- Thread starter
- #61
Mtume Paulo na wenzake walifanya kazi kwa mikono yao na kula kwa kipato cha kazi yao. Soma vizuri Matendo ya Mitume na barua za mtume Paulo utaelewa.Sasa wasipoenda wachungaji watakula wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtume Paulo na wenzake walifanya kazi kwa mikono yao na kula kwa kipato cha kazi yao. Soma vizuri Matendo ya Mitume na barua za mtume Paulo utaelewa.Sasa wasipoenda wachungaji watakula wapi?
Umenena vema. Na litmus test ya hawa wahubiri wa leo ni kwenye pesa tu. Hapo utajua nani wa kweli. Kipimo ni hicho tu.Kuna kutumwa na kujituma kipimo maandiko.
Palipo na feki original ipo.
Hizo ni imani za giza lazima serikali inyooke nazo, serikali haishughuliki na imani za kwenye mwanga.Ule ni uhalifu na wanasiasa ndio walikuwa nyuma ya mchezo huo mchafu.Seriously. Mbona imani ya kuua na kuuza viungo vya albino imeshughulikiwa na serikali. Au hujui maana ya imani??
Kabla awajawa mitume labdaMtume Paulo na wenzake walifanya kazi kwa mikono yao na kula kwa kipato cha kazi yao. Soma vizuri Matendo ya Mitume na barua za mtume Paulo utaelewa.
Hongera kwa kuwa na ufahamuSio makanisa yote kilokole Ni mabaya,Ila gaya ya mafuta mfano hasa ya mwamp ukipona kwao jiandae kufa kwa janga lingine ,Mimi Ni mlokole ila miujiza ya mafuta Ni hatari kuliko mnavyodhani kupona unaweza kupona Ila huchukui muda ujapatwa na kubwa kuliko
Usiseme GIZA. Huyo mungu wa mwanga wewe unamuona? Mambo yote ya kiimani yako kwenye unseen reality. Kwa hiyo kwa namna ya kibinadamu imani zote zipo gizani. The difference is which is evil and which is good. Kusema GIZA ni upungufu wa lugha tuHizo ni imani za giza lazima serikali inyooke nazo, serikali haishughuliki na imani za kwenye mwanga.Ule ni uhalifu na wanasiasa ndio walikuwa nyuma ya mchezo huo mchafu.
Kasome tena biblia agano jipya labda utaelewa. Hakuna mtume wa kanisa la mwanzo alikuwa na huu upuuzi wa mitume wa siku hizi. Jifunze pia historia ya kanisa hasa kwenye secular history uelewe vizuriKabla awajawa mitume labda
Kuna iman za giza na imani za nuru.Usiseme GIZA. Huyo mungu wa mwanga wewe unamuona? Mambo yote ya kiimani yako kwenye unseen reality. Kwa hiyo kwa namna ya kibinadamu imani zote zipo gizani. The difference is which is evil and which is good. Kusema GIZA ni upungufu wa lugha tu
Iwanusuru raia wanaotapeliwa na wezi wanaojificha kwenye kichaka cha dini. Huu ni uhalifuKo serikali ianze kuwapangia watu pakusali au sio,au iwapangie waumini kikomo cha sadaka
Hawa wanaowatapeli na kuwaibia watu kwa kutumia maandiko ya biblia si wako kwenye hiyo imani ya kikristo? Or what is your argument? Kwamba kila anayetaja jina la Yesu yupo kwenye imani ya mwanga???Kuna iman za giza na imani za nuru.
Mfano Dini kama Ukristo,Uyahudi, Uislamu, Rastafarian,nk wao ufanya mambo yao kwa uwazi bila kificho.
Zipo imani za giza wewe kama sio mwanachama wao sahau kuhusu yao mfano wachawi, freemason, nk.
Zinaitwa giza kwa sababu ni evil na zinaitwa nuru kwa sababu ni good.
Kuwatapeli watu kwa kutumia biblia ni imani ya mwanga??Hizo ni imani za giza lazima serikali inyooke nazo, serikali haishughuliki na imani za kwenye mwanga.Ule ni uhalifu na wanasiasa ndio walikuwa nyuma ya mchezo huo mchafu.
Palipo na original kuna feki.Kuwatapeli watu kwa kutumia biblia ni imani ya mwanga??
Ndiyo sasa tumo humu kusema how to distinguish fake from original ili tuwasaidie wengine wasije kutoa wakidhani wanafanya ibada kumbe sPalipo na original kuna feki.
Kutoa ni ibada ni agizo
Haifai hivyo mkuu!Usimtonye boya.
Hapo ni ishu ya uelewaNdiyo sasa tumo humu kusema how to distinguish fake from original ili tuwasaidie wengine wasije kutoa wakidhani wanafanya ibada kumbe s