Mnaomtetea Hayati Magufuli nionesheni kaburi la Ben Saanane, Azory Gwanda na CCTV footage ya shambulio la Lissu

Mnaomtetea Hayati Magufuli nionesheni kaburi la Ben Saanane, Azory Gwanda na CCTV footage ya shambulio la Lissu

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Mnaoimba uzuri wa Magufuli tusaidieni haya maswali ili nafsi zetu ziungane nanyie. Mnamsifu kwa kujenga miradi ya kimkakati sawa lakini itakuwa na faida gani kama anadaiwa kuua watu?

J, kuna haja ya kumpongeza baba aliejengea watoto wake nyumba huku amewakata shingo mikono miguu na masikio?

Familia ya Magufuli imesikitika kumpoteza mpendwa wao bora wao wanaona hata kaburi je familia ya Ben na Azory hazihitaji kujua majaliwa ya baba zao?
 
No one is perfect na kama ukigundua hilo inakua juu yako kuchagua upande either wa mazuri au wa mabaya so wanaompenda usiwajudge eti kwasababu wanakipenda unachokichukia that iz all aboout life
Unajua makaburi yao yalipo? La mpendwa wenu lipo chato.
 
Ungeanza kwanza kudai haya..

1. Aliemsambaratisha mwangosi kwa bomu pale nyororo iringa
2. Alietupa bomu na kuua watu zaidi 5 kwenye mkutano wa chadema pale soweto arusha
3. Alimtesa ulimboka
4. Jambazi wakiomuua dr mvungi

Ni hayo tu kwa uchache, na ungedai kabla ya kurukia ya Magufuli.

Kwanza hao uliowataja ni kina nani kila siku mnalia lia humu,? Kama ni kuuawa wao ndio wa kwanza?
 
Back
Top Bottom