round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Wenzetu mliwezaje wezaje, wengine tumejipata kwenye 30 na kitu, hali za huko nyuma zilikuwa mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo nimekumata wazi wazi makutupora Monetary doctor dosho12 oya mchizi sio jobless mwenzetu anatusnich tuKuzungukwa na kutafuta watu na taarifa sahihi, ndio mtaji wangu wa kwanza.
sija jua mafanikio ume yaweka kwenye vitu au nini?, ila I had my first house before I was 21.
Acha bangi, vipi Kama nili firisika 🤔Leo nimekumata wazi wazi makutupora Monetary doctor dosho12 oya mchizi sio jobless mwenzetu anatusnich tu
Mimi sija wahi m snitch mtu, mi mwana kiroho safi.mchizi sio jobless mwenzetu anatusnich tu
Watumishi wa tra wanajenga mabangalooKusema ukwel kuna watu wanaupepo wa hela,kuna mjinga mmoja huyo biashara yake ya kwanza kufanya ni uwakala wa mitandao ya simu tu,pia alikuwa na zile line kubwa za uwakala
Lakin kwenye hyo miaka 30 kaweza kujenga kamjengo kamaana sana ambako watumishi wengi hawawez kukajenga,kwanza kana finishing ya kinyama sana,yaan ni kwamba pesa za ujenzi zilikiwepo za kutosha na ikabak chenji
Wengi wao ni kubebwamafanikio kati kwenye rika la 20s ni shughuli pevu sana nje ya mfumo wa kubebwa
Wengi wao ni kubebwa, wengine dili chafu, wengine maboya,mafanikio kati kwenye rika la 20s ni shughuli pevu sana nje ya mfumo wa kubebwa
Wala usiwazie hilo, haya maisha hayana formula kabisa.Wengine hata hizo 30s tumeshazivuka bado bila bila🐼
Wewe unafaa sana kuwa raisi wetu wa majobless pro max maana hustling umeanza kitambo, yaani bila mshahara mwezi na ukaotesha nyumba.Kuzungukwa na kutafuta watu na taarifa sahihi, ndio mtaji wangu wa kwanza.
sija jua mafanikio ume yaweka kwenye vitu au nini?, ila I had my first house before I was 21.
Chai......mkuu,nyumba za familia/urithi unasema ni zakoKuzungukwa na kutafuta watu na taarifa sahihi, ndio mtaji wangu wa kwanza.
sija jua mafanikio ume yaweka kwenye vitu au nini?, ila I had my first house before I was 21.