa hovyo na wa kijinga sana, mpaka sasa najiuliza, timu hizi ukikuta zinaelezewa unakuta zinapewa sifa nyingi sana, mnaofuatilia soka la bongo mna mioyo migimu sana, hamna tofauti na jamii ya wanaume wanaojitosaga kusomesha wachumba
Yaani huwa nawashangaa sana utakuta watu wanabishana kundi mpaka kutaka kuzichapa !
Hii ni kudhihirisha kua watu wengi nchini wamedumaa kiakili ...hawawezi fanya reasoning...ni sawa na wale washabiku wa chama kikuu inashangaza sana....
Utawasikia...kagere kagere,busungu cjui yaani wanashabikia viwango duni vya soka
 
Yaani huwa nawashangaa sana utakuta watu wanabishana kundi mpaka kutaka kuzichapa !
Hii ni kudhihirisha kua watu wengi nchini wamedumaa kiakili ...hawawezi fanya reasoning...ni sawa na wale washabiku wa chama kikuu inashangaza sana....
Utawasikia...kagere kagere,busungu cjui yaani wanashabikia viwango duni vya soka
Real Madrid na Manchester utd , ni bora nishabikie Simba
 
Jana nilijichanganya nikachukua lisaa langu na nusu kuangalia mechi kati ya simba sc na Azam fc, aiseeeee nilishuhudia mpira wa hovyo na wa kijinga sana, mpaka sasa najiuliza, timu hizi ukikuta zinaelezewa unakuta zinapewa sifa nyingi sana, mnaofuatilia soka la bongo mna mioyo migimu sana, hamna tofauti na jamii ya wanaume wanaojitosaga kusomesha wachumba
We jamaa ulijuaje kunisemea moyo wng aysee soka la bongo na Africa kwa ujumla ni michosho sn
 
Yaani huwa nawashangaa sana utakuta watu wanabishana kundi mpaka kutaka kuzichapa !
Hii ni kudhihirisha kua watu wengi nchini wamedumaa kiakili ...hawawezi fanya reasoning...ni sawa na wale washabiku wa chama kikuu inashangaza sana....
Utawasikia...kagere kagere,busungu cjui yaani wanashabikia viwango duni vya soka
[emoji23][emoji23][emoji23] inashangaza sana kwakwel mm yanga damu ila kutokana na soka bovu la bongo hata wachezaji wa timu yng cwajui
 
Mitumwa haikuisha yote afrika. Bado kuna mipumbavuh inatamani iwe mitumwa.😁😁😁😁😁
 
Utumwa gn mkuu mkuu? Kupenda soka la ulaya? Ss apo utumwa uko wp mana uo mpira wnyw tumekopi kutoka kwao so mtu kuacha kufatilia soka la bongo na kufatilia la ulaya ni sawa na mtu alieacha kutazama muvi za katuni na kuangalia za watuni halisi
Mitumwa haikuisha yote afrika. Bado kuna mipumbavuh inatamani iwe mitumwa.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Chelsea alikuwa anacheza na liverpool mkuu ndo maana alienda mechi ilikuwa na wadau wa kumwaga
Sasa mwenye banda anafata mechi yenye wadau wengi apige pesa,wewe hiyo chelsea yako hata watu wa kuangalia hamna
 
Balinya au molinga mara chirwa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Yaani huwa nawashangaa sana utakuta watu wanabishana kundi mpaka kutaka kuzichapa !
Hii ni kudhihirisha kua watu wengi nchini wamedumaa kiakili ...hawawezi fanya reasoning...ni sawa na wale washabiku wa chama kikuu inashangaza sana....
Utawasikia...kagere kagere,busungu cjui yaani wanashabikia viwango duni vya soka
 
Back
Top Bottom