Halafu wewe unashukaKwani nikizeeka wajukuu zangu hawawezi kupanda?
Nikishuka we si unakua juu?Halafu wewe unashuka
Juu yako upo wapi nijeNikishuka we si unakua juu?
Kila ghorofa Lina Flo ya Kwanza, ukizeeka ukashindwa kupanda unarudi flo za chiniKwani nikizeeka wajukuu zangu hawawezi kupanda?
GhetoJuu yako upo wapi nije
Kujenga ghorofa ni kawaida? Hapo kuna mawili, kwanza labda utakua na pesa sanaWabongo wengi wanaamini ukijenga ghorofa uko matawi ya juu wakati sio kweli😄kawaida sana
Mbona unatuingilia kwenye maamuzi yetu Sasa Hela tunazitafuta za nn kama huwezi fanya kitu kinachofurahisha moyoSalam.
Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje
Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.
Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?
Nyumba za ghorofa zinachangamoto nyingi
Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida..