Mnaomtetea Magufuli mitandaoni wengi wenu hamumjui vizuri, mnamfahamu juu juu tu

Magufuri na makando yake yote hawezi kuwa sawa eti na Sa100 kwakipindi hiki cha miaka mitatu alichofanya kazi kama rais(never)

Magufuri weka mbali sijui kutumbua watu,kuwatembezea wapinzani virungu na mengineyo lakini kwenye kufanya vitu ambavyo vinaonekana yupo mbali sana(japo nlikuwa na mkataa kwasababu ya haraka zake zisizo na maana na kuanzisha vitu ambavyo vingekuwa mzigo kwa taifa ambalo ni tegemezi(mfano manunuzi ya ndege))

Nadhani kama kuna watu inabidi wamshukuru Magufuri siku zote ni Wagogo, kabadili town yao kwa muda mchache sana(nimekaa Dom zaidi ya miaka saba kabla ya Magufuri ila Dodoma ilikuwa kituko yani nyuma tu ya Bunge mitaa ya Chaduru,Makulu watu walikuwa wanalima karanga mjini na mahindi tena mashamba kabisa)
 
Wanaendeshwa na mahaba niue tu.

Ukiangalia mkewe alivyonawiri baada ya yule mzee kufariki tu utagundua yule mzee alikuwa tatizo lililoshindikana
Ungejua bioloji walau kidogo ingekusaidia

Aache kunawili wakato hayupo wa kuyakamua mafuta ili iweje

Mwanamke akipewa mjegeje vzr hawezi kujinenepea hovyo hovyo ananenepa kwa step kwa kuwa magu hayupo mwili hauna jegeje sasa lzm anenepe
 
Samia kaleta maendeleo? Njoo huku jimbo la Ukonga uongee huo ujinga! Labda kama kamzidu JPM ni kuzurula sawa!
Kwa hiyo huko ukonga Magufuli alikuwa hapaoni? Au pamekuwa jimbo ghafla kipindi cha Samia? Tanzania yetu ni kubwa huwezi kuleta maendeleo kwa mkupuo kila mahali! Hata magufuli mwenyewe hakuleta maendeleo kila sekta kwa wakati mmoja. Maana ili alete maendeleo ilibidi adhulumu haki za wafanyakazi wa umma na kudhulumu wabaya wake.
Halafu vipi ile Noah kwa kila mtanzania aliwaletea?🤣🤣
 
Wewe kupenda vitu rahisi rahisi sasa chenji ya watu unakaa nayo ya nini? Ili utafutie watu lawama?

Walio tumbuliwa wote walitumbuliwa hazarani na kwa sababu maalumu sio kimya kimya.

Tulikuwa tunapenda kuona kiongozi akiwajibika na akiwawajibisha viongozi chini yake kwasabab uongozi ni ufanisi na uwazi

hayo maisha yake mengine hayatuhusu ila alifanyia nini nchi Ndio kinatuhusu 😂
 
Kaka wewe alikutuma dukani ukabana chenji ukadhani atakuachia Ila akakudai ukamaindi ?
 
Magufuli ni jembe wanaomkosoa ni wale wasenge maboya wa dizaini ya kina kabendera.Leo hii ukiweka jiwe uliite magufuli ajitokeze na mwingine apige kampeni weee kura ipigwe jiwe linashinda. Kuendelea kumsema vibaya Magufuli ni utahira tu kwani Watz wote ni wapumbavu walikuwa hawaoni aliyoyafanya? Narudia tena hakuna kama Magufuli ktk uongozi wa nchi hii mengine ni uharo tu
 
Unafikiri VYETI FEKI watampenda MAGUFURI

Nasema,
WAZALENDO WOTE TUNAGONGA CHEERS 🥂 🥂 KWA MAISHA YA JOHN POMBE MAGUFURI.

Watu walikua na nidhamu ya kazi..ukichelewa ofisn kiti kina chukuliwa 😷

Unadhani watu wazembe,wavivu, Wala rushwa, mafisadi , wapiga Dili ilikua likitajwa jina MAGUFURI yanatetemeka na kuharisha gafla kwa sababu MAGUFURI alikua ni RULA
 
Sisi hatuhitaji kujua zaidi kuwa bila yeye umeme ungetutesa sana, barabara hazingekuwa zilivyo, kusingekuwa na flyover dar, wala SGR reli, wala bomba la mafuta toka uganda. Miradi mingine iko ya kinyonyaji, kama ya gas toka kusini haijatupa unafuu wowote wa umeme mara wafunge wanafanya ukarabati. Mbona huko ulaya mitambo haizimwi na mingi ibatumia gas inayotoka mabali kama Urusi sio karibu kama mtwara dar? Sasa tumepata umeme wa maji si wale wanaotaka kununua umeme wazungumze na wenye gas wawazalishie. Si IPTL mnajua walivyotunyonya. Hawa baadhi yao viongozi wengine ni watanzania kweli?
 
Mafisadi na familia zao na waovu wote wanaoirudisha nyuma Tz ndio ambao hamumpendi JPM

Mtu akiwa mkali kosa akiwa mpole pia kosa yaani umaskini wa Tanzania ni kwa sababu wananchi wake wana ujinga na hawajui wanataka nini.
Ungekuwa hujaolewa ningekuoa
 
Wanaendeshwa na mahaba niue tu.

Ukiangalia mkewe alivyonawiri baada ya yule mzee kufariki tu utagundua yule mzee alikuwa tatizo lililoshindikana
Wajane mbona wapo wengi bro, yupo wa mzee Karume, Nyerere, Mwinyi, Mkapa nk; tuwekee picha za wote tujiridhishe.
 
Wajane mbona wapo wengi bro, yupo wa mzee Karume, Nyerere, Mwinyi, Mkapa nk; webu tuwekee picha za wote tujiridhishe.
Mjane wa Mkapa hajanawiri kama wa Magufuli wewe!

Kipindi mzee yupo hai yule mama sura yake alikuwa kila mara anaikunja kunja hovyo hata mng'ao ulipotea.

Saivi kawa kigori kabisa mama wa watu. Mungu azidi kumpa maisha marefu maana amepitia msoto sana kipindi yule mzee alikuwa hai!
 
Umekosea uliposema Samia kafanya mengi. Ndiyo, Magufuli alikuwa ni katili sana. Lakini mbona Samia anafanya unyama kuliko hata Magufuli?
 
Tupeni taarifa na ushahidi wa kweli, sio hizi za Kabendera za kusema mara Rais alimoiga risasi eti live watu waka mkuta akatetemeka akaangusha shaba , mara ohh aliliwa na chatu what is this? Finally mnatuambia karatasi ile imeandikwa na mtu wa PHD London, wo cao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…