Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,541
- 2,187
Nashindwa kuizungumzia hii unayoita Offside goli lililofungwa na Ngoma kwa sababu na Azam tv wameshindwa kutuonyesha Ngoma alikuwa wapi wakati mpira unapigwa!! Kwasababu isije tukalaumu bure kwakuwa mfungaji alikuwa pekeake bila kujua kuwa mpira ulipopigwa yeye alikuwa Angle ya Offsife Au Lah!!!!!! Uonyeshaji wa Azam tv nao unaleta mkanganyiko.
Lakini pia nashindwa kukubali kuwa goli alilofunga Tambwe amefunga kwa mkono kwa hakuna kitu ambacho kitanifanya nijiridhishe, azam tv wameshindwa kuonyesha vizur ulipogonga Post ulifikia sehemu ya mwili kwa Mfungaji wa goli Tambwe.
Mkuu usiumize kichwa, huyu anaesema kuwa goli la ngoma lilikuwa off side yeye kaonea wapi? Au anaesema Tambwe kafunga kwa mkono kaona wapi kuwa alishika? Hata Azam TV wameshindwa kuonyesha Haya matukio, yeye analalamika nn wakati hajaona kitu chochote na hana ushaidi, hata wachezaji wa costal hakuna aliyelalamika, sasa yeye wanalalamika kama nani?