Sarungi Alituletea VETA
Mother kimombo kimempita pembeni hata akitetewa vip.
Kunada him jamnvini alisema kimombo kile ni Kama Comedy flani hivi.
Hata Mimi first impression nilipomskiliza nikajua anafanya Comedy, kutamalaki, He!? Kumbe yupo serious Ana address issues za kitaifa.
Ikabidi nimeze diazepam ili usiku nisipate nightmare.
Nchi hii haijawahi Kuwa na waziri wa Elimu bora na mbunifu zaidi ya marehemu Jackson Makwetta nae hakuwa na Ph.D!!!! What is important therefore is the performance and vision o
Mh!?, issue hapa ni fluence, wahindi, wa Nigeria, Jamaican, wamarekani na hata wa swedish, unaona kichwani misamiati imo. Na consistence ya anachoongelea.Vipi kuhusu maprof wa Kihindi wanavyo ongea
Vipi wa Kinaijeria
Kweli Bongo nyoso tembea muone
Mother kimombo kimempita pembeni hata akitetewa vip.
Kunada him jamnvini alisema kimombo kile ni Kama Comedy flani hivi.
Hata Mimi first impression nilipomskiliza nikajua anafanya Comedy, kutamalaki, He!? Kumbe yupo serious Ana address issues za kitaifa.
Ikabidi nimeze diazepam ili usiku nisipate nightmare.