mtoto mkali sana yule tusiende mbali wala karibu yuko vizuri sana aiseeYah! Ni kweli kabisa unachosema ni msanii mkali! Sema me sio shabiki wa mziki wake na kwa kusema hivi sio kwamba hajui nop! Ila moja ya vitu vingine tofauti alichonacho me napenda mwonekano wake tu...
Noma sana aisee! Mtoto ako simple sana ila anavutia kinomamtoto mkali sana yule tusiende mbali wala karibu yuko vizuri sana aisee
Hapa ndo umesemaje we msukuma?She is so overrated.
A hype job.
umeipima inakilo ngap??Ana sura nzito sijui kwann
🤣🤣🤣🤣🤣umeipima inakilo ngap??
Tuko pamoja nami sijawahi kumuelewa Jide japo naheshimu juhudi zake...Hapa ndio utajua nguvu ya media ktk promo!!!Kwa kupitia mgongo wa G-Habash ndio nadhani Jide alipata umaarufu hasa kile kipindi cha 20 bora...Kila wiki nyimbo yake ilikuwa lazima iwe namba moja hata iwe mbaya ila mnazoeshwa nyimbo zake mpaka mnaziona afadhali.Ni kawaida mkuu kila mtu na ladha yake
Sijawahi kumuelewa Jide commando hata wimbo mmoja
Naona kama anaimba kwaya vile
Lakini namuheshimu mmno kama mmoja wa wanamuziki nguli kwasababu ya credibility mtaani
So wewe kutokumuelewa Zuchu hakumfanyi kuwa hajui muziki