Mnaokwenda kwenye makanisa ya manabii, mitume, shida zenu huwa haziishi?

Mnaokwenda kwenye makanisa ya manabii, mitume, shida zenu huwa haziishi?

Nchi imejaa mafala hii
Kuna mijamaa na mishangazi inaamini katika miujiza[emoji23][emoji23]
 
Hakuna watu wajinga kama hawa walokole. Wapo tayari kumpa sijui mchungaji ama nabii maisha ya kipato chao chote kuliko kumpa mungu wa uhalisia. Utasikia baba hana gari, yanachanga. Gwajima, kuhani Mussa na Mwamposa ni zaidi ya majambazi.
Wamepora wapi
 
Kila mtu Ana haki ya kuamini kile anachoamini na huwezi kumbadili!!Sio Lazima wote waamini unachoamini wewe ndio ubinadamu huo!!!Afu huku kwetu Africa mashariki hizo (Imani) namaanisha dini zililetwa na waarabu na wazungu na babu zetu walipokea na kila moja alivutia upande wake kwa kuiita imani yake dini ya haki!!!!!So waache tu hao watu na imani yao wana haki pia na nyote mpo sahii mbele za Mungu na mna haki sawa kiimani sababu wote viumbe wake!!!!
Hatuwezi kua sawa mna wengine wanamfanyia Mungu hali ya kua Mungu katakasika na hayo mambo
 
Huwa kweli nacheka sana nikiwasikiliza hawa manabii, mitume siJui maaskofu wanapowaingiza watu mkenge kuwachukulia pesa zao. Utasikia kama kiPindi hiki cha mwisho wa mwaka unaambiwa kutakuwa na ibada maalumu ya kufungua malango ya mwaka mpya.

Kumbuka wakati huohuo mwezi uliopita alikuja mhubiri huyo huyo kukutangazia ibada maalumu ya kufungua mafanikio yako maishani. Miezi miwilili iliyopita alikuja mhubiri kuKutangazia kutoa sadaka maalumu ya kufungua mafanikio ya kiuchumi. Jana usiku redioni umetangaziwa ibada inayoendana na saka (fedha!) ya kuharibu adui anayekula uchumi wako. Wiki iliyopita umetangaziwa kongamano la kuharibu laana za ukoo.

Mwaka jana uliitwa kwenye sadaka maalumu ya kuharibu laana ya ardhi. Sina muda wa kutaja haya makorokoro yote maana ni mengi mwenye kuongeza aongeze. Huwa najiuliza, HIVI HAWA WAUMINI SHIDA ZAO HUWA HAZIISHI WANAPOFIKA KWA HAO WAHUBIRI?? Maana kila siku wanaletewa topic mpya. Ni kama jana nimejifunza set theory kwenye hisabati lakini kwa sababu hisabati ina mambo mengi leo mwalimu amekuja na differential calculus.

Lakini wakati nipo darasani najua hisabati siyo set theory peke yake kuna topic nyingi. Lakini hawa wahubiri feki huwafanya waumii wao waamini kwamba siku hiyo waliyoipanga wenyewe kimchongo ili kuchota pesa ndiyo siku muumini anapewa kila kitu. Halafu kesho mhubiri yuleyule anabuni topic nyingine kukurudisha tena ale pesa zako.

Huwa njiuliza, SERIKALI ITAKAA MPAKA LINI KUWAACHA HAWA WEZI WANAOJIFICHA KWENYE KICHAKA CHA DINI KUWAIBIA WATU MCHANA KWEUPE WAKIAMINI MKONO WA SERIKALI HAUWEZI KUWAGUSA?????
Ukienda Ukatoliki, Anglican, sabbato, kote huko wanasali kila week na wanatoa sadaka na mahubili yao hayana mwisho. Cha Jana kitarudiwa Mara elfu. Na watu wanatoa tuu. So shida IPO wapi kwa madabii na wengine wakifanya hivo?
 
Huwa kweli nacheka sana nikiwasikiliza hawa manabii, mitume siJui maaskofu wanapowaingiza watu mkenge kuwachukulia pesa zao. Utasikia kama kiPindi hiki cha mwisho wa mwaka unaambiwa kutakuwa na ibada maalumu ya kufungua malango ya mwaka mpya.

