Mnaombeza Prof. Ndalichako, amesoma PhD University of Alberta Canada

Mnaombeza Prof. Ndalichako, amesoma PhD University of Alberta Canada

Sarungi Alituletea VETA
Nchi hii haijawahi Kuwa na waziri wa Elimu bora na mbunifu zaidi ya marehemu Jackson Makwetta nae hakuwa na Ph.D!!!! What is important therefore is the performance and vision o

Vipi kuhusu maprof wa Kihindi wanavyo ongea
Vipi wa Kinaijeria
Kweli Bongo nyoso tembea muone
Mh!?, issue hapa ni fluence, wahindi, wa Nigeria, Jamaican, wamarekani na hata wa swedish, unaona kichwani misamiati imo. Na consistence ya anachoongelea.

Mother kimombo kimempita pembeni hata akitetewa vip.

Kunada him jamnvini alisema kimombo kile ni Kama Comedy flani hivi.
Hata Mimi first impression nilipomskiliza nikajua anafanya Comedy, kutamalaki, He!? Kumbe yupo serious Ana address issues za kitaifa.

Ikabidi nimeze diazepam ili usiku nisipate nightmare.
 
Uzuri hesabu hazina kiingereza zaidi ya Let.... Assume.....nk

Huyu prof nasikia ni bingwa wa hesabu anaweza ku derive hesabu ndefu kutoka msimbazi hadi kinondoni from simple to coplex
 
Mnaombeza Prof Ndalichako amesoma PhD University of Alberta Canada

The University of Alberta, kilianzishwa 1908 ni chuo cha 135 duniani kwa ubora.

Prof ana bachelor ya Hesabu (Methamatics) University of Dar Es Salaam from 1987–1991,

1993–1997 alienda University of Alberta, Edmonton, Alberta, Canada, where she obtained a PhD in educational psychology, major in educational statistics & measurement and evaluation.

Kwa hiyo kwa kifupi Prof major yake ni mambo ya hesabu. Hesabu ni lugha kama lugha zingine ila bahati mbaya haitumiki sana katika mazungumzo ya kawaida. Lugha ya hesabu inatumika kwenye mashine, komputya, simu, magari na robots.

Hichi chuo cha Alberta wanaendaga vipanga tu.
Huyu mwamba sikuhizi simsikii kabisa
 
Mimi simuhukumu kwa kingereza chake sababu watanzania wengi English yetu majangaaaaaaaaa....lol

Ila, kwa mtu aliyesoma educational Psychology ambae ana cheo kama chake kushindwa kuweka,/ jenga vituo vya watoto wenye special needs na kuweka referral system inayoeleweka kwa watoto hawa,.... CONCLUSION ameshindwa kujisimamia kiti chake na viatu vinampwaya...watu hawajaji kutokana na kingereza chako bali performance yako , Magufuli kingereza chake hakikuwa perfect ila alikua ana perform well na madhambi yake
Wote tunakubaliana na kazin nzuri ya magufuli ila wasiojulikana walimharibia sana hayati!
 
Mnaombeza Prof Ndalichako amesoma PhD University of Alberta Canada

The University of Alberta, kilianzishwa 1908 ni chuo cha 135 duniani kwa ubora.

Prof ana bachelor ya Hesabu (Methamatics) University of Dar Es Salaam from 1987–1991,

1993–1997 alienda University of Alberta, Edmonton, Alberta, Canada, where she obtained a PhD in educational psychology, major in educational statistics & measurement and evaluation.

Kwa hiyo kwa kifupi Prof major yake ni mambo ya hesabu. Hesabu ni lugha kama lugha zingine ila bahati mbaya haitumiki sana katika mazungumzo ya kawaida. Lugha ya hesabu inatumika kwenye mashine, komputya, simu, magari na robots.

Hichi chuo cha Alberta wanaendaga vipanga tu.
Ni wajinga tu wanaohoji uwezo wake. As long as anaweza kuongea na kuelewa, hiyo inatosha kabisa. Mtu kama Magufuli ndiyo alikuwa anashangaza kwani hakuwa na uwezo wowote na hata maamuzi yake yalikuwa ni kama ya mtu ambaye hajasoma.
 
Nawe ni kama yeye

hata angeenda uni of

hata angeenda Univ of mbinguni tungembeza tu kwamba hajui kiingereza, tena kwa huu uzi wako ndio umemuharibia kabisa maana mtu unakaa marekani alafu unashindwa kuunda sentesi za kingereza
mimi naona Deo kisandu yupo vizuri kwenye kimalkia kuliko ndalichako, yani mtu tumempa dhamana ya wizara yenye jukumu la kuhakikisha wtoto wanajua English lakini yeye mwenyewe hajui !!
Wachina wanajua kiingereza??
 
Sawa ndarichako tumekusikia..ila bado wewe ni kilaza tu kwenye lugha ya malikia.

#MaendeleoHayanaChama
Basi kachukue nafasi yake kama utaweza? 😂😂😂😂😂😂😂wewe endelea kulipa tozo tu inatosha. Kujua kiingereza sio kipimo cha uelewa wa mtu.
 
Back
Top Bottom