Mnaojenga Nyumba ya ghorofa kwa ajili ya kuishi mnazipendea nini?

Mnaojenga Nyumba ya ghorofa kwa ajili ya kuishi mnazipendea nini?

Salam.

Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje

Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.

Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?

Nyumba za ghorofa zina changamoto nyingi

Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida.
Tunapenda kukaaa juu juu
 
Salam.

Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje

Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.

Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?

Nyumba za ghorofa zina changamoto nyingi

Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida.
Hivi huu utaratibu wa kupangia watu namna ya kuishi mmeutoa wapi? Wewe kama huna hela ya kujenga maghorofa piga kimya mwamba wenye hela wajenge! Na siyo lazima wewe ndiye uishi kule juu! Kwani ukiwaachia watoto utakuwa na hasara gani!
 
Hivi huu utaratibu wa kupangia watu namna ya kuishi mmeutoa wapi? Wewe kama huna hela ya kujenga maghorofa piga kimya mwamba wenye hela wajenge! Na siyo lazima wewe ndiye uishi kule juu! Kwani ukiwaachia watoto utakuwa na hasara gani!
Pesa ipo Ila Basi tu naona usumbufu pia usalama mdogo unaweza dunguliwa na sniper
 
Salam.

Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje

Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.

Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?

Nyumba za ghorofa zina changamoto nyingi

Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida.
Hivi lift inatakiwa kwenye nyumba inayoanzia gorofa ngapi...?
 
Salam.

Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje

Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.

Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?

Nyumba za ghorofa zina changamoto nyingi

Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida
SHIDA YA WATU WALIOKULIA KIJIJINI NI KUBWA HAPA MJINI.
UFIKIRI WA HOVYO KABISA HUU. NI SAWA NA KUSEMA "KWA NINI MTU UNUNUE RANGE ROVER WAKATI PASSO TU INAKUFIKISHA MJINI"
AKILI YA "KIJINGA"
AKILI YA KIMASIKINI
AKILI YA KIJIJINI HII
MLETA MADA KAKULIA VIJIJINI HUKO NDANI NDANI
 
Back
Top Bottom