Huwa kweli nacheka sana nikiwasikiliza hawa manabii, mitume siJui maaskofu wanapowaingiza watu mkenge kuwachukulia pesa zao. Utasikia kama kiPindi hiki cha mwisho wa mwaka unaambiwa kutakuwa na ibada maalumu ya kufungua malango ya mwaka mpya.
Kumbuka wakati huohuo mwezi uliopita alikuja mhubiri huyo huyo kukutangazia ibada maalumu ya kufungua mafanikio yako maishani. Miezi miwilili iliyopita alikuja mhubiri kuKutangazia kutoa sadaka maalumu ya kufungua mafanikio ya kiuchumi. Jana usiku redioni umetangaziwa ibada inayoendana na saka (fedha!) ya kuharibu adui anayekula uchumi wako. Wiki iliyopita umetangaziwa kongamano la kuharibu laana za ukoo.
Mwaka jana uliitwa kwenye sadaka maalumu ya kuharibu laana ya ardhi. Sina muda wa kutaja haya makorokoro yote maana ni mengi mwenye kuongeza aongeze. Huwa najiuliza, HIVI HAWA WAUMINI SHIDA ZAO HUWA HAZIISHI WANAPOFIKA KWA HAO WAHUBIRI?? Maana kila siku wanaletewa topic mpya. Ni kama jana nimejifunza set theory kwenye hisabati lakini kwa sababu hisabati ina mambo mengi leo mwalimu amekuja na differential calculus.
Lakini wakati nipo darasani najua hisabati siyo set theory peke yake kuna topic nyingi. Lakini hawa wahubiri feki huwafanya waumii wao waamini kwamba siku hiyo waliyoipanga wenyewe kimchongo ili kuchota pesa ndiyo siku muumini anapewa kila kitu. Halafu kesho mhubiri yuleyule anabuni topic nyingine kukurudisha tena ale pesa zako.
Huwa njiuliza, SERIKALI ITAKAA MPAKA LINI KUWAACHA HAWA WEZI WANAOJIFICHA KWENYE KICHAKA CHA DINI KUWAIBIA WATU MCHANA KWEUPE WAKIAMINI MKONO WA SERIKALI HAUWEZI KUWAGUSA?????
Kumbuka wakati huohuo mwezi uliopita alikuja mhubiri huyo huyo kukutangazia ibada maalumu ya kufungua mafanikio yako maishani. Miezi miwilili iliyopita alikuja mhubiri kuKutangazia kutoa sadaka maalumu ya kufungua mafanikio ya kiuchumi. Jana usiku redioni umetangaziwa ibada inayoendana na saka (fedha!) ya kuharibu adui anayekula uchumi wako. Wiki iliyopita umetangaziwa kongamano la kuharibu laana za ukoo.
Mwaka jana uliitwa kwenye sadaka maalumu ya kuharibu laana ya ardhi. Sina muda wa kutaja haya makorokoro yote maana ni mengi mwenye kuongeza aongeze. Huwa najiuliza, HIVI HAWA WAUMINI SHIDA ZAO HUWA HAZIISHI WANAPOFIKA KWA HAO WAHUBIRI?? Maana kila siku wanaletewa topic mpya. Ni kama jana nimejifunza set theory kwenye hisabati lakini kwa sababu hisabati ina mambo mengi leo mwalimu amekuja na differential calculus.
Lakini wakati nipo darasani najua hisabati siyo set theory peke yake kuna topic nyingi. Lakini hawa wahubiri feki huwafanya waumii wao waamini kwamba siku hiyo waliyoipanga wenyewe kimchongo ili kuchota pesa ndiyo siku muumini anapewa kila kitu. Halafu kesho mhubiri yuleyule anabuni topic nyingine kukurudisha tena ale pesa zako.
Huwa njiuliza, SERIKALI ITAKAA MPAKA LINI KUWAACHA HAWA WEZI WANAOJIFICHA KWENYE KICHAKA CHA DINI KUWAIBIA WATU MCHANA KWEUPE WAKIAMINI MKONO WA SERIKALI HAUWEZI KUWAGUSA?????