GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tena nimewalaumu sana hao waliowaadabisha kwani walitakiwa wamalize kabisa Shughuli ili Wakome na Wajifunze.Walipewa vijuisi ikulu vikawapumbaza, wakaanza kumtukana marehemu , kwa sasa wapambane na hali zao
Uzj wenye kuonesha uwezo Mdogo wakuchambua na kufasiri hoja mtambuka..Kwanini sijaumia kwa Taarifa nilizosikia sababu ni kwamba hawa hawa wanaolia leo na kulalamika wakiwa Matibabuni Hoi ndiyo walikuwa wakimsema Hayati Magufuli na wa sasa alipoingia wakawa wanampamba kwa gharama za Kumtukana na Kumdhalilisha Hayati Magufuli.
Haya / Hayo yanayowapateni ndiyo Malipo na Unafiki wenu na Kutumika Kwenu kumchafua Hayati Magufuli. Mkome!!
Hakika ndiyo maana tunasema Tanzania hatuna wapinzani ila tuna watoa taarifa. Sasa hivi hii itakuwa ajenda yao ya uchaguzi 2025. In short wapinzani hasa hili genge la mbowe hawana mtu wa strategy, yaani hawana mipango au mpango mkakati wa nini wafanye na wakati gani zaidi ya kudandia ajenda kulingana na CCM wanasema nini basi nao ndiyo safari inaanzaKwanini sijaumia kwa Taarifa nilizosikia sababu ni kwamba hawa hawa wanaolia leo na kulalamika wakiwa Matibabuni Hoi ndiyo walikuwa wakimsema Hayati Magufuli na wa sasa alipoingia wakawa wanampamba kwa gharama za Kumtukana na Kumdhalilisha Hayati Magufuli.
Haya / Hayo yanayowapateni ndiyo Malipo na Unafiki wenu na Kutumika Kwenu kumchafua Hayati Magufuli. Mkome!!
Nawalaumu sana Jamaa zangu wa Yambe kwani walitakiwa wamalize kabisa Shughuli kwa hawa Wanafiki na Wapuuzi.Walimshambulia Magufuli badala ya kushambulia CCM. Walichekelea pale walipomponda Magufuli wakaachwa huru, wakamwalika hata kwenye matamasha yao Tena wakaungana na mahasimu wa ccm waliokosana na Magufuli.
Kinachowapata Leo ni halali yao Wala siwaonei huruma kwani vitendo vyao badala ya kudumisha upinzani vimezidi kuudumaza.
Ealinyamazia Mambo kibao zikiwemo matozo kisa tu wamerambishwa asali.
Safi sana kwa Kilichowapata na naomba hata huko waliko sasa Dawa zisipatikane kabisa ili Maturubai yaanze Kuazimwa.Kama unafurahia walichopata ni jinsi inaonesha unaakili finyu kwenye mambo mtambuka.
Punguza kushinda vijiweni hapo KAWE ubonfo wako unazidi kuharibika.
Silipo wa Yambe wamenikera sana kwani walitakiwa wamalize kabisa Shughuli ili hivi sasa tuanze kuazima Maturubai.Ongeza sauti.