Kumbuka wakati huohuo mwezi uliopita alikuja mhubiri huyo huyo kukutangazia ibada maalumu ya kufungua mafanikio yako maishani. Miezi miwilili iliyopita alikuja mhubiri kuKutangazia kutoa sadaka maalumu ya kufungua mafanikio ya kiuchumi. Jana usiku redioni umetangaziwa ibada inayoendana na saka (fedha!) ya kuharibu adui anayekula uchumi wako. Wiki iliyopita umetangaziwa kongamano la kuharibu laana za ukoo.

Mwaka jana uliitwa kwenye sadaka maalumu ya kuharibu laana ya ardhi. Sina muda wa kutaja haya makorokoro yote maana ni mengi mwenye kuongeza aongeze. Huwa najiuliza, HIVI HAWA WAUMINI SHIDA ZAO HUWA HAZIISHI WANAPOFIKA KWA HAO WAHUBIRI?? Maana kila siku wanaletewa topic mpya. Ni kama jana nimejifunza set theory kwenye hisabati lakini kwa sababu hisabati ina mambo mengi leo mwalimu amekuja na differential calculus.

Lakini wakati nipo darasani najua hisabati siyo set theory peke yake kuna topic nyingi. Lakini hawa wahubiri feki huwafanya waumii wao waamini kwamba siku hiyo waliyoipanga wenyewe kimchongo ili kuchota pesa ndiyo siku muumini anapewa kila kitu. Halafu kesho mhubiri yuleyule anabuni topic nyingine kukurudisha tena ale pesa zako.

Huwa njiuliza, SERIKALI ITAKAA MPAKA LINI KUWAACHA HAWA WEZI WANAOJIFICHA KWENYE KICHAKA CHA DINI KUWAIBIA WATU MCHANA KWEUPE WAKIAMINI MKONO WA SERIKALI HAUWEZI KUWAGUSA?????
Mkuu
Waache waende.
Wakigundua ukweli watachukua hatua binafsi yao
 
Mimi Ibadani kwa kweli sipendelei kwenda Ila napenda zile nyimbo za kusifu na kuabudu aaah hapo umenikamata mkuu, ooee wachungaji nyie mahuburi yenu bakini nayo wenyewe Ila nyimbo nzuri waimbaji watunge tufarijike na haya maisha, maana hata Mbinguni malaika wanamwimbia Mungu nyimbo za sifa
 
Kwakweli ni upigaji sana alaf ukiangalia maisha ya hawa manabii wanavojiita ni matajir kupindukia,angalia kondoo ss.
Hvi ni kukosa elimu au?Serikali iingilie ksti wananchi wanaliwa sana pesa zao
Dini hushamili zaidi katika jamii za watu masikini,umasikini na ujinga ndio mtaji wa watawala na baadhi ya wachungaji, mitume na manabii. Tunatafuta faraja ya matatizo yetu na shortcut za mafanikio .Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa
 
Mkuu tuu kapigwa kule Nyerere na Mabehewa, Sembuse huyu pangu pakavu anaeyeonewa mpaka na Nzi,

Acha wakatafute faraja, ni mbaya sana ukiwa na majonzi halafu hata faraja ya uongo huna..

Ila bora hawa, juzi kuna Shehe kakimbia na kilo 300 Za mchele wa maulidi, Mbele ya Cha mtume, Jamaa sijui alisomewa nini, alikutwa Barabarani kasimama nao, Wakamla mapanga, watu wakaenda kupika.. bora hawa wanatumia akili, kuliko huyu mwizi.
 
Waache hao manabii waendelee kuwapumbaza hao wajinga... wanaisaidia sana serikali. Unadhani hao wajinga wote wanaojazana kwa kina Mwamposa na manabii feki wengine wakasema waache ujinga waanze kutumia akili kutatawalika? Itakuwa ni balaa.... acha manabii feki waendelee kuwatuliza hao umati wa wajinga.
 
Shida zao ni raha kwa hao manabii unategemea ziishe?
 
Nyinyi mnaobeti mbona mpaka mnauza vitu vya nyumbani..watoto wanakosa mahitaji lakini hawawasemi...

Vumilianeni tu.. wote mmeshatekwa na pepo la umasikini na ujinga..
🤣🤣🤣matatizo ni mengi sana nchi hii
 
Sio makanisa yote kilokole Ni mabaya,Ila gaya ya mafuta mfano hasa ya mwamp ukipona kwao jiandae kufa kwa janga lingine ,Mimi Ni mlokole ila miujiza ya mafuta Ni hatari kuliko mnavyodhani kupona unaweza kupona Ila huchukui muda ujapatwa na kubwa kuliko
 
Back
Top Bottom