Mnaomuelewa Zuchu mtueleweshe

Mnaomuelewa Zuchu mtueleweshe

Promo zote kwa sasa msingi ni social media. Its only in social media ambapo promo zinaweza kufanyiwa targetting ya ukweli tofauti na traditional media kama Tv au Radio. Wewe jua hatq hizo media houses zinahaha kuendana na kasi ya mtandao maana zinajua fika mtandao una power kiasi gani kuliko wao

Hata Diamond angekuwa ashapotezwa kama asingekuwa na alternative ya media houses kubwa "nayo ni social media na kukua kwa digital platforms haswa baada ya kuingia kwa smartphones ambazo zimemfanya kila mtu kupata access ya mtandao". Hii ndo pona yake BISHA KATAA

Kingine umeng'ang'ania namba sana wakati ni kitu kimoja na sio final. Ndio maana unaweza kuta kuna mastar wana millions of followers ila wanashindwa kupata endorsements ZA makampuni. Hapo ndio utajua numbers inakupa uwezo wa kuhakiki ila sio kufanyq maamuzi sahihi

natumai umeelewa
Bro upo sahihi kabisa Ila bado hujaelezea mwenye Uzi ameuliza, yeye hamuelew anajitahid lakin anakataa kabisa kuingia ndio akauliza wanaomkubali wamueleweshe wanachokikubali, na zaidi je anauwezo wa kuimba au la!
 
Kweli kuna watu wanaona tunamuone

Ok anamiez 7, katoa ngoma ngapi mpaka sasa? Ana hata hit song moja pamoja na kubandika bandua nyimbo?
Labda uelezee maana ya hit song maana naona wa2 unawachanganya
 
Bro upo sahihi kabisa Ila bado hujaelezea mwenye Uzi ameuliza, yeye hamuelew anajitahid lakin anakataa kabisa kuingia ndio akauliza wanaomkubali wamueleweshe wanachokikubali, na zaidi je anauwezo wa kuimba au la!

nilikuwa najibu comment tu na sio mada mkuu.
Nishawahi kuongelea pia tu kama WCB ilimfanya harmonize kuwa star mkubwa wakati kipaji kilikuwa hafifu itakuwa kwa Zuchu ambaye at least ana kipaji na family name
 
Zuchu alifaa kuimba mimi simuelewi kama vile amesha chakaa yaani hanivutii nyimbo zake zimepooza 😂
 
hivi ndugu umeona promo anayopewa lady jay dee pale clouds kuanzia tv, radio hadi kwenye social media zao siku za hivi karibuni???
Kumbuka lady jay dee ana followers million 4 kwenye instagram yake na wimbo wake umepostiwa na watu kama 5 wenye followers Zaidi ya million 1akina ay,mwana fa, Millard Ayo,n.k ila mpaka sasa una views elfu hamsini halafu huko kwenye digital platforms hata haionekani. Hivi maana yake nini???
Kazi kama mbovu hata uipe promo vipi haitasapotiwa.

Lady jay dee ni yesterday story, Hayupo relevant kiasi kikubwa kwa kizazi cha sasa ambacho kinafuatilia muziki kwa sasa. Pia anaandika nyimbo zake ilhali industry ishabadilika. Ila bado tunamuheshimu maana yupo anapush mziki wake kwa zaidi ya miaka 20 kitu ambacho wachache wanaweza

Kingine mkuu, WCB ni WCB tu. Utaongelea media WAPO, social media WAMEITAWALA, Showbiz WAMEITAWALA, record label yao imekuwa kama gate way ya East Africa kimuziki. Hivyo WCB ipo kila sehemu kiasi kwamba huwezi kuipuuzia in any way na yoyote anaejiweka karibu yao ni lazma awe BRAND KUBWA

Sasa imagine power kama hiyo iwe invested kwa msanii mmoja !!!!..

