Mnaokatalia Yanga wakisema wameshinda Treble. Je, Msimu wa 2021/22 Mamelodi walishinda Treble gani?

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472

Niambieni walishinda CAF msimu huo?
Kila Sehemu na Tamaduni zake katika Football, Afrika tuna utamaduni wetu tofauti na Ulaya Japo tunaweza endana kwenye vitu flan but vingine tukatofautiana.
 
Mkuu, kuna continental treble na domestic treble. Hii inakubalika worldwide.

Domestic treble haina hadhi sawa na continental one, ndo maana Guardiola alibeba domestic treble mwaka 2018-19 lakini no one cares.

Ila hiii ya juzi, itakumbukwa na Kila mtu kama mkataba wa kimangungo wa DP world.

Pia, Paris Saint Germany, ndo ana hizo domestic treble za kutosha, lakini hamna hata mwenye habari nazo.Ukute hata msimu huu uloisha ana treble.

QN: Yanga ana treble msimu huu?
ANS: Yes, Domestic treble

 
Chinja kula cha mtume pepsi nalipa
 
Bas tukubali na Yanga wana Treble
 
Msipende kulazimisha mambo ya Yanga siyo Treble tusichoshane hapa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…