Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Oooh,wala sio mengi ni moja tu....lini ulitambua wewe ni LGBTQ....Z?Lini hasa..nani alikwambia au ulijiambia wewe binafsi...well,kuanzia leo mimi ni.......!@Culture Me ni KE, ni kweli ni LGBT member, uliza maswali lakini sidhani kama itakua poa kwa uzi wa watu.
Bora wee uwape tu ukweli, ili waelewe lol[emoji23][emoji23][emoji23]Kaka chai umekunywa lakini maana sio kwa essay hii, hahahahaha
TANGU JESHII ATOKE WASAFI NURU YA MONDI INAZIDI KUFIFIA YAAN KAFUBAA HANA RAHA KABISA, KAJAZA WAIMBA TAARABU BASI KICHWA KINAZIDI KUMUUMA.
cocastic niongeze sauti au inatosha babe, lol [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe basi mie ndo huwa napoteza stress maan wanapovuka hai lolNapenda sana team wasafi wanavyopanic yaan wanatamani hata wavue boxer wavae vichwani hahaha nikiwa bored hua naenda kuwachokoza youtube channels zao weeee halafu wanaitana basi wanatiririka hapooo me nacheka tu, wakitulia nawapa lingine wanaanza upyaaa, very fun. [emoji23]
Nilijua i like girls nilipobalehe, mambo ya crush na nini, lakini hasa kujua kama lesbian nilipokua miaka 19, my first woman tought me kila kitu.Oooh,wala sio mengi ni moja tu....lini ulitambua wewe ni LGBTQ....Z?Lini hasa..nani alikwambia au ulijiambia wewe binafsi...well,kuanzia leo mimi ni.......!
[emoji3]wee jamaa wew hua unanichekesha SanaNilijua i like girls nilipobalehe, mambo ya crush na nini, lakini hasa kujua kama lesbian nilipokua miaka 19, my first woman tought me kila kitu.
Bado tu unachekaga, nilikwambiaje kuhusu kucheka cheka. Lol[emoji3]wee jamaa wew hua unanichekesha Sana
'Did you ever been'[emoji3][emoji3] I'm not serious one and I like non serious person did you ever been serious one's a day!!?
Kingeeee😀😀😀mvurundo wa hajaaaa💃💃
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukafuta, wajuba wakaidaka,Kiingilishi bhana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo umenidaka pabaya ile nafuta mzigo ndendee[emoji23][emoji23][emoji23] ungekua karibu kofi moja matata lingekuhusuUkafuta, wajuba wakaidaka,
Mimi ndio maana nakiongea nikilewa tu.
[emoji2][emoji2][emoji2]Kingeeee[emoji3][emoji3][emoji3]mvurundo wa hajaaaa[emoji126][emoji126]
Jaman Mimi ndo simuelewi kabisaaa.alafu ana maneno ya kitaarabu anayapachika huko arghh...Mimi siku zote heshima Nampa Vanessa na Ruby jamani...Nilijua ni mimi na uzee wangu ndo simuelewi kumbe hate nyie vijana
Nashauri aimbe taarabu, anachanganya taarab kwenye bongo flava anashindwa kunogeshaJaman Mimi ndo simuelewi kabisaaa.alafu ana maneno ya kitaarabu anayapachika huko arghh...Mimi siku zote heshima Nampa Vanessa na Ruby jamani...
Nipo shuleni kwa dogo hapa, kuna event wenyewe wanaita graduation mass..ni ibada. Full ung'eng'e yaani sielewi..nimeamua kusogeza muda na jfKingeeee[emoji3][emoji3][emoji3]mvurundo wa hajaaaa[emoji126][emoji126]
kweli byuti laiz ini ze aiz ofu ze biholdajapo aliefunika mule ni Queen Darleen na ile verse 'Karantini yangu mi na machizi ni kuparty na usingizi.