byancas
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 268
- 248
Hata Viwanja Mkuu, ukienda kununua ukakuta mmiliki ni wale vikongwe, basi utalipia halafu mwiso wa siku ukiondoka unasahau kama ulinunua Kiwanja hadi eneo husikaWasalaam,
Naomba tu kutoa wito kwa wale wenzangu na mimi tunaojidunduliza ili kujenga nyumba za kuishi na familia zetu kuwa MAKINI sana na WATU tunaowaweka wawe walinzi wa nyumba zetu....