Mnaomuelewa Zuchu mtueleweshe

Mnaomuelewa Zuchu mtueleweshe

Hivi unawezaje kumuongelea mtu ambaye hujawai kumsikia 😂😂😂
Kwanza hujaonesha wapi nilisema "hana talent anabebwa"

Pili hata hapa kuna kosa umelifanya ambalo ukiulizwa huwezi kulitolea majibu

Ni indicators gani zimekufanya uhisi namuongelea mtu ambaye simjui?

Hii pia inatosha kuthibitisha kwamba hujui kuzingatia unachosoma
 
Kwa mtazamo wangu lavalava yuko talented kuliko hicho kidemu
Unazungumzia kufanya vizuri, mimi nafikiri alifanya vizuri wakati wake mbona nyimbo zililia sana mtaani
Hata isingekuwa hivyo Zuchu ni vile bosi ameamua kutumia nguvu kubwa kumpandisha sababu ndio mgeni, msanii yoyote tu Bosi akiamua kuweka nguvu huko atawika

Mimi sina shida na wasafi, ila hako kadogo hata kukajadili naona nakapaisha tu na nyinyi chawa ndio mnatuponzaga
Kama kazi inaongea kwanini uwe na kazi ya ziada kuitetea?

Huoni kwamba kuitetea kwako pia ni kuiongelea?

Na kwasababu umeiongelea huoni pia hiyo inatoa tafsiri kwamba kazi haiongei na ndio maana bila promo unayoipigia kuna uwezekano isifanye vizuri endapo utaiacha isimame yenyewe kama yenyewe?

Harmonize kuanzia anapojiunga hadi anakuja kuondoka wcb sijawahi kusikikiza nyimbo zake na kum-rate kwa mapana ambayo nyinyi mmekua mkimuongolea

Halafu kingine cha ziada unachopaswa kujua ni kutotumia kipimo cha views kupima ubora wa mashairi alafu kiwango cha views utachopata ndio kiwe hitimisho kujua umahiri wa msanii
Kwanza lazima tukubali kwamba promo ni kitu cha muhimu sana katika kazi yoyote.

Lakini kumbuka pia wasanii kama Alikiba anapewa promo kubwa sana na media kubwa za burudani hapa nchini kuanzia kwenye redio,tv hadi social media zao, kwa nini katika kipindi chote hicho kaja kupitwa na huyu binti ndani ya kipindi kifupi katika digital platforms mbalimbali???

Inakuwaje mtu wanamsifia, wanasema ana kipaji, ana pata promotion kubwa ya media kubwa halafu mwisho wa siku hawasapoti kazi zake mitandaoni???

Ndio maana nasema kazi nzuri inatembea yenyewe. Kama kazi mbovu hata upewe promo ita buma tu.
 
Kwanza lazima tukubali kwamba promo ni kitu cha muhimu sana katika kazi yoyote.

Lakini kumbuka pia wasanii kama Alikiba anapewa promo kubwa sana na media kubwa za burudani hapa nchini kuanzia kwenye redio,tv hadi social media zao, kwa nini katika kipindi chote hicho kaja kupitwa na huyu binti ndani ya kipindi kifupi katika digital platforms mbalimbali???

Inakuwaje mtu wanamsifia, wanasema ana kipaji, ana pata promotion kubwa ya media kubwa halafu mwisho wa siku hawasapoti kazi zake mitandaoni???

Ndio maana nasema kazi nzuri inatembea yenyewe. Kama kazi mbovu hata upewe promo ita buma tu.
Umeongea point mzee
 
Kwanza hujaonesha wapi nilisema "hana talent anabebwa"

Pili hata hapa kuