Mnaojenga nyumba, kuweni makini na watu mnaowaomba wawalindie nyumba zenu

Wasalaam,

Naomba tu kutoa wito kwa wale wenzangu na mimi tunaojidunduliza ili kujenga nyumba za kuishi na familia zetu kuwa MAKINI sana na WATU tunaowaweka wawe walinzi wa nyumba zetu....
Hata Viwanja Mkuu, ukienda kununua ukakuta mmiliki ni wale vikongwe, basi utalipia halafu mwiso wa siku ukiondoka unasahau kama ulinunua Kiwanja hadi eneo husika
 
Habari za jumapili wakuu.

Kweli usilolijua ni kama usiku wa giza nmekutana na thread moja humu jf.

Kwamba mlinzi unayemuweka kulinda nyumba yako anaweza kukuchezea(kukuloga ukasahau nyumba yako) kiukweli sijawahi jua kitu kama hcho sasa wakuu naomba msaada ndio niko process za kutafuta mlinzi niangalie kitu gani? kabila, umri, kiimani: niko partially siko deep sana
niko mbeya mjini
 
Soma hiyo.

 
Mpaka muda huu tunapigana majini mimi na aliyekuwa akinitizamia nyumba yangu, nashukuru ninakwenda vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23]mama.e...tuma vitu,tuma vitu mkuu
 
Jiandae na kesi ...maana wakati wa kumtoa haitakua rahisi. Wengi wanakuja na wake zao. Pia, watoto wao wanawaamishoa shule jirani
 
Nenda kwa Mwamposa
 
huyo hana tofauti na yule aliyenunua kiwanja ila kila akienda site hakumbuki kipo location ipi,...
 
Tupe mrejesho mkuu[emoji1]
 
Aliyerogwa hajuigi kama amerogwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…