Mnaolalamika na kubeza Mbowe kwenda kuonana na Rais, Mlitaka afanye nini?

Mnaolalamika na kubeza Mbowe kwenda kuonana na Rais, Mlitaka afanye nini?

Washabiki mandazi nyie hovyooo...Wewe na Rais nani wa Mhimu?? Mwenzio asote jela kisa uanachama wako wa mandazi kaa nao huko...
 
Wewe akili huna.

Rais aliekufunga na kudhalilisha na kukufanyia kila baya halafu unaona kukutana nae ni nafasi adimu?

Unatumia kichwa kufikiri ama makalio?
Kisasi ni cha Mungu tuu. Leo waweza kudhani una tumia kichwa kufikiri, na kesho waweza kujikuta kumbe ulitumia makalio kufikiri na hata kutamka.
Hatushindanishi matumizi ya akili za makalio wala za vichwa, bali tunajionyesha namna tu natumia akili vibaya.
 
Utaungana naye katika haya mapambano?
Mimi nataka nione Kama mwamba ataendeleza mapambano ya kudai katiba mpya kwa maandamano ya nchi nzima kama alivyoanza kipindi kile huku akitoa maneno ya kebehi kwa rais wa nchi?maana kwa mtazamo wangu inawezekana hii ndiyo ilikuwa sababu ya kuwekwa ndani, Kama ataufyata basi huu ni ushindi mkubwa kwa rais
 
Kisasi ni cha Mungu tuu. Leo waweza kudhani una tumia kichwa kufikiri, na kesho waweza kujikuta kumbe ulitumia makalio kufikiri na hata kutamka.
Hatushindanishi matumizi ya akili za makalio wala za vichwa, bali tunajionyesha namna tu natumia akili vibaya.
Wewe mungu umewahi kumuona akilipa kisasi?

Loserd ndio wanamuachia kila kitu mungu ambae hata hivyo hayupo.
 
Hata kama wana ushahidi ila kama kuifuta inaleta faida kwao kwanini wasiifute? si umeona wamefuta kesi na kumwita ikulu wamechukua points zao, labda wewe usiyejulikana na si mwanasiasa na hauna mtu wa kwenda kukuombea kwa rais ukikamatwa ndio hawawezi kukuachia hata kama hawana ushahidi.
Huo utu huo waupate wapi,kama waliweza waweka ndani mashehe wa uhamsho na wazee wa uhamsho bila ushahidi just kuwakomoa tu sababu Hakuna nguvu za kuwawajibisha kipi washindwe.
Uliona wapi kesi mashahidi wote ni police na police hao wote ni wakaazi wa dar na wengine wamekuwepo kwenye magenge ya wasiojulikana.
 
Naona kuna siku Samia atamshukia huyo mwehu aliyemuingiza chaka kuwa kuna watu walishafungwa jela kwa kesi hii ya mchongo hadi akajiabisha kwenye ile interview ya BBC.
Tulijua tangu mwanzo hamna kesi hapo.Huwezi kumkamata mtu ukitegemea ushahidi wa kubumba ni lzm uaibike.
Unamkamata mtu kwa mbwembe ukisema ushahidi upo then unamuachia
 
Wewe mungu umewahi kumuona akilipa kisasi?

Loserd ndio wanamuachia kila kitu mungu ambae hata hivyo hayupo.
Naamini Losers wa dunia hii wewe ndiyo kiongozi wao.
Kama umeweza kuamini Mungu hayupo utaamini matendo ya binadamu?
Kwa huu muda mfupi umethibisha kutumia makalio kufikiri na kutamka.
Ubaririkiwe Sana
 
Hata ingekuwa nani hakuna mtu ambaye angeweza kukataa nafasi ile ya kukutana na mkuu wa nchi ambaye ame play role kuachiwa kwake báada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Lisu nchini Begium.Ijulikane kwamba hii case ya Mbowe kwa tz ambayo waamuzi ni wateule wa Rais bila intervation yake unapotezwa hivi hivi unajiona kiubinadamu kama anakuita mionane nani akatae.
 
Mwenye akili kubwa asingekataa hiyo offer kubwa na ya ajabu, kwamba mtu aliyeitangazia dunia kwamba 'wewe ni gaidi, ulikimbia nje ya nchi kukwepa kukamatwa, na wenzako wameishafungwa jela', anakuita mkutane Ikulu! Ukikataa fursa hiyo wewe utakuwa mtu wa ajabu kuliko wote duniani!
Na utaonekana ni Gaidi Kweli.
 
Amani Itawale kwenu Nyote!

Jana nahisi ilikua moja ya siku atakazozikumbuka Mwamba FAM kwenye Maisha yake hasa juu ya kesi iliyokua inamkabili yeye na wenzake ambapo DPP jana Aliamua kuifuta kesi hio au aliamua kutokuendelea nayo.

Baada ya taarifa ile shangwe nyingi zilikuepo niseme hata Mimi hapa nilifurahi sanaaaa kupita kiasi.

