bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
umewahi kujenga wewe au unajisemea tu?Wabongo wengi wanaamini ukijenga ghorofa uko matawi ya juu wakati sio kweli😄kawaida sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umewahi kujenga wewe au unajisemea tu?Wabongo wengi wanaamini ukijenga ghorofa uko matawi ya juu wakati sio kweli😄kawaida sana
Simple tu mbona unajenga nyumba ya Ghorofa na master nyingine ground floor.Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.
Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?
Kuna lift isiyo ya umeme mkuu?!Huwa nawaza nikizeeka, chumba changu pendwa Ghorofa ya tatu nitaendaje kulala ðŸ˜ðŸ˜,
Au naweza weka lift ya umeme 🤔🤔
Nawaza 😒😒
Tunapenda kukaaa juu juuSalam.
Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje
Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.
Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?
Nyumba za ghorofa zina changamoto nyingi
Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida.
Hivi huu utaratibu wa kupangia watu namna ya kuishi mmeutoa wapi? Wewe kama huna hela ya kujenga maghorofa piga kimya mwamba wenye hela wajenge! Na siyo lazima wewe ndiye uishi kule juu! Kwani ukiwaachia watoto utakuwa na hasara gani!Salam.
Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje
Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.
Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?
Nyumba za ghorofa zina changamoto nyingi
Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida.
Kwenye kawaida hapo nakukataliaWabongo wengi wanaamini ukijenga ghorofa uko matawi ya juu wakati sio kweli😄kawaida sana
Onesha watu kazi yako juu waseme hufanyi washi washi 🤣🤣🤣🤣Ukipata hela ni kujenga tu...
Mtu asikwambie eti nyumba ya ghorofa siyo nzuri....Wewe jenga(in Tomdaktari Voice)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watanzania wengi ni mabingwa wa kutoa ushauri ambao hawajaombwa, kwa watu wasiowajua, kuhusu vitu wasivyovielewa.Mbona unatuingilia kwenye maamuzi yetu Sasa Hela tunazitafuta za nn kama huwezi fanya kitu kinachofurahisha moyo
Unataka kusema kila anaejenga ghorofa ni tajiri?Kwenye kawaida hapo nakukatalia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nachekaga..Onesha watu kazi yako juu waseme hufanyi washi washi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tom bwana!
Pesa ipo Ila Basi tu naona usumbufu pia usalama mdogo unaweza dunguliwa na sniperHivi huu utaratibu wa kupangia watu namna ya kuishi mmeutoa wapi? Wewe kama huna hela ya kujenga maghorofa piga kimya mwamba wenye hela wajenge! Na siyo lazima wewe ndiye uishi kule juu! Kwani ukiwaachia watoto utakuwa na hasara gani!
Hivi lift inatakiwa kwenye nyumba inayoanzia gorofa ngapi...?Salam.
Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje
Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.
Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?
Nyumba za ghorofa zina changamoto nyingi
Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida.
Unaweza ukatengeneza chumba chako cha chini, kwa juu ukaweka vya watoto, maktaba, au kaunta ya vinywaji n.kMe naona usumbufu
Wapanda shuka
Ipo lift ya ngazi kwa kutumia miguu..Kuna lift isiyo ya umeme mkuu?!
Inaitwa lift au stair?Ipo lift ya ngazi kwa kutumia miguu..
SHIDA YA WATU WALIOKULIA KIJIJINI NI KUBWA HAPA MJINI.Salam.
Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje
Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.
Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?
Nyumba za ghorofa zina changamoto nyingi
Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida