Mnaoiua Chato kwa kuelekeza hata majengo ya umma yasitumike mnamkomoa JPM au mnawakomoa Watanzania?


Mimi ningemuona wa maana kama angejenga uwanja wa ndege Geita au Bukoba mjini, kwenda kupeleka uwanja wa kimataifa Chato ilikuwa kosa kubwa Sana.
 
Usimlingan8she JPM na vitu vya hovyo. Mobutu na JPM ni ardhi na mbingu.

Wanafanana Sana, sema wanatofautiana sehemu moja, mmoja alipinduliwa na waasi mwingine wananchi walimuachia Mungu.
 
Tujifunze kukubali ushauri. Unajenga uwanja wa kimataifa chato wilayani unaiacha Mwanza JIJi, Hilo lazima tukubali ilikuwa kosa. Tujifunze kwa makosa. Sasa Leo uwanja hauna kazi wanaanikia dakaa.
 
Sawa liendeleze basi, miji yenye magari ya maana ilikuwa haina taa za barabarani lkn yeye hizo taa akizipeleka chato ambako gari linaweza kupita kila baada ya dk 50 na zaidi na hapo utasema alikuwa sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…