Mnaomsema vibaya Hayati Magufuli kuweni na akiba ya maneno, kuna kesho

Baba wa watu alijitahidi kuikomboa Tz kiuchumi, kuitoa katika mikono ya mafisadi, sasa hao "VIPOFU" wanaomsema vibaya

Baba wa watu alijitahidi kuikomboa Tz kiuchumi, kuitoa katika mikono ya mafisadi, sasa hao "VIPOFU" wanaomsema vibaya hawaoni haya???
Kuikomboa kutokana na Nini? Yeye aliamini maendeleo ni kujenga nchi tu,Yaani miundombinu na Wala hakudeal na maendeleo ya watu.. Katika kipindi chake tumeshuhudia. Maovu mengi sana kama watu kubambikiwa kesi, Alisitisha ajira zote na kutokupandisha madaraja wayumishi,Lakini kubwa na baya zaidi Kuna wengine walishushwa madaraja.. Katika kipindi chake watu waliuwawa,kukiukwa kwa misingi ya haki na Sheria. Ule mpango wake wa plea Bergain uliwahjmiza ssna watu,kiasi kwammba huyu mama msenyewe aliona ni ukatili na Sasa ameanza kufuatilia waliodhulumiwa. Kwa mujibu wa Erick Kabendera na tetsi zinasema kuwa Kuna watu walikuwa wanaporws pesa waziwazi..!! Imagine.. JIWE alikuwa Dikteta,Itoshe tu kusema hivyo.. Heri mungu alivyoingilia Kati .
 
Alafu Kama ni miundombinu aliyojenga na Kujigamba kuwa Tz tunakuwa Kama ulaya, mbona Tz haipo hata kwenye 10 Bora za nchi zenye miundombinu Bora zaidi ya barabara! East Afrika hapa tumepigwa bao na Kenya na. Rwanda.!
 
Magufuli ni kama MAJI usipo yanywa, utayaoga, usipoyaoga, utafulia nguo. Huyu mwamba hawezi sahaulika iwe kwa mabaya au mazuri!
Utamkumbuka wewe na wanachama wenzio wa CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…