Mnaomshambulia Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kwa Kauli yake ya Kukafini Maiti Yanga SC kapimweni Akili

Umeshapata maji ya mochware?
 
Hyo BANNED Ina maana gan wazee? Yaan umeandkiwa hyo haraf bado unaendelea kutoa machapisho tu!! Maana najua ingekuzuia usiweke kitu
 
Tatizo we POPOMA una ID nyingi mno
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi kujua.
 
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi kujua.
POPOMA embu tulia basi
 
POPOMA embu tulia basi
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi Mizuzu ( Mijha ) iliyokubuhu / tuliyokubuhu hapa kujua.
 
Timu zote 2 hazina Wasemaji zina wahamasishaji.
Wee shabiki wa Yanga lia lia, uko kimyaaaaa km hujaona utopolo imefungwaa, ila angeshinda Yanga ungeona na chambuzi zako za mchongo, kujifanyaa shabiki wa mpiraaa na sio team.


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi Mizuzu ( Mijha ) iliyokubuhu / tuliyokubuhu hapa kujua.
Ngoja na hii ID waipige ban
 
"Simba haitufungi Abadan"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…