Mnaombeza Lissu jifunzeni toka kwa timu ya Simba

Mnaombeza Lissu jifunzeni toka kwa timu ya Simba

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kuna watu ambao kwa bahati mbaya wengine ni wanachama waandamizi wa CHADEMA, wanabeza msimamo wa Lissu wa kusimamia maamuzi ya vikao vya chama kuwa "No reforms No election" kuwa ni jambo lisilowezekana.

Lakini Klabu ya Simba kwa kusimamia Kanuni za ligi ya Tanganyika, imefanikiwa kugomea mchezo wake na Yanga hadi bodi ya ligi hiyo kuamua kuahirisha mechi husika.

CHADEMA wamechoka kutekwa, kuuawa, kuzuiwa kufanya siasa, chaguzi kuvurugwa na kura kuibiwa kufunguliwa kesi bandia, na hivyo kuamua kuwa kama hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi Tanzania.

Kama Simba wameweza kwa nini CHADEMA ishindwe kuwaongoza watanzania kulazimisha kuwa kama hakutakuwa na mabadiliko basi hakutakuwa na uchaguzi?

Together Stronger 💪
 
Kuna watu ambao kwa bahati mbaya wengine ni wanachama waandamizi wa CHADEMA, wanabeza msimamo wa Lissu wa kusimamia maamuzi ya vikao vya chama kuwa "No reforms No election" kuwa ni jambo lisilowezekana.

Lakini Klabu ya Simba kwa kusimamia Kanuni za ligi ya Tanganyika, imefanikiwa kugombea mchezo wake na Yanga hadi bodi ya ligi hiyo kuamua kuahirisha mechi husika.

CHADEMA wamechoka kutekwa, kuuawa, kuzuiwa kufanya siasa, chaguzi kuvurugwa na kura kuibiwa kufunguliwa kesi bandia, na hivyo kuamua kuwa kama hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi Tanzania.

Kama Simba wameweza kwa nini CHADEMA ishindwe kuwaongoza watanzania kulazimisha kuwa kama hakutakuwa na mabadiliko basi hakutakuwa na uchaguzi?

Together Stronger 💪
Watu tumechinja ng'ombe zeti 400
Endeleeni na utopolo wa simba na yanga.
 
Screenshot_2025-03-08-14-32-08-1.png
 
Kuna watu ambao kwa bahati mbaya wengine ni wanachama waandamizi wa CHADEMA, wanabeza msimamo wa Lissu wa kusimamia maamuzi ya vikao vya chama kuwa "No reforms No election" kuwa ni jambo lisilowezekana.

Lakini Klabu ya Simba kwa kusimamia Kanuni za ligi ya Tanganyika, imefanikiwa kugombea mchezo wake na Yanga hadi bodi ya ligi hiyo kuamua kuahirisha mechi husika.

CHADEMA wamechoka kutekwa, kuuawa, kuzuiwa kufanya siasa, chaguzi kuvurugwa na kura kuibiwa kufunguliwa kesi bandia, na hivyo kuamua kuwa kama hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi Tanzania.

Kama Simba wameweza kwa nini CHADEMA ishindwe kuwaongoza watanzania kulazimisha kuwa kama hakutakuwa na mabadiliko basi hakutakuwa na uchaguzi?

Together Stronger 💪
Ifahamike kwamba Chadema ina wanachama wengi kuliko Simba
 
Simba wanabaki kuwa wapumbav tuu..
Ni aibu kubwa kutia mpira kwapani..
Hovyoo
 
Inawezekana lakini hapa mfano uliotumika unaweza usitoe picha halisi

Jambo la Simba, ni Simba Vs Bodi ya ligi na kwa mpinzani wake ambaye ni Yanga.Tofauti na project ya No reforms no election ambayo ni kati ya TAL(CHADEMA kwa ujumla wake) vs Tume ya uchaguzi.Hapa ugumu unakuja kwamba project yake inapata upinzani kwa vyama vingine kama ACT,CUF kutaja vichache(No reforms No election ingekuwa practical kama vyama vyote vya upinzani wangekuwa na jambo moja,CCM asingeweza kushiriki uchaguzi peke yake, lakini katika hili vyama vingine vikikubali maana yake ni kwamba project itakuwa imekufa hivyo)
 
Umesahau ya Yanga kugomea kucheza saa moja na kuleta timu saa 11 kisha wakaondoka?Usijizime data
Situation tofauti kabisa hizoo...
Kwanza mpaka sasa hakuna alithibitisha hao mnaowaita mabaunsa walikuwa wa Yanga...

Kwanza hawa mabaunsa wameanza lini ktk hivi vilabu..
Hovyooo
 
Back
Top Bottom