MasterGamaliel
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 923
- 1,001
14 Wale waliokuwa wakichunga hao nguruwe (NGURUWE walifugwa kibiashara na Wayahudi wenyewe waliopokea maagizo kutoka kwa Mungu) wakakimbilia mjini na vijijini kueleza yaliyotokea. Watu wakatoka kwenda kujionea mambo hayo.
15 Wakaja kwa Yesu, wakamwona yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo akiwa ameketi, amevaa nguo na pia akiwa na akili timamu. Wakaogopa. 16 Wale walioyaona mambo haya waliwaeleza wengine yaliyomto kea yule aliyekuwa na pepo na lile kundi la nguruwe. 17 Basi watu wakaanza kumwomba Yesu aondoke (kwa sababu ameleta uhaba wa kitimoto?) katika wilaya yao.
15 Wakaja kwa Yesu, wakamwona yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo akiwa ameketi, amevaa nguo na pia akiwa na akili timamu. Wakaogopa. 16 Wale walioyaona mambo haya waliwaeleza wengine yaliyomto kea yule aliyekuwa na pepo na lile kundi la nguruwe. 17 Basi watu wakaanza kumwomba Yesu aondoke (kwa sababu ameleta uhaba wa kitimoto?) katika wilaya yao.