Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Wakati mwingine ni uvivu tu wa kutingwa na majukumu ya kila siku......na kwa bahati mbaya siku unayotaka kwenda ndio siku ya kupumzika na mwili umechoka........
Uvivu au uchovu huo uwe kuanzia Januari hadi December? Mwaka wa kwanza, wa pili, tatu na kuendelea?
Cha ajabu unaweza kuta kama una eneo lingine la mbali ambalo hujarogwa utajikuta kule mbali unaendaga lakini hapo karibu unaparuka!