πππMkuu unazungumzia mapaka ya bar hadi nahisigi wale ni watu sio paka
Natamani ungeniona jinsi nilivyocheka.πππ
Kuna paka iliwahi niangalia ikabidi nihame kiti kabisa. Yule alikuwa mtu kabisaa tena yawezekana alikuwa wa kike maana alikuwa akinikonyeza!
Kwamba mtoa mada anaishi Bunda Vijijini, wapi Salama A, au Salama kati, au yuko Nyamswa, au Nyambitilwa?Eti segerea YANI wakutoe Bunda vijijini wakupeleke segerea kwani mkoa mzima wa mara hakuna magereza?. Utoto raha sana
hawanusi harufu ya harageHalafu Paka kukiwa na kitoeo kizuri ndio wanasoge.
Kwenye maharage na dagaa huwaoni.
It looks good when you see two damn Fools and authentic Mads support each other.Kwamba mtoa mada anaishi Bunda Vijijini, wapi Salama A, au Salama kati, au yuko Nyamswa, au Nyambitilwa?
Hakuna Support hapo, nimeuliza swali tuu kama anasema unaishi bunda vijijini aseme na unaishi kijiji gani.It looks good when you see two damn Fools and authentic Mads support each other.
It looks good when you see two damn Fools and authentic Mads support each other.Hakuna Support hapo, nimeuliza swali tuu kama anasema unaishi bunda vijijini aseme na unaishi kijiji gani.
Ili tujue ukweli ni upi.
Anaishi kyabakariHakuna Support hapo, nimeuliza swali tuu kama anasema unaishi bunda vijijini aseme na unaishi kijiji gani.
Ili tujue ukweli ni upi.
It looks good when you see two damn Fools and authentic Mads support each other.Anaishi kyabakari
Paka ana asili ya ujeuri na udikteta hafundishiki, kwa ufupi hua anafanya kile anachojiskia. Mfano ukimshobokea ukamgusa anakasirika ila ukiwa huna habari nae atajipitisha ili umguse hahahaMi naonaga paka waroho hivi paka akuone unakula akuangalie tu
Mnawafundishaje wanakuwa na adabu?
Fool wewe unae kasirika kuambiwa umetoka Bunda wakati Bunda ndo ulipo zaliwa umekulia umesomea na Unapo ishi... Hata story zako za paka ni story za kibunda bundaIt looks good when you see two damn Fools and authentic Mads support each other.
Imbecile.Fool wewe unae kasirika kuambiwa umetoka Bunda wakati Bunda ndo ulipo zaliwa umekulia umesomea na Unapo ishi... Hata story zako za paka ni story za kibunda bunda
Mbona Bunda ni sehemu nzuri tu mkuu. Mwandiko wako sio mwandiko wa mwana daslamu. Umekaa kibunda bunda. KWANZA mtoto wa mjini daslamu hawezi kumchongea mwenzake kwa mods.Imbecile.
Yupo manchimweru huko anajifanya yupo darKwamba mtoa mada anaishi Bunda Vijijini, wapi Salama A, au Salama kati, au yuko Nyamswa, au Nyambitilwa?
Kweli kabisa mi humfungia jikoni Kukiwa na wageni au akinichosha lakin kuna muda anatulia kweli kuna muda mtundu huyoPaka ana asili ya ujeuri na udikteta hafundishiki, kwa ufupi hua anafanya kile anachojiskia. Mfano ukimshobokea ukamgusa anakasirika ila ukiwa huna habari nae atajipitisha ili umguse hahaha
Hawafugi paka wanapenda kwenda sehemu ya chakulaUmenikumbusha stori moja alihadithia bimkubwa nachekaga sana. Kipindi hicho bado binti hajanizaa alimtembelea ndugu yake fulani hivi alikuwa anakaa ghorofani, sasa huyo ndugu yake alikuwa anafuga paka na bimkubwa wangu hapendi paka kinyama. Shida ya paka ile kupita kupita katikati ya miguu bimkubwa akasubiri mwenyeji wake ametoka kidogo akamchota yule paka teke moja mpaka huko chini kilichoendelea kuhusu yule paka hakujua[emoji1]. Baadae mtoto wa mwenyeji wake akawa anamtafuta paka wake bimkubwa akala buyu kama hajui kilichotokea.