Huwezi kupuuza kuwa mafanikio ya ZUCHU NI MAFANIKIO YA WCB, SIO MAFANIKIO YAKE BINAFSI. Watu wanaiona WCB kabla ya kumuona Zuchu kitu anachotakiwa kupambana nacho ili apate mafanikio halisi mkuu
 
Lady jay dee ni yesterday story, Hayupo relevant kiasi kikubwa kwa kizazi cha sasa ambacho kinafuatilia muziki kwa sasa. Pia anaandika nyimbo zake ilhali industry ishabadilika. Ila bado tunamuheshimu maana yupo anapush mziki wake kwa zaidi ya miaka 20 kitu ambacho wachache wanaweza

Kingine mkuu, WCB ni WCB tu. Utaongelea media WAPO, social media WAMEITAWALA, Showbiz WAMEITAWALA, record label yao imekuwa kama gate way ya East Africa kimuziki. Hivyo WCB ipo kila sehemu kiasi kwamba huwezi kuipuuzia in any way na yoyote anaejiweka karibu yao ni lazma awe BRAND KUBWA

Sasa imagine power kama hiyo iwe invested kwa msanii mmoja !!!!..

Huwezi kupuuza kuwa mafanikio ya ZUCHU NI MAFANIKIO YA WCB, SIO MAFANIKIO YAKE BINAFSI. Watu wanaiona WCB kabla ya kumuona Zuchu kitu anachotakiwa kupambana nacho ili apate mafanikio halisi mkuu
So she's overrated?
 
Lady jay dee ni yesterday story, Hayupo relevant kiasi kikubwa kwa kizazi cha sasa ambacho kinafuatilia muziki kwa sasa. Pia anaandika nyimbo zake ilhali industry ishabadilika. Ila bado tunamuheshimu maana yupo anapush mziki wake kwa zaidi ya miaka 20 kitu ambacho wachache wanaweza

Kingine mkuu, WCB ni WCB tu. Utaongelea media WAPO, social media WAMEITAWALA, Showbiz WAMEITAWALA, record label yao imekuwa kama gate way ya East Africa kimuziki. Hivyo WCB ipo kila sehemu kiasi kwamba huwezi kuipuuzia in any way na yoyote anaejiweka karibu yao ni lazma awe BRAND KUBWA

Sasa imagine power kama hiyo iwe invested kwa msanii mmoja !!!!..

Huwezi kupuuza kuwa mafanikio ya ZUCHU NI MAFANIKIO YA WCB, SIO MAFANIKIO YAKE BINAFSI. Watu wanaiona WCB kabla ya kumuona Zuchu kitu anachotakiwa kupambana nacho ili apate mafanikio halisi mkuu
So she's getting more recognition than she deserves??
 
So she's getting more recognition than she deserves??

I can agree on that, unajua the recognition or attention amepata ni ya mtu revolutionary. Someone who has come with something new enough to stop the traffic just like how Vee money did

But remove the WCB brand behind her, watch and listen to her music. Do you think she could possibly reach the heights or enjoy the amount of success she has right now with just that !!...
 
Huyu zuchu ni kama diamond tu..wote hawana kipaji kikubwa cha usanii ila wamebahatika kupita kwenye mikono ya watu wanaojua vzr soko na promo za muziki wa bongo.
 
Zuchu anfaa kuomba taarabu mimi simuelewi kama vile amesha chakaa yaani hanivutii nyombo zake zimepooza 😂
Exactly...na hata nyimbo zake zinamahadhi ya taarabu huenda wcb wanataka wahamie kwenye taarab
 
Huyu zuchu ni kama diamond tu..wote hawana kipaji kikubwa cha usanii ila wamebahatika kupita kwenye mikono ya watu wanaojua vzr soko na promo za muziki wa bongo.
Ebu rudia comment vizuri may be wakati unaandika ulikuwa umepiga moja Moto moja baridi
 
I can agree on that, unajua the recognition or attention amepata ni ya mtu revolutionary. Someone who has come with something new enough to stop the traffic just like how Vee money did

But remove the WCB brand behind her, watch and listen to her music. Do you think she could possibly reach the heights or enjoy the amount of success she has right now with just that !!...
Probably true, lakini nadhani ndio maana ya kuwa na recording label.kwahy yeye anahitaji jitihada zaidi ili kumaintain hiki ki2 hasa ukizingatia yupo kwenye label kubwa Kama WCB yenye mashabiki wengi East Africa
 
Nipo shuleni kwa dogo hapa, kuna event wenyewe wanaita graduation mass..ni ibada. Full ung'eng'e yaani sielewi..nimeamua kusogeza muda na jf
Kale kabinti ketu kazuri kazuri ndio kana graduate mwaka huu eeeeeh.

Mwambie Daddy anampenda sana
 
Back
Top Bottom