Mnaofuga Paka jitahidini basi kuwafundisha Adabu kidogo pale Nyumba zenu zikitembelewa na Sisi Wageni

Mnaofuga Paka jitahidini basi kuwafundisha Adabu kidogo pale Nyumba zenu zikitembelewa na Sisi Wageni

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwanza niwe muwazi ( nikiri ) kuwa GENTAMYCINE napenda sana Paka na ninae Mmoja namfuga na ukitaka Ugombane nami mguse ndipo utajua kwanini Nyoka hana Ugoko na Wimbo wa Taifa hauna Kolabo.

Hata hivyo sipendi Paka ambao Wanafugwa na wenye Nyumba ila hawana Adabu pindi Nyumba husika ikitembelewa na Wageni wasio na Ratiba Maalum akina GENTAMYCINE na Wengineo.

Jana jioni nilimtembelea Mtu Kwake ambapo alinikarimu kwa Chakula Kizuri chenye Nyama ya Kuku iliyokaangwa ambayo kwa Umasikini wangu Ulionitukuka sijala Nyama ya Kuku tokea mwaka 2019.

Nilimshukuru mno Mwenyeji wangu kwa Ukarimu wake huo wa Msosi ila nilikwazika zaidi na Paka wake alivyokuwa anakaba Kona zote utadhani Mabeki wa Yanga SC akina Job na Bangala ili nami niwe namdondoshea vipande na twende sawa hadi mwisho.

Kuna muda nikajiuliza au Mwenyeji wangu na Mmiliki wa Paka alikuwa kampa Maagizo Maalum Paka wake kuwa ahakikishe muda wote tu ananikodolea kwa Huruma ili niingiwe na Imani niwe namdonyolea nae Vipande ale?

Kiukweli kwa Kuzuga mbele ya Wenyeji wangu ili nisionekane Mchoyo na nina Roho Mbaya kwa Wanyama ilinilazimu GENTAMYCINE nijifanya Mama Theresa ( Mwenye Huruma ) kwa muda mbele ya Yule Paka, ila Moyoni nilikuwa na Hasira ( Kisununu ) nae kweli kweli kiasi kwamba angejua pengine hata asingekaa Jirani nami vile na angetoka zake tu Baru ( Nduki ) ajiokoe.

Kweli nilikimaliza kile Chakula chote japo nikiri tu kuwa kwa Ukodoaji ule wa Kihuruma wa Paka huku akinilia Nyau Nyau mara Yule Kuku ni kama tuligawana nae Pasu kwa Pasu kuelekea Matumnboni mwetu.

Hata hivyo kuna muda Mwenyeji wangu na Mkewe ( Shemela ) waliingia Chumbani ( nadhani Kupekechuana cha Fasta Fasta ) hivyo kuniacha GENTAMYCINE pale Sebuleni na Paka wao ambapo nami nikaona nichukue / nitumie Fursa ile adhimu ambapo nilimpiga Bao Moja Takatifu ambalo nina uhakika ningempiga nalo Mwanadamu hivi sasa ama angekuwa ICU Muhimbili au Wodi Namba 26 ( Mortuary ) Muhimbili na Mimi kuyaanza Maisha yangu mapya na ya kudumu Gerezani Segerea.

Hebu Wafunzeni Adabu Paka wenu wawe kama huyu Wangu ambaye ana Maadili yote na hata wakija Wageni Nyumbani huonyesha Nidhamu ya hali ya Juu kiasi hadi kuna Wageni wengine humpenda na humpa Zawadi ambayo Mimi huwa naenda Kumnunulia Maziwa na Samaki na Yeye Kufurahia zaidi.

Paka ukimfunza vyema hata ukiwa Unaongea Kilugha Chenu Kiswahili, Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi anakusikiliza, anakuelewa na anakutii hadi utahisi labda unaishi na Mwanadamu Mwenzako wakati kumbe ni Mnyama tu.
 
Kwanza niwe muwazi ( nikiri ) kuwa GENTAMYCINE napenda sana Paka na ninae Mmoja namfuga na ukitaka Ugombane nami mguse ndipo utajua kwanini Nyoka hana Ugoko na Wimbo wa Taifa hauna Kolabo.

