The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
[emoji123][emoji123]Yaah nimeelewa.... acha aendelee labda namimi ntamuelew na miondoko yake ya taarab flani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji123][emoji123]Yaah nimeelewa.... acha aendelee labda namimi ntamuelew na miondoko yake ya taarab flani
yeap kama nilivyosema "watu wanaiona WCB kabla ya kumuona zuchu so, anatakiwa kutengeneza fan base yake mwenyewe"Probably true, lakini nadhani ndio maana ya kuwa na recording label.kwahy yeye anahitaji jitihada zaidi ili kumaintain hiki ki2 hasa ukizingatia yupo kwenye label kubwa Kama WCB yenye mashabiki wengi East Africa
[emoji849]Kale kabinti ketu kazuri kazuri ndio kana graduate mwaka huu eeeeeh.
Mwambie Daddy anampenda sana
Na ukubali Sana huu wimboSema upendacho utakula njegere?🎶
Nyama kulumangia au nkunchumie tembelee🎶🎶🎶
Checheeee rummbaaa🎶
I love you all[emoji849]
Uko vizuri kwa kweliiNa ukubali Sana huu wimbo
Kuna wakati nasikiliza Mara 7 kwa sikuUko vizuri kwa kwelii
We NomaaaaMkuu Kuna wanaomuelewa kimuziki tupo tunaomuelewa kwa kumtaka kimahaba,kimapenzi,kumlamla,kumfidodido..[emoji12]
Toto yuko vizuri na anafaa kwa matumizi..[emoji41]
Roho mbaya haijengiAna sura nzito sijui kwann
Mbona huyo demu Ni mzuri kwanza Ni mbichi,ana ngozi nzuri na anafaa kwa matumizi ya binadamu au mwenzetu una jicho tofauti na sisi?Haijengi nyumba?
Kila nmoja na lakeZuchu ndio Mgombea wa chama kipi? Kwani Kakatwa na Nec au?
Tuko busy . Maana 28 oct tuna jambo letu
Hizi ngonjera za kutembelea nyota ya wcb au diamond zilianza kitambo enzi Hamonizer akapondwa sana anamuiga mond na anabebwa na lebel......muda umeongeayeap kama nilivyosema "watu wanaiona WCB kabla ya kumuona zuchu so, anatakiwa kutengeneza fan base yake mwenyewe"
Mtoa mada anatakiwa kuelewa hiloKupendwa raha, Nisamehe, Wana…….nyimbo nzuri sana ila sio lazima tuzipende wote
Yaani mpaka inakeraShe is so overrated.
A hype job.