Mnaombeza Prof. Ndalichako, amesoma PhD University of Alberta Canada

Sarungi Alituletea VETA
Nchi hii haijawahi Kuwa na waziri wa Elimu bora na mbunifu zaidi ya marehemu Jackson Makwetta nae hakuwa na Ph.D!!!! What is important therefore is the performance and vision o

Vipi kuhusu maprof wa Kihindi wanavyo ongea
Vipi wa Kinaijeria
Kweli Bongo nyoso tembea muone
Mh!?, issue hapa ni fluence, wahindi, wa Nigeria, Jamaican, wamarekani na hata wa swedish, unaona kichwani misamiati imo. Na consistence ya anachoongelea.

Mother kimombo kimempita pembeni hata akitetewa vip.

Kunada him jamnvini alisema kimombo kile ni Kama Comedy flani hivi.
Hata Mimi first impression nilipomskiliza nikajua anafanya Comedy, kutamalaki, He!? Kumbe yupo serious Ana address issues za kitaifa.

Ikabidi nimeze diazepam ili usiku nisipate nightmare.
 
Uzuri hesabu hazina kiingereza zaidi ya Let.... Assume.....nk

Huyu prof nasikia ni bingwa wa hesabu anaweza ku derive hesabu ndefu kutoka msimbazi hadi kinondoni from simple to coplex
 
Huyu mwamba sikuhizi simsikii kabisa
 
Wote tunakubaliana na kazin nzuri ya magufuli ila wasiojulikana walimharibia sana hayati!
 
Ni wajinga tu wanaohoji uwezo wake. As long as anaweza kuongea na kuelewa, hiyo inatosha kabisa. Mtu kama Magufuli ndiyo alikuwa anashangaza kwani hakuwa na uwezo wowote na hata maamuzi yake yalikuwa ni kama ya mtu ambaye hajasoma.
 
Nawe ni kama yeye

Wachina wanajua kiingereza??
 
Sawa ndarichako tumekusikia..ila bado wewe ni kilaza tu kwenye lugha ya malikia.

#MaendeleoHayanaChama
Basi kachukue nafasi yake kama utaweza? 😂😂😂😂😂😂😂wewe endelea kulipa tozo tu inatosha. Kujua kiingereza sio kipimo cha uelewa wa mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…