Samson Ernest
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 557
- 858
Umeiweka vizuri š
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unashangaa nini kwa wakristo kusema kuwa yesu kahalalisha wao wale nguruwe ? Au mwenye idhini ya kuharamisha na kuharalisha ni mtume muhammad tuSawa kahalalisha je hoja yako ni nini
Nimeshangaa wapi kuwa yesu kahalalisha nguruwe itakuwa umejichanganyaSasa unashangaa nini kwa wakristo kusema kuwa yesu kahalalisha wao wale nguruwe ? Au mwenye idhini ya kuharamisha na kuharalisha ni mtume muhammad tu
Maana muhammad kaharamisha pombe ambayo hata mitume wa kale walikuwa wanatumia na ushahidi ni siku ya kuharamishwa pombe maswahaba walikuwa wanakunywa aya ilipo shaka wengine waka mwaga pombe kwenye vikombe vyao yaani walikatisha kunywa.
Kwasababu nimtamu sanaHivi kwanini kati ya vyakula vyote haramu anayesumbua ni kitimoto tuu. Why?
1. Biblical Evidence for a Real FruitHata adamu na hawa siyo lile tunda lililo ingia tumboni bali ni lileneno la mungu kuwa msile tunda...siku waliyo hamua kula ni lazima dhamila mbaya kutoka moyoni mwao ndiyo iliyo wakosesha
Sasa hapo ndiyo umeeleza nini1. Biblical Evidence for a Real Fruit
Genesis 2:16-17 (KJV)
āAnd the LORD God commanded the man, saying, Of every tree of the garden thou mayest freely eat: But of the tree of the knowledge of good and evil, thou shalt not eat of it: for in the day that thou eatest thereof thou shalt surely die.ā
This passage suggests that the tree was a physical entity, just like other trees in the garden, bearing real fruit.
Genesis 3:6 (KJV)
āAnd when the woman saw that the tree was good for food, and that it was pleasant to the eyes, and a tree to be desired to make one wise, she took of the fruit thereof, and did eat, and gave also unto her husband with her; and he did eat.ā
The fact that Eve saw the fruit, desired it, took it, and ate it implies a real, tangible object.
Genesis 3:7 (KJV)
āAnd the eyes of them both were opened, and they knew that they were naked; and they sewed fig leaves together, and made themselves aprons.ā
The immediate effect of eating the fruit suggests an act involving a real substance that triggered a change.
2. Context of the Garden of Eden
The Garden of Eden contained many real trees that produced fruit (Genesis 2:9).
The Tree of Life, also mentioned in the same passage, is considered real, suggesting that the Tree of Knowledge was also literal.
3. The Role of the Serpent
The serpent tempted Eve by questioning God's command (Genesis 3:1), reinforcing the idea that eating was a real act, not just a symbolic one.
If the serpent's deception was about a physical act, it strengthens the argument that the fruit was a real entity.
4. Consequences of Eating the Fruit
Adam and Eve were physically removed from Eden (Genesis 3:23-24), showing that their sin had tangible, physical consequences.
Physical death (mortality) entered the world (Genesis 3:19).
Since the consequences were real and physical, the act that caused them was also real.
Nime kuongelea kwa mujibu wa waislamu wenzio...tumia akili jiongeze..unakuwa kama mtoto wa kike?Nimeshangaa wapi kuwa yesu kahalalisha nguruwe itakuwa umejichanganya
Kumbe ulikuwa unaniambia masuala ambayo mimi sikuyaongelea šNime kuongelea kwa mujibu wa waislamu wenzio...tumia akili jiongeze
Poor you!Yesu alimtoa mtu mapepo na yakakimbilia kwa nguruwe na kuburuzana mpaka baharini. Basi ukila kiti moto unakula mapepo!!
Labda hivyo vyakula niaivyovijua, tokea nizaliwe kitimoto haijawahi kuwa haramu.Hivi kwanini kati ya vyakula vyote haramu anayesumbua ni kitimoto tuu. Why?
Mkuu, kwenye hili andiko kuna sehemu imetajwa jina la mmyama nguruwe? Hapo imetajwa kitu kiingiacho mdomoni. Sijaona Nguruwe ikitajwa.Mungu ameruhusu tule nyama yoyote ya wanyama aliowaumba. Yesu ni Mungu, alipokuja hapa duniani aliidhinisha tule hata kitimotoš(nyama ya nguruwe).
Alitoa ruhusa hiyo katika Marko 7:14-23(BHN). Imeandikwa hivi:
Yesu aliuita tena ule umati wa watu, akawaambia, āNisikilizeni nyote, mkaelewe. Hakuna kitu kinachoingia ndani ya mtu kutoka nje kinachoweza kumtia mtu unajisi. Lakini kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia mtu unajisi.ā Mwenye masikio na asikie!
Alipouacha umati wa watu na kuingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza maana ya huo mfano. Naye akawaambia, āJe, hata nyinyi hamwelewi? Je, hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia mtu kutoka nje, hakiwezi kumtia unajisi, kwa maana hakimwingii moyoni, ila tumboni, na baadaye hutolewa nje chooni?ā (Kwa kusema hivyo, Yesu alihalalisha vyakula vyote.)
Akaendelea kusema, āKinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia unajisi. Maana kutoka ndani, moyoni mwa mtu, hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji, uzinzi, uchoyo, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, kashfa, kiburi na upumbavu. Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu unajisi.ā
Ila kama kwa kula kwako nyama unamkwaza ndugu yako, acha mara moja.
Warumi 14:21 (NEN)
Ni afadhali kutokula nyama wala kunywa divai au kufanya jambo lingine lolote litakalomsababisha ndugu yako ajikwae.
Yesu hakuruhusu kula nguruwe wakati wa maisha yake hapa duniani kwa sababu alikuwa Myahudi na alifuata sheria za Kiyahudi. Kulingana na Torati (Walawi 11:7-8, Kumbukumbu la Torati 14:8), nyama ya nguruwe ilikuwa najisi na haikuruhusiwa kuliwa na Wayahudi.Mungu ameruhusu tule nyama yoyote ya wanyama aliowaumba. Yesu ni Mungu, alipokuja hapa duniani aliidhinisha tule hata kitimotoš(nyama ya nguruwe).
Alitoa ruhusa hiyo katika Marko 7:14-23(BHN). Imeandikwa hivi:
Yesu aliuita tena ule umati wa watu, akawaambia, āNisikilizeni nyote, mkaelewe. Hakuna kitu kinachoingia ndani ya mtu kutoka nje kinachoweza kumtia mtu unajisi. Lakini kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia mtu unajisi.ā Mwenye masikio na asikie!
Alipouacha umati wa watu na kuingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza maana ya huo mfano. Naye akawaambia, āJe, hata nyinyi hamwelewi? Je, hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia mtu kutoka nje, hakiwezi kumtia unajisi, kwa maana hakimwingii moyoni, ila tumboni, na baadaye hutolewa nje chooni?ā (Kwa kusema hivyo, Yesu alihalalisha vyakula vyote.)
Akaendelea kusema, āKinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia unajisi. Maana kutoka ndani, moyoni mwa mtu, hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji, uzinzi, uchoyo, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, kashfa, kiburi na upumbavu. Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu unajisi.ā
Ila kama kwa kula kwako nyama unamkwaza ndugu yako, acha mara moja.
Warumi 14:21 (NEN)
Ni afadhali kutokula nyama wala kunywa divai au kufanya jambo lingine lolote litakalomsababisha ndugu yako ajikwae.