Mnaoishi chumba kimoja na mtoto/watoto wenu kuanzia miaka 4 huwa mnafanyaje mkitaka kutimiza haja zenu?

Hapa nimecheka sana
 
ndio sababu akasema 95% ya watu humu hatukumbuki akimaanisha 5% wanaweza kumbuka, mwanao yupo hilo kundi la 5%.
 
Utapangaje chumba kimoja kisha unazaa ovyo? Huo ni ujuha ama kweli Africans are irresponsible, badala ya kuwaza kukuza kipato upange vyumba 3 na kuendelea au hata kujenga kwako ww unawaza vp utatiana na watoto wapo ndani ya single room.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
😂😂
 
Hyo mbinu ndo waliifanya juzi watu wangu fulani. Siku hyo watt wao walikuja kwangu ila walipofika kwa msisitizo walisema mama amesema tusirudi mpka aje kutuchukua amesema atukute hapa hapa. Sasa nikawauliza baba yupo?.wakasema leo amewahi yupo nyumbani mama anaosha vyombo basi nikaconclude mambo yetu yaleee yanalika.
 
Me mbona nakumbuka vizuri ingawa si yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…