Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Wengi wanaangalia future ghorofa huwa na muonekano mzuri pia inasave nafasi ambayo unaweza ukaweka garden na parking
By the way speaking of uzee, sio kila anayejenga ni old age kuna wengine wapo Mid 20's sasa, 40 years to come asiishi kwenye ghorofa kisa tu akiwa 65 itamsumbua, wakati haya ndio mazoezi mazuri kabisa kwake.
PS: hata ukija kuzeeka, wajukuu wapo tu watajiachia kwenye mjengo wa babu
By the way speaking of uzee, sio kila anayejenga ni old age kuna wengine wapo Mid 20's sasa, 40 years to come asiishi kwenye ghorofa kisa tu akiwa 65 itamsumbua, wakati haya ndio mazoezi mazuri kabisa kwake.
PS: hata ukija kuzeeka, wajukuu wapo tu watajiachia kwenye mjengo wa babu