Mnaoibeba Yanga hamuisaidii, mnaiumiza...

Mi ni mmoja wapo nimeacha kufuatilia mpira wa bongo kwa ajili ya mambo haya
 
Mbona reference inakuwa samba, kwani ww unauhakika gani kama THE BOSS ni simba ?
 
very nice observation never seen
 
Hao wanaibeba yanga ili ifike fainali na simba au azam ili wao wapige hela pale taifa si wanajua watajaza uwanja wao wapige hela tu na kuua soka la tz
 
safi sana
 
Yanga ni team bora sana aisee. Hivi ni mechi ngapi vile kabebwa tumfutie point zake tuwaongezee mikia... Nashangaa mnatoka mapovu tu. Na mechi ya mgambo umeiona?
 
Wanasimba, hii ni awamu ya hapa kazi tu, ujanja ujanja mliyoifanya kipindi cha nyuma mzisahau, kumbukeni ujanja ujanja uliwasaidia kutokushuka daraja la siyo tungewasahau ķwenye historia ya soka kama ilivyo Pamba!
 
Kumbe yule refa anaeitwa Kambuzi ambae aliwabeba walipocheza na azam akakataa goli la shomari kapombe na pelnat ndo huyohuyo walimpanga tena awabebe kwa coastal.Mambo yameharibika wamemfungia maisha...
 
Kumbe yule refa anaeitwa Kambuzi ambae aliwabeba walipocheza na azam akakataa goli la shomari kapombe na pelnat ndo huyohuyo walimpanga tena awabebe kwa coastal.Mambo yameharibika wamemfungia maisha...
Ndie huyu huyu ambae aliwazawadia Simba penati dakika ya 95 msimu uliopita game ambayo ilifanyika pale taifa, penati ambayo iligonga mwamba huku matokeo yakisomeka Simba 1-2 Mbeya city. Ila yale hayasemwi!!!!!!!
 
Si kuiharibia Yanga tu, bali wanapandikiza Kansa wenye soka letu. Kwa namna hii hatufuki popote.

Nimeicheki hiyo game kweli uamuzi ulikuwa too weak!! na inaonekana ni kwa MAKUSUDI.
 
Ndie huyu huyu ambae aliwazawadia Simba penati dakika ya 95 msimu uliopita game ambayo ilifanyika pale taifa, penati ambayo iligonga mwamba huku matokeo yakisomeka Simba 1-2 Mbeya city. Ila yale hayasemwi!!!!!!!
Afadhali wakumbushe hao.
 
Kweli wanabebwa Sana tens na ngoma,kaseke na tambwe,uboora WA wachezaji ,uimara WA benchi la ufundi ndo vinawabeba yanga simba jipangeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…