Mnaokwenda kwenye makanisa ya manabii, mitume, shida zenu huwa haziishi?

Ukristo ni dini ya upigaji tu
Kila mtu atumie ujanja wake kupata riziki yke ndo ilivyo iyo dini yenu kwasababu sio dini ya Mungu ni dini iloasisiwa kiupigaji zaidi


Wajinga ndio waliwao
Nyie mtakuja kufa uko kwny pepo yenu mbaki mizoga, hakuna atakaeweza kula mabikra 70 na nyongeza Mkuu,km ni utapeli bas Allah na Muhammad ndo matapeli makubwa kuwah kutokea
 
Acha manabii waongezeke wakiwa hata milion 20 wote wakawa matajir tutakua tumepunguza umaskini
 
Kwakweli ni upigaji sana alaf ukiangalia maisha ya hawa manabii wanavojiita ni matajir kupindukia,angalia kondoo ss.
Hvi ni kukosa elimu au?Serikali iingilie ksti wananchi wanaliwa sana pesa zao
Ko serikali ianze kuwapangia watu pakusali au sio,au iwapangie waumini kikomo cha sadaka
 
Kilo 300 aliziiba kidogo kidogo hadi zikafika 300?. Maana hazibebeki kwa pamoja.

Na vipi baada ya mapanga,alijeruhika tu au uhai kwishney?
 
Ukristo ni dini ya upigaji tu
Kila mtu atumie ujanja wake kupata riziki yke ndo ilivyo iyo dini yenu kwasababu sio dini ya Mungu ni dini iloasisiwa kiupigaji zaidi


Wajinga ndio waliwao

wewe ni mke wa Mungu amekunong'oneza au!!!!

Mungu hana msemaji,hiyo kazi alijipa muhamad kaingiza chaka wapuuzi,akaishia kulala na katoto kwa kurukwa na akili.
 
Wao ndio wanajua faida wanayopata wewe usieelewa haina haja ya kupaniki, mbona mnahonga kila siku machangudoa na kununua k kwa hela kubwa hamsemi? Bora hao wanatoa hela makanisani kuliko ww unazunguka zunguka manzese kutafuta malaya ! Hii tabia ya kuwandama viongozi wa makanisa na kuwatukana tunajua mnatumwa na dini zenu za kiarabu wapumbavu nyinyi
 
wewe ni mke wa Mungu amekunong'oneza au!!!!

Mungu hana msemaji,hiyo kazi alijipa muhamad kaingiza chaka wapuuzi,akaishia kulala na katoto kwa kurukwa na akili.
Hatuongei sana vitendo vinaongea
 
Nyie mtakuja kufa uko kwny pepo yenu mbaki mizoga, hakuna atakaeweza kula mabikra 70 na nyongeza Mkuu,km ni utapeli bas Allah na Muhammad ndo matapeli makubwa kuwah kutokea
Hhhhhhhh pole sanaaa
 
Waacheni wajinga wote waende kwa mitume na manabii feki; wala msiwazuie; kwa maana ujinga wao ndio utajiri wa wote wanao watukuza na kuwaabudu
 
😁😁😁😁😁😁 Hapa wachungaji wamenuna kinyama
 
Kama wahusika awajalalamika na maadamu mitume na manabii awajavunja sheria za nchi sio kosa.
Mbona kwa waganga tunajazana na still shida zipo pale pale.
Kuwaibia watu kwa kujificha lwenye kichaka cha dini siyo kosa?? Serikali iliangalie hili.
 
Una hoja fulani hivi japo umeiweka kwa namna ya fumbo. Basi tuendelee kuihimiza serikali yetu itupie macho mambo hayi yote.
 
Watakuambia mwanadamu ameumbiwa shida.
Kama ni hivyo basi hayo maombi hayana faida yoyote maana shida zenyewe haziishi. Ukienda kuombewa leo unaambiwa zimeisha ZOTE ila kesho mhubiri anakuja tena na topic nyingine sijui ukombozi wa nyayo, kuvunja madhabahu, wiki ya kufanikiwa, mwezi wa neema kuu, mwaka w baraka, mwezi wa kufunguliwa malango ya barakaπŸ€”πŸ˜† Lini tutaamka kwenye huu usingizi wa ujinga??
 
Serikali haishughuliki na imani za watu.
We toa tu hata kwa mg

Ukienda Ukatoliki, Anglican, sabbato, kote huko wanasali kila week na wanatoa sadaka na mahubili yao hayana mwisho. Cha Jana kitarudiwa Mara elfu. Na watu wanatoa tuu. So shida IPO wapi kwa madabii na wengine wakifanya hivo?
Sijataja dhehebu ila hata hao uliowataja wajirekebishe. Angalau baadhi ya hayo madhehebu ya zamani wana apostolic succession. Siku hizi mtu analala tu anawaza pesa akiamka asubuhi anajiita mtume. Nani kamtuma???
 
Sijataja dhehebu ila hata hao uliowataja wajirekebishe. Angalau baadhi ya hayo madhehebu ya zamani wana apostolic succession. Siku hizi mtu analala tu anawaza pesa akiamka asubuhi anajiita mtume. Nani kamtuma???
Kuna kutumwa na kujituma kipimo maandiko.
Palipo na feki original ipo.
 
Serikali haishughuliki na imani za watu.
We toa tu hata kwa mganga
Seriously. Mbona imani ya kuua na kuuza viungo vya albino imeshughulikiwa na serikali. Au hujui maana ya imani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…