Mnaombeza Prof. Ndalichako, amesoma PhD University of Alberta Canada

Vipi kuhusu maprof wa Kihindi wanavyo ongea
Vipi wa Kinaijeria
Kweli Bongo nyoso tembea muone
Nadhani tatizo sio pronunciation bali grammer of course na fluency hata kama itaathiriwa na mother tongue. Fikiria past, present, na future tenses zinampa mtu shida hapo hakuna lugha Mzee. Bila correct tenses huwezi eleweka asilani.
 
Tunakubali yeye ni ku crunch numbers tu. Ila ngosha kile kimalkia lazima ucheke na ukijuwa mama ni prof basi ndio wapigwa butwaa kabisa!!!
Anyway mie changu cha kubabaisha nisimcheke le prof kwa kuongea broken english kabisa!🤣😅😂
 
PhD ya chooni, sio Kwa kiingereza kichafu vile
 
Kiingereza kina lahaja 160,na zote zinakubalika Uingereza na USA.Ndani ya hizo nchi zenyewe,Uingereza na USA,hawaongei kiingereza aina moja.
 
Vipi kuhusu maprof wa Kihindi wanavyo ongea
Vipi wa Kinaijeria
Kweli Bongo nyoso tembea muone
Kiingereza kina lahaja 160,na lahaja zote hizo zinakubalika Uingereza na USA.Ndani ya USA na UK,wanaongea lahaja tofauti tofauti.
 
Kiingereza kina lahaja 160,na zote zinakubalika Uingereza na USA.Ndani ya hizo nchi zenyewe,Uingereza na USA,hawaongei kiingereza aina moja.
Ya kwake ni ipi kati ya hizo 160?
 
Nadhani hoja ilikuwa kujua Kiingereza vilivyo. Hayo mengine hayakuwepo. Tunajua ni profesa ila inapokuja lugha anachapa Kihanglish na hii ndo ilosemwa
 
Ali desa huyoo
 
Na alidefend thesis yake mbele ya maprofesa huko Canada na walimuelewa kabisa na English yake ya ze comedy!


Uzuri wa maprof wa Kizungu hawapendi kufelisha watu kama Maprof wa Kiswahili, Maprof wa Kizungu are friendly na wanaangalia UMEELEWA points.

Na uzuri wa hesabu ni Language in itself, unaweza kufuatilia mtiririko wa hesabu (formulations and derivations ) kutoka kwa mtu yeyote bila ya yeye kusema chochote na ukaelewa lugha ya hesabu alizotiririka, hizo ndizo hesabu.

Tumsamehe dada yangu.
 
Kuongezea alisoma vipaji maalumu Tabora girls.
Huyu aligomea div.5 kuanzishwa enzi za Msogagang, wanakinyongo naye, wanataka kuweka mtu wao.

Muondoeni tu,maana ndo mmeshika mpini.
 
wabongo kwa kuchekana hatujambo.Mwenzio akiwa kwenye nafasi unaona kama hafai tukupe wewe sasa.madudu matupu,
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Chato international Airport
Kwelea kwelea na njiwa pori ndio wanatumia runway ya Chato landing/take off[emoji928]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…