Hata hivyo sipendi Paka ambao Wanafugwa na wenye Nyumba ila hawana Adabu pindi Nyumba husika ikitembelewa na Wageni wasio na Ratiba Maalum akina GENTAMYCINE na Wengineo.

Jana jioni nilimtembelea Mtu Kwake ambapo alinikarimu kwa Chakula Kizuri chenye Nyama ya Kuku iliyokaangwa ambayo kwa Umasikini wangu Ulionitukuka sijala Nyama ya Kuku tokea mwaka 2019.

Nilimshukuru mno Mwenyeji wangu kwa Ukarimu wake huo wa Msosi ila nilikwazika zaidi na Paka wake alivyokuwa anakaba Kona zote utadhani Mabeki wa Yanga SC akina Job na Bangala ili nami niwe namdondoshea vipande na twende sawa hadi mwisho.

Kuna muda nikajiuliza au Mwenyeji wangu na Mmiliki wa Paka alikuwa kampa Maagizo Maalum Paka wake kuwa ahakikishe muda wote tu ananikodolea kwa Huruma ili niingiwe na Imani niwe namdonyolea nae Vipande ale?

Kiukweli kwa Kuzuga mbele ya Wenyeji wangu ili nisionekane Mchoyo na nina Roho Mbaya kwa Wanyama ilinilazimu GENTAMYCINE nijifanya Mama Theresa ( Mwenye Huruma ) kwa muda mbele ya Yule Paka, ila Moyoni nilikuwa na Hasira ( Kisununu ) nae kweli kweli kiasi kwamba angejua pengine hata asingekaa Jirani nami vile na angetoka zake tu Baru ( Nduki ) ajiokoe.

Kweli nilikimaliza kile Chakula chote japo nikiri tu kuwa kwa Ukodoaji ule wa Kihuruma wa Paka huku akinilia Nyau Nyau mara Yule Kuku ni kama tuligawana nae Pasu kwa Pasu kuelekea Matumnboni mwetu.

Hata hivyo kuna muda Mwenyeji wangu na Mkewe ( Shemela ) waliingia Chumbani ( nadhani Kupekechuana cha Fasta Fasta ) hivyo kuniacha GENTAMYCINE pale Sebuleni na Paka wao ambapo nami nikaona nichukue / nitumie Fursa ile adhimu ambapo nilimpiga Bao Moja Takatifu ambalo nina uhakika ningempiga nalo Mwanadamu hivi sasa ama angekuwa ICU Muhimbili au Wodi Namba 26 ( Mortuary ) Muhimbili na Mimi kuyaanza Maisha yangu mapya na ya kudumu Gerezani Segerea.

Hebu Wafunzeni Adabu Paka wenu wawe kama huyu Wangu ambaye ana Maadili yote na hata wakija Wageni Nyumbani huonyesha Nidhamu ya hali ya Juu kiasi hadi kuna Wageni wengine humpenda na humpa Zawadi ambayo Mimi huwa naenda Kumnunulia Maziwa na Samaki na Yeye Kufurahia zaidi.

Paka ukimfunza vyema hata ukiwa Unaongea Kilugha Chenu Kiswahili, Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi anakusikiliza, anakuelewa na anakutii hadi utahisi labda unaishi na Mwanadamu Mwenzako wakati kumbe ni Mnyama tu.
Fake!!! Bunda hakunaga paka.
 
Kwanza niwe muwazi ( nikiri ) kuwa GENTAMYCINE napenda sana Paka na ninae Mmoja namfuga na ukitaka Ugombane nami mguse ndipo utajua kwanini Nyoka hana Ugoko na Wimbo wa Taifa hauna Kolabo.

Hata hivyo sipendi Paka ambao Wanafugwa na wenye Nyumba ila hawana Adabu pindi Nyumba husika ikitembelewa na Wageni wasio na Ratiba Maalum akina GENTAMYCINE na Wengineo.

Jana jioni nilimtembelea Mtu Kwake ambapo alinikarimu kwa Chakula Kizuri chenye Nyama ya Kuku iliyokaangwa ambayo kwa Umasikini wangu Ulionitukuka sijala Nyama ya Kuku tokea mwaka 2019.

