kama wasafi inambeba kwa nini isiwe hivo kwa queen darlin & lava lava?Anabebwa na jina la Wasafi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama wasafi inambeba kwa nini isiwe hivo kwa queen darlin & lava lava?Anabebwa na jina la Wasafi
Nishajibu hukokama wasafi inambeba kwa nini isiwe hivo kwa queen darlin & lava lava?
Kwanza hujaonesha wapi nilisema "hana talent anabebwa"Hivi unawezaje kumuongelea mtu ambaye hujawai kumsikia 😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23] unajua vipi kanishinda kila kitu? Huko kuonekana kweny [emoji342]? Lol poleee wee.Kakushinda kila kitu,polee[emoji23][emoji23]
Mwenye macho aambiwi tazama.[emoji23][emoji23][emoji23] unajua vipi kanishinda kila kitu? Huko kuonekana kweny [emoji342]? Lol poleee wee.
Kwa mtazamo wangu lavalava yuko talented kuliko hicho kidemu
Unazungumzia kufanya vizuri, mimi nafikiri alifanya vizuri wakati wake mbona nyimbo zililia sana mtaani
Hata isingekuwa hivyo Zuchu ni vile bosi ameamua kutumia nguvu kubwa kumpandisha sababu ndio mgeni, msanii yoyote tu Bosi akiamua kuweka nguvu huko atawika
Mimi sina shida na wasafi, ila hako kadogo hata kukajadili naona nakapaisha tu na nyinyi chawa ndio mnatuponzaga
Kwanza lazima tukubali kwamba promo ni kitu cha muhimu sana katika kazi yoyote.Kama kazi inaongea kwanini uwe na kazi ya ziada kuitetea?
Huoni kwamba kuitetea kwako pia ni kuiongelea?
Na kwasababu umeiongelea huoni pia hiyo inatoa tafsiri kwamba kazi haiongei na ndio maana bila promo unayoipigia kuna uwezekano isifanye vizuri endapo utaiacha isimame yenyewe kama yenyewe?
Harmonize kuanzia anapojiunga hadi anakuja kuondoka wcb sijawahi kusikikiza nyimbo zake na kum-rate kwa mapana ambayo nyinyi mmekua mkimuongolea
Halafu kingine cha ziada unachopaswa kujua ni kutotumia kipimo cha views kupima ubora wa mashairi alafu kiwango cha views utachopata ndio kiwe hitimisho kujua umahiri wa msanii
Na mwenye masikio haambiwi sikia, poleeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenye macho aambiwi tazama.
Loser
Umeongea point mzeeKwanza lazima tukubali kwamba promo ni kitu cha muhimu sana katika kazi yoyote.
Lakini kumbuka pia wasanii kama Alikiba anapewa promo kubwa sana na media kubwa za burudani hapa nchini kuanzia kwenye redio,tv hadi social media zao, kwa nini katika kipindi chote hicho kaja kupitwa na huyu binti ndani ya kipindi kifupi katika digital platforms mbalimbali???
Inakuwaje mtu wanamsifia, wanasema ana kipaji, ana pata promotion kubwa ya media kubwa halafu mwisho wa siku hawasapoti kazi zake mitandaoni???
Ndio maana nasema kazi nzuri inatembea yenyewe. Kama kazi mbovu hata upewe promo ita buma tu.
Ikiwa promo kubwa ndio inabeba msanii mbona Alikiba akui?Kwanza hujaonesha wapi nilisema "hana talent anabebwa"
Pili hata hapa kuna kosa umelifanya ambalo ukiulizwa huwezi kulitolea majibu
Ni indicators gani zimekufanya uhisi namuongelea mtu ambaye simjui?
Hii pia inatosha kuthibitisha kwamba hujui kuzingatia unachosoma
Hakui kama nani?Ikiwa promo kubwa ndio inabeba msanii mbona Alikiba akui?
Kwenye hatua za mziki kiba Sasa hiv kazidiwa hata na harmonize japo alikuwa anapewa promo kubwaHakui kama nani?
Unamlinganisha na nani kujua kwamba huyu hakui?
Hakui katika nyenzo zipi? Na zipi sababu?
OkKwanza lazima tukubali kwamba promo ni kitu cha muhimu sana katika kazi yoyote.
Lakini kumbuka pia wasanii kama Alikiba anapewa promo kubwa sana na media kubwa za burudani hapa nchini kuanzia kwenye redio,tv hadi social media zao, kwa nini katika kipindi chote hicho kaja kupitwa na huyu binti ndani ya kipindi kifupi katika digital platforms mbalimbali???
Inakuwaje mtu wanamsifia, wanasema ana kipaji, ana pata promotion kubwa ya media kubwa halafu mwisho wa siku hawasapoti kazi zake mitandaoni???
Ndio maana nasema kazi nzuri inatembea yenyewe. Kama kazi mbovu hata upewe promo ita buma tu.
Chief kama wewe Hujamwelewa kuna wanao mwelewa sanaHuyu dada katoa ngoma nyingi ila hata moja sijaielewa, nikajua anatubip tu kuna vitu vinakuja...cha kushangaza muda unavyozidi kwenda ndio kama anazidi kutusisitiza hivyo alivyo ndivyo alivyo na tumkubali hivyo hivyo. Naamini hata waliompokea kwa nguvu zote wanakua dissapointed sasa maana ngoma mpya na Mondi nikajua ndo wamemaliza kumbe ndo wanakazia mulemule alimopitia kwenye nyimbo za mwanzo ambazo hata hujui ipi ni ipi zote mulemule na makelele mengi.
Nilianza kupata imani kwenue ngoma ya Karantini ambayo alifanya vizuri japo aliefunika mule ni Queen Darleen na ile verse 'Karantini yangu mi na machizi ni kuparty na usingizi.
Ila tuache utani WCB kama pamoja na kumpika zuchu na tena kumpa collabo na mondi ndio mmetoa project mbovu hivi naanza kuamini sasa hampo serious aisee, nyie hatujawazoea kulipualipua kazi.
Yegoo jibu zuri sana.Chief kama wewe Hujamwelewa kuna wanao mwelewa sana
huyo Diamond kama angekuwa anasikiliza maneno ya watu kama wewe si dhani kama angekuwa amemtoa msanii hata mmoja sasa hivi kwa maana hata mbosso ilikuwa hivi hivi lakini leo yupo mbali.Kwa mtazamo wangu lavalava yuko talented kuliko hicho kidemu
Unazungumzia kufanya vizuri, mimi nafikiri alifanya vizuri wakati wake mbona nyimbo zililia sana mtaani
Hata isingekuwa hivyo Zuchu ni vile bosi ameamua kutumia nguvu kubwa kumpandisha sababu ndio mgeni, msanii yoyote tu Bosi akiamua kuweka nguvu huko atawika
Mimi sina shida na wasafi, ila hako kadogo hata kukajadili naona nakapaisha tu na nyinyi chawa ndio mnatuponzaga
Broh ukitaka kujua uwezo wake zaidi kafuatilie clip alipokuwa anashiriki kwenye Tecno ownstage Nigeria Kama bado unaona hajui kuimba achananaeAmerican English bhana we vp
Tatizo watanzania mnatanguliza Sana excuses ndio Yale Yale ya "me nimefail kwa sababu sikusoma Sana Ila ningekaza"upuuzi tuAnabebwa na jina la Wasafi
Mbn Kuna queen darling Kuna lava lava lkn wanaukubwa gani na wapi wcb, think againKwakweli wasafi ni jina kubwa mi nilikua nalichukulia poa, ila kwa zuchu ndo nimeamini jina la wasafi lina nguvu mno