Wengine wanaokera ni wanaofuga mapaka kwenye migahawa na bar wanazunguka sana!!
Moments chache sana kama hizi unapoongeaga points.Kwanza niwe muwazi ( nikiri ) kuwa GENTAMYCINE napenda sana Paka na ninae Mmoja namfuga na ukitaka Ugombane nami mguse ndipo utajua kwanini Nyoka hana Ugoko na Wimbo wa Taifa hauna Kolabo.
Hata hivyo sipendi Paka ambao Wanafugwa na wenye Nyumba ila hawana Adabu pindi Nyumba husika ikitembelewa na Wageni wasio na Ratiba Maalum akina GENTAMYCINE na Wengineo.
Jana jioni nilimtembelea Mtu Kwake ambapo alinikarimu kwa Chakula Kizuri chenye Nyama ya Kuku iliyokaangwa ambayo kwa Umasikini wangu Ulionitukuka sijala Nyama ya Kuku tokea mwaka 2019.
Nilimshukuru mno Mwenyeji wangu kwa Ukarimu wake huo wa Msosi ila nilikwazika zaidi na Paka wake alivyokuwa anakaba Kona zote utadhani Mabeki wa Yanga SC akina Job na Bangala ili nami niwe namdondoshea vipande na twende sawa hadi mwisho.
Kuna muda nikajiuliza au Mwenyeji wangu na Mmiliki wa Paka alikuwa kampa Maagizo Maalum Paka wake kuwa ahakikishe muda wote tu ananikodolea kwa Huruma ili niingiwe na Imani niwe namdonyolea nae Vipande ale?
Kiukweli kwa Kuzuga mbele ya Wenyeji wangu ili nisionekane Mchoyo na nina Roho Mbaya kwa Wanyama ilinilazimu GENTAMYCINE nijifanya Mama Theresa ( Mwenye Huruma ) kwa muda mbele ya Yule Paka, ila Moyoni nilikuwa na Hasira ( Kisununu ) nae kweli kweli kiasi kwamba angejua pengine hata asingekaa Jirani nami vile na angetoka zake tu Baru ( Nduki ) ajiokoe.
Kweli nilikimaliza kile Chakula chote japo nikiri tu kuwa kwa Ukodoaji ule wa Kihuruma wa Paka huku akinilia Nyau Nyau mara Yule Kuku ni kama tuligawana nae Pasu kwa Pasu kuelekea Matumnboni mwetu.
Hata hivyo kuna muda Mwenyeji wangu na Mkewe ( Shemela ) waliingia Chumbani ( nadhani Kupekechuana cha Fasta Fasta ) hivyo kuniacha GENTAMYCINE pale Sebuleni na Paka wao ambapo nami nikaona nichukue / nitumie Fursa ile adhimu ambapo nilimpiga Bao Moja Takatifu ambalo nina uhakika ningempiga nalo Mwanadamu hivi sasa ama angekuwa ICU Muhimbili au Wodi Namba 26 ( Mortuary ) Muhimbili na Mimi kuyaanza Maisha yangu mapya na ya kudumu Gerezani Segerea.
Hebu Wafunzeni Adabu Paka wenu wawe kama huyu Wangu ambaye ana Maadili yote na hata wakija Wageni Nyumbani huonyesha Nidhamu ya hali ya Juu kiasi hadi kuna Wageni wengine humpenda na humpa Zawadi ambayo Mimi huwa naenda Kumnunulia Maziwa na Samaki na Yeye Kufurahia zaidi.
Paka ukimfunza vyema hata ukiwa Unaongea Kilugha Chenu Kiswahili, Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi anakusikiliza, anakuelewa na anakutii hadi utahisi labda unaishi na Mwanadamu Mwenzako wakati kumbe ni Mnyama tu.