Nilimshukuru mno Mwenyeji wangu kwa Ukarimu wake huo wa Msosi ila nilikwazika zaidi na Paka wake alivyokuwa anakaba Kona zote utadhani Mabeki wa Yanga SC akina Job na Bangala ili nami niwe namdondoshea vipande na twende sawa hadi mwisho.

Kuna muda nikajiuliza au Mwenyeji wangu na Mmiliki wa Paka alikuwa kampa Maagizo Maalum Paka wake kuwa ahakikishe muda wote tu ananikodolea kwa Huruma ili niingiwe na Imani niwe namdonyolea nae Vipande ale?

Kiukweli kwa Kuzuga mbele ya Wenyeji wangu ili nisionekane Mchoyo na nina Roho Mbaya kwa Wanyama ilinilazimu GENTAMYCINE nijifanya Mama Theresa ( Mwenye Huruma ) kwa muda mbele ya Yule Paka, ila Moyoni nilikuwa na Hasira ( Kisununu ) nae kweli kweli kiasi kwamba angejua pengine hata asingekaa Jirani nami vile na angetoka zake tu Baru ( Nduki ) ajiokoe.

Kweli nilikimaliza kile Chakula chote japo nikiri tu kuwa kwa Ukodoaji ule wa Kihuruma wa Paka huku akinilia Nyau Nyau mara Yule Kuku ni kama tuligawana nae Pasu kwa Pasu kuelekea Matumnboni mwetu.

Hata hivyo kuna muda Mwenyeji wangu na Mkewe ( Shemela ) waliingia Chumbani ( nadhani Kupekechuana cha Fasta Fasta ) hivyo kuniacha GENTAMYCINE pale Sebuleni na Paka wao ambapo nami nikaona nichukue / nitumie Fursa ile adhimu ambapo nilimpiga Bao Moja Takatifu ambalo nina uhakika ningempiga nalo Mwanadamu hivi sasa ama angekuwa ICU Muhimbili au Wodi Namba 26 ( Mortuary ) Muhimbili na Mimi kuyaanza Maisha yangu mapya na ya kudumu Gerezani Segerea.

Hebu Wafunzeni Adabu Paka wenu wawe kama huyu Wangu ambaye ana Maadili yote na hata wakija Wageni Nyumbani huonyesha Nidhamu ya hali ya Juu kiasi hadi kuna Wageni wengine humpenda na humpa Zawadi ambayo Mimi huwa naenda Kumnunulia Maziwa na Samaki na Yeye Kufurahia zaidi.

Paka ukimfunza vyema hata ukiwa Unaongea Kilugha Chenu Kiswahili, Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi anakusikiliza, anakuelewa na anakutii hadi utahisi labda unaishi na Mwanadamu Mwenzako wakati kumbe ni Mnyama tu.
Mhhhh mhhh mhhhhh
 
Eti segerea YANI wakutoe Bunda vijijini wakupeleke segerea kwani mkoa mzima wa mara hakuna magereza?. Utoto raha sana
Cookie na Moderators Wengine wa JamiiForums Paw, YinYang, Active, Moderator na JamiiForums nimeshawalalamikiemi mno kuhusu huyu Mtu ambaye leo niseme Kwenu kuwa mnamlea mno na huenda pia mkawa mnafurahia jinsi anavyopenda Kunidhihaki, Kunichokoza, Kunishambulia na hata Kunidhalilisha kwa kila Mada ambayo naianzisha hapa JamiiForums.

Najua anachokitaka ni Majibizano nami kisha nipandwe na Hasira ( Jazba ) na nianze Kumjibu hovyo kisha upesi sana Watu Wanaonichukia hapa Waniripoti Kwenu na mnipe BAN ya Wiki Mbili, Mwezi au Miezi Mitatu afurahie / Wafurahi.

Mimi mbona hata huwa sijishughulishi na Mada zake hapa JamiiForums? Hivi kama hanipendi GENTAMYCINE na havutiwi na Uwasilishaji wangu wa Masuala hapa JamiiForums kwanini haachani na Mimi na Kutwa amekuwa ni Mtu wa Kunifuatafuata tu?

Tafadhali kama huyu LIKUD anatumika Kimkakati ili Kunichokoza Kimakusudi GENTAMYCINE ili nihamaki nijibizane nae na mnipige BAN nisiwepo hapa JamiiForums semeni tu Wazi Kwangu kuwa nanyi hamnitaki na sitakiwi ili niwaachieni Jamvi lenu hili kwa Amani sawa? Inakera.

