My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
Nyie mtakuja kufa uko kwny pepo yenu mbaki mizoga, hakuna atakaeweza kula mabikra 70 na nyongeza Mkuu,km ni utapeli bas Allah na Muhammad ndo matapeli makubwa kuwah kutokeaUkristo ni dini ya upigaji tu
Kila mtu atumie ujanja wake kupata riziki yke ndo ilivyo iyo dini yenu kwasababu sio dini ya Mungu ni dini iloasisiwa kiupigaji zaidi
Wajinga ndio waliwao
Ko serikali ianze kuwapangia watu pakusali au sio,au iwapangie waumini kikomo cha sadakaKwakweli ni upigaji sana alaf ukiangalia maisha ya hawa manabii wanavojiita ni matajir kupindukia,angalia kondoo ss.
Hvi ni kukosa elimu au?Serikali iingilie ksti wananchi wanaliwa sana pesa zao
Kilo 300 aliziiba kidogo kidogo hadi zikafika 300?. Maana hazibebeki kwa pamoja.Mkuu tuu kapigwa kule Nyerere na Mabehewa, Sembuse huyu pangu pakavu anaeyeonewa mpaka na Nzi,
Acha wakatafute faraja, ni mbaya sana ukiwa na majonzi halafu hata faraja ya uongo huna..
Ila bora hawa, juzi kuna Shehe kakimbia na kilo 300 Za mchele wa maulidi, Mbele ya Cha mtume, Jamaa sijui alisomewa nini, alikutwa Barabarani kasimama nao, Wakamla mapanga, watu wakaenda kupika.. bora hawa wanatumia akili, kuliko huyu mwizi.
Ukristo ni dini ya upigaji tu
Kila mtu atumie ujanja wake kupata riziki yke ndo ilivyo iyo dini yenu kwasababu sio dini ya Mungu ni dini iloasisiwa kiupigaji zaidi
Wajinga ndio waliwao
Hatuongei sana vitendo vinaongeawewe ni mke wa Mungu amekunong'oneza au!!!!
Mungu hana msemaji,hiyo kazi alijipa muhamad kaingiza chaka wapuuzi,akaishia kulala na katoto kwa kurukwa na akili.
Hhhhhhhh pole sanaaaNyie mtakuja kufa uko kwny pepo yenu mbaki mizoga, hakuna atakaeweza kula mabikra 70 na nyongeza Mkuu,km ni utapeli bas Allah na Muhammad ndo matapeli makubwa kuwah kutokea
ππππππ Hapa wachungaji wamenuna kinyamaHuwa kweli nacheka sana nikiwasikiliza hawa manabii, mitume siJui maaskofu wanapowaingiza watu mkenge kuwachukulia pesa zao. Utasikia kama kiPindi hiki cha mwisho wa mwaka unaambiwa kutakuwa na ibada maalumu ya kufungua malango ya mwaka mpya.
Kumbuka wakati huohuo mwezi uliopita alikuja mhubiri huyo huyo kukutangazia ibada maalumu ya kufungua mafanikio yako maishani. Miezi miwilili iliyopita alikuja mhubiri kuKutangazia kutoa sadaka maalumu ya kufungua mafanikio ya kiuchumi. Jana usiku redioni umetangaziwa ibada inayoendana na saka (fedha!) ya kuharibu adui anayekula uchumi wako. Wiki iliyopita umetangaziwa kongamano la kuharibu laana za ukoo.
Mwaka jana uliitwa kwenye sadaka maalumu ya kuharibu laana ya ardhi. Sina muda wa kutaja haya makorokoro yote maana ni mengi mwenye kuongeza aongeze. Huwa najiuliza, HIVI HAWA WAUMINI SHIDA ZAO HUWA HAZIISHI WANAPOFIKA KWA HAO WAHUBIRI?? Maana kila siku wanaletewa topic mpya. Ni kama jana nimejifunza set theory kwenye hisabati lakini kwa sababu hisabati ina mambo mengi leo mwalimu amekuja na differential calculus.
Lakini wakati nipo darasani najua hisabati siyo set theory peke yake kuna topic nyingi. Lakini hawa wahubiri feki huwafanya waumii wao waamini kwamba siku hiyo waliyoipanga wenyewe kimchongo ili kuchota pesa ndiyo siku muumini anapewa kila kitu. Halafu kesho mhubiri yuleyule anabuni topic nyingine kukurudisha tena ale pesa zako.
Huwa njiuliza, SERIKALI ITAKAA MPAKA LINI KUWAACHA HAWA WEZI WANAOJIFICHA KWENYE KICHAKA CHA DINI KUWAIBIA WATU MCHANA KWEUPE WAKIAMINI MKONO WA SERIKALI HAUWEZI KUWAGUSA?????
Kuwaibia watu kwa kujificha lwenye kichaka cha dini siyo kosa?? Serikali iliangalie hili.Kama wahusika awajalalamika na maadamu mitume na manabii awajavunja sheria za nchi sio kosa.
Mbona kwa waganga tunajazana na still shida zipo pale pale.
Una hoja fulani hivi japo umeiweka kwa namna ya fumbo. Basi tuendelee kuihimiza serikali yetu itupie macho mambo hayi yote.Mimi naona ungewacha tu kwa sababu zinazoliwa ni hela zao na sio za kwako, kuanzia lini serikali ikampangia mtu matumizi ya pesa zake? Wapo wanaoenda Kwa waganga wanaliwa vile vile, wengine wanaliwa Kila siku kwenye M-bet, mkeka bet tena huko wanaliwa nyingi sijaona ukiiomba serikali iingilie huko, wengine si juzi juzi wameliwa kizembe na Kalyinda au umesahau?? Kama hauliwi wewe kwanin uumie?
Serikali haishughuliki na imani za watu.Kuwaibia watu kwa kujificha lwenye kichaka cha dini siyo kosa?? Serikali iliangalie hili.
Kama ni hivyo basi hayo maombi hayana faida yoyote maana shida zenyewe haziishi. Ukienda kuombewa leo unaambiwa zimeisha ZOTE ila kesho mhubiri anakuja tena na topic nyingine sijui ukombozi wa nyayo, kuvunja madhabahu, wiki ya kufanikiwa, mwezi wa neema kuu, mwaka w baraka, mwezi wa kufunguliwa malango ya barakaπ€π Lini tutaamka kwenye huu usingizi wa ujinga??Watakuambia mwanadamu ameumbiwa shida.
Serikali haishughuliki na imani za watu.
We toa tu hata kwa mg
Sijataja dhehebu ila hata hao uliowataja wajirekebishe. Angalau baadhi ya hayo madhehebu ya zamani wana apostolic succession. Siku hizi mtu analala tu anawaza pesa akiamka asubuhi anajiita mtume. Nani kamtuma???Ukienda Ukatoliki, Anglican, sabbato, kote huko wanasali kila week na wanatoa sadaka na mahubili yao hayana mwisho. Cha Jana kitarudiwa Mara elfu. Na watu wanatoa tuu. So shida IPO wapi kwa madabii na wengine wakifanya hivo?
Kuna kutumwa na kujituma kipimo maandiko.Sijataja dhehebu ila hata hao uliowataja wajirekebishe. Angalau baadhi ya hayo madhehebu ya zamani wana apostolic succession. Siku hizi mtu analala tu anawaza pesa akiamka asubuhi anajiita mtume. Nani kamtuma???
Seriously. Mbona imani ya kuua na kuuza viungo vya albino imeshughulikiwa na serikali. Au hujui maana ya imani??Serikali haishughuliki na imani za watu.
We toa tu hata kwa mganga