THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Amani Itawale kwenu Nyote!
Jana nahisi ilikua moja ya siku atakazozikumbuka Mwamba FAM kwenye Maisha yake hasa juu ya kesi iliyokua inamkabili yeye na wenzake ambapo DPP jana Aliamua kuifuta kesi hio au aliamua kutokuendelea nayo.
Baada ya taarifa ile shangwe nyingi zilikuepo niseme hata Mimi hapa nilifurahi sanaaaa kupita kiasi.
Sasa watu wakiwa na Furaha Mara Taarifa na picha zikatoka na ni Official zikimuonyesha Mbowe akiwa na Rais wa JMT hapo kila kitu kikaanza kunenwa tofauti hata humu kunawengine wameapia CCM itawale Milele kisa tu Eti Mwamba FAM kaonyesha Uzwazwa sa NAJIULIZA Ule ni Uzwazwa kweli? Au watu hatuelewi SIASA?
Mbowe kila siku Mi nasema na niseme hapa He is A Pure POLITICIAN anaelewa misingi ya Siasa yote sio mpuuzi kwenda Ikulu ni ulize tu Mtu ulikua na Kesi ya Ugaidi inafutwa halaf GAIDI unaitwa Ikulu unakataa sa unakataa vipi, si unaenda ili watu wenye kujiuliza wajiulize na wapate majibu ni Kweli huyu alikua GAIDI yani GAIDI aitwe Ikulu? Hili ndio swali Mlitakiwa kujiuliza jana kesi imefutwa ila inatakiwa tuendelee kufuata mambo madogomadogo ili tuelewe zaidi tusiiishe kwenye kusema Angesusa alichofanya FAM ni ukomavu wa Akili Mkubwa ndani ya SIASA.
Ni malize kwa kuuliza mlitaka Afanye Nini labda Nyie Waungwana?
Jana nahisi ilikua moja ya siku atakazozikumbuka Mwamba FAM kwenye Maisha yake hasa juu ya kesi iliyokua inamkabili yeye na wenzake ambapo DPP jana Aliamua kuifuta kesi hio au aliamua kutokuendelea nayo.
Baada ya taarifa ile shangwe nyingi zilikuepo niseme hata Mimi hapa nilifurahi sanaaaa kupita kiasi.
Sasa watu wakiwa na Furaha Mara Taarifa na picha zikatoka na ni Official zikimuonyesha Mbowe akiwa na Rais wa JMT hapo kila kitu kikaanza kunenwa tofauti hata humu kunawengine wameapia CCM itawale Milele kisa tu Eti Mwamba FAM kaonyesha Uzwazwa sa NAJIULIZA Ule ni Uzwazwa kweli? Au watu hatuelewi SIASA?
Mbowe kila siku Mi nasema na niseme hapa He is A Pure POLITICIAN anaelewa misingi ya Siasa yote sio mpuuzi kwenda Ikulu ni ulize tu Mtu ulikua na Kesi ya Ugaidi inafutwa halaf GAIDI unaitwa Ikulu unakataa sa unakataa vipi, si unaenda ili watu wenye kujiuliza wajiulize na wapate majibu ni Kweli huyu alikua GAIDI yani GAIDI aitwe Ikulu? Hili ndio swali Mlitakiwa kujiuliza jana kesi imefutwa ila inatakiwa tuendelee kufuata mambo madogomadogo ili tuelewe zaidi tusiiishe kwenye kusema Angesusa alichofanya FAM ni ukomavu wa Akili Mkubwa ndani ya SIASA.
Ni malize kwa kuuliza mlitaka Afanye Nini labda Nyie Waungwana?