Sasa watu wakiwa na Furaha Mara Taarifa na picha zikatoka na ni Official zikimuonyesha Mbowe akiwa na Rais wa JMT hapo kila kitu kikaanza kunenwa tofauti hata humu kunawengine wameapia CCM itawale Milele kisa tu Eti Mwamba FAM kaonyesha Uzwazwa sa NAJIULIZA Ule ni Uzwazwa kweli? Au watu hatuelewi SIASA?

Mbowe kila siku Mi nasema na niseme hapa He is A Pure POLITICIAN anaelewa misingi ya Siasa yote sio mpuuzi kwenda Ikulu ni ulize tu Mtu ulikua na Kesi ya Ugaidi inafutwa halaf GAIDI unaitwa Ikulu unakataa sa unakataa vipi, si unaenda ili watu wenye kujiuliza wajiulize na wapate majibu ni Kweli huyu alikua GAIDI yani GAIDI aitwe Ikulu? Hili ndio swali Mlitakiwa kujiuliza jana kesi imefutwa ila inatakiwa tuendelee kufuata mambo madogomadogo ili tuelewe zaidi tusiiishe kwenye kusema Angesusa alichofanya FAM ni ukomavu wa Akili Mkubwa ndani ya SIASA.

Ni malize kwa kuuliza mlitaka Afanye Nini labda Nyie Waungwana?
Mbaya zaidi wanaolalamika hawajawahi kukaa gerezani hata mwezi mmoja. Halfu akatae ili iweje? wakati mnapozungumza ndo mnaweza kuelewana.Hata huko Russia na Ukraine wanapigana ila wanataka wazungumze ili kufikia muafaka.
 
Wengi wenu hapa mnabwabwaja tu lakini hata mahabusu tu hampafahamu. Miezi minane gerezani tena bila kosa unafikiri hata mentally unakuwa OK? Kuweni na ubinadamu bwana.

Baada ya kutulia na kupata counseling na huduma za afya ya ubongo, nategemea kuona kama huyu kamanda ataendelea na harakati zake za kudai katiba mpya kwa mbinu zile zile za shari na dharau...

Kwa maoni yangu apumzike uenyekiti na Lissu au Lema wampokee kijiti. Ameshafanya ya kutosha!
Kuna clip zake huko Twitter!!..
 
Unaalikwaje straight kutoka jela?

Mbowe alipaswa baada ya kutoka jela akutane na wanachama waliosimama nae muda wote wakati kiteswa gerezani na kina samia. Awashukuru kwa kusimama nae.

Huko mbele kama angekutana na rais hakukua na shida.

Sasa wewe unaachiwa, watu waliosimama na wewe hawajasikia unasema nini moja kwa moja ikulu kucheka na aliekufunga, huo ni utaahira.

Ndio maana tunasema Tanzania haina wanasiasa, ina waganga njaa.
Wakati mwengine kukaa kimya ni busara zaidi!!...Unajua ametoka Mahabusu saa ngapi?!!..Akiwa Nyumbani kwakwe hukumuona Mwalimu?!!..Hukumuona Sugu?!!..Kuna clip zake zipo huko Twitter
 
Unaalikwaje straight kutoka jela?

Mbowe alipaswa baada ya kutoka jela akutane na wanachama waliosimama nae muda wote wakati kiteswa gerezani na kina samia. Awashukuru kwa kusimama nae.

Huko mbele kama angekutana na rais hakukua na shida.

Sasa wewe unaachiwa, watu waliosimama na wewe hawajasikia unasema nini moja kwa moja ikulu kucheka na aliekufunga, huo ni utaahira.

Ndio maana tunasema Tanzania haina wanasiasa, ina waganga njaa.
Kwahiyo mheshimiwa Mbowe nae ana Ganga njaa?!!....Wewe umemjua Mbowe kwasababu ya case ya Mchongo?!!.. Wakati mwengine uwe Una uliza hata historia!!..JPM alizuia billions of Mbowe family money!!..Au hili nalo hukusikia na hujui?!!...
 
Kajiangalia yeye binafsi acha aendelee kwa mchaga haishangazi Sacco's ataingalia kwa ukaribu Chadema ni Utopolo kama utopolo mwingine
Tanzania ina vyama zaidi 10 vya upinzani, kwanini CDM mnateseka nayo kuliko vyama vingine?! Kama unaona Mbowe is not your choice opt kwingine. Hata ACT -wazalendo.
 
Unaalikwaje straight kutoka jela?

Mbowe alipaswa baada ya kutoka jela akutane na wanachama waliosimama nae muda wote wakati kiteswa gerezani na kina samia. Awashukuru kwa kusimama nae.

Huko mbele kama angekutana na rais hakukua na shida.

Sasa wewe unaachiwa, watu waliosimama na wewe hawajasikia unasema nini moja kwa moja ikulu kucheka na aliekufunga, huo ni utaahira.

Ndio maana tunasema Tanzania haina wanasiasa, ina waganga njaa.
Wanachama wa CDM hajalalamika hata kidogo, cha ajabu MATAGA na chawa wa CCM mmechachamaa na wakali kama pilipili. Nini kinauma namna hii? Huruma hii Kwa wanaCDM mnatoa wapi wakati furaha yenu ilikuwa ni kuona Tiganga akimfunga Mbowe kwa gharama yoyote ile?
 
Back
Top Bottom