Na mwambieni huyu Mtu kuwa hawezi / haiwezi kamwe Vita ya Maneno na Majibizano nami hapa JamiiForums kama nikiamua ila Najiheshimu, Nauheshimu huu Mtandao Wenu na nawaheshimu sana Followers wangu na hata wale Wanaonikubali hivyo sitaki Kuwakwaza.

Cc: JamiiForums Founder Maxence Melo

Na naomba hii post isifutwe tafadhali.
 
Kwanza niwe muwazi ( nikiri ) kuwa GENTAMYCINE napenda sana Paka na ninae Mmoja namfuga na ukitaka Ugombane nami mguse ndipo utajua kwanini Nyoka hana Ugoko na Wimbo wa Taifa hauna Kolabo.

Hata hivyo sipendi Paka ambao Wanafugwa na wenye Nyumba ila hawana Adabu pindi Nyumba husika ikitembelewa na Wageni wasio na Ratiba Maalum akina GENTAMYCINE na Wengineo.

Jana jioni nilimtembelea Mtu Kwake ambapo alinikarimu kwa Chakula Kizuri chenye Nyama ya Kuku iliyokaangwa ambayo kwa Umasikini wangu Ulionitukuka sijala Nyama ya Kuku tokea mwaka 2019.

Nilimshukuru mno Mwenyeji wangu kwa Ukarimu wake huo wa Msosi ila nilikwazika zaidi na Paka wake alivyokuwa anakaba Kona zote utadhani Mabeki wa Yanga SC akina Job na Bangala ili nami niwe namdondoshea vipande na twende sawa hadi mwisho.

Kuna muda nikajiuliza au Mwenyeji wangu na Mmiliki wa Paka alikuwa kampa Maagizo Maalum Paka wake kuwa ahakikishe muda wote tu ananikodolea kwa Huruma ili niingiwe na Imani niwe namdonyolea nae Vipande ale?

Kiukweli kwa Kuzuga mbele ya Wenyeji wangu ili nisionekane Mchoyo na nina Roho Mbaya kwa Wanyama ilinilazimu GENTAMYCINE nijifanya Mama Theresa ( Mwenye Huruma ) kwa muda mbele ya Yule Paka, ila Moyoni nilikuwa na Hasira ( Kisununu ) nae kweli kweli kiasi kwamba angejua pengine hata asingekaa Jirani nami vile na angetoka zake tu Baru ( Nduki ) ajiokoe.

Kweli nilikimaliza kile Chakula chote japo nikiri tu kuwa kwa Ukodoaji ule wa Kihuruma wa Paka huku akinilia Nyau Nyau mara Yule Kuku ni kama tuligawana nae Pasu kwa Pasu kuelekea Matumnboni mwetu.

Hata hivyo kuna muda Mwenyeji wangu na Mkewe ( Shemela ) waliingia Chumbani ( nadhani Kupekechuana cha Fasta Fasta ) hivyo kuniacha GENTAMYCINE pale Sebuleni na Paka wao ambapo nami nikaona nichukue / nitumie Fursa ile adhimu ambapo nilimpiga Bao Moja Takatifu ambalo nina uhakika ningempiga nalo Mwanadamu hivi sasa ama angekuwa ICU Muhimbili au Wodi Namba 26 ( Mortuary ) Muhimbili na Mimi kuyaanza Maisha yangu mapya na ya kudumu Gerezani Segerea.

Hebu Wafunzeni Adabu Paka wenu wawe kama huyu Wangu ambaye ana Maadili yote na hata wakija Wageni Nyumbani huonyesha Nidhamu ya hali ya Juu kiasi hadi kuna Wageni wengine humpenda na humpa Zawadi ambayo Mimi huwa naenda Kumnunulia Maziwa na Samaki na Yeye Kufurahia zaidi.

Paka ukimfunza vyema hata ukiwa Unaongea Kilugha Chenu Kiswahili, Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi anakusikiliza, anakuelewa na anakutii hadi utahisi labda unaishi na Mwanadamu Mwenzako wakati kumbe ni Mnyama tu.
Paka wa jirani yang Kimaro, wananitesa sn....
 
Back
Top Bottom