Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,515
- 1,730
Acha vitisho ww!Habari za muda huu wanajf naomba kuwashauri baadhi ya watu ambao wamejikita kumuhukumu Hayati Dkt. Magufuli mkumbuke Marehemu anawatoto ambao kwa neema ya Mungu wanawepata nyadhifa kubwa nchi hii mtakimbilia wapi?
Mtu mbad
Temeke pia....Mkuu wa wilaya ya Hai
Kama alikuwa muovu acha asemwe tuAsum ndo baba yako ndo anatukanwa unalibebaje
Tutapigana nao hata vita ya kujilipua na mabomu! kama ndivyo uanvyofikiria, basi umekwisha na wao wamekwishaHabari za muda huu wanajf naomba kuwashauri baadhi ya watu ambao wamejikita kumuhukumu Hayati Dkt. Magufuli mkumbuke Marehemu anawatoto ambao kwa neema ya Mungu wanawepata nyadhifa kubwa nchi hii mtakimbilia wapi?
Asante Dkt.MshanaKila zama na kurasa zake
Kwa hiyo hao watoto wanakuja kumlipizia kisasi mzazi wao?Habari za muda huu wanajf naomba kuwashauri baadhi ya watu ambao wamejikita kumuhukumu Hayati Dkt. Magufuli mkumbuke Marehemu anawatoto ambao kwa neema ya Mungu wanawepata nyadhifa kubwa nchi hii mtakimbilia wapi?
CCM NDIO WANAOMSEMA VIBAYA WALIZOEA WIZI, NA UFISADI NA WALIKOMESHWAHabari za muda huu wanajf naomba kuwashauri baadhi ya watu ambao wamejikita kumuhukumu Hayati Dkt. Magufuli mkumbuke Marehemu anawatoto ambao kwa neema ya Mungu wanawepata nyadhifa kubwa nchi hii mtakimbilia wapi?
Mwambe GeleHabari za muda huu wanajf naomba kuwashauri baadhi ya watu ambao wamejikita kumuhukumu Hayati Dkt. Magufuli mkumbuke Marehemu anawatoto ambao kwa neema ya Mungu wanawepata nyadhifa kubwa nchi hii mtakimbilia wapi?
Yeye alivyokuwa anafanyia wababa wa watoto wengine watoto wake walikuwa wanayabebaje, wacha watu watoe yaliyo moyoni, hujui wameumizwa kiasi gani.Asum ndo baba yako ndo anatukanwa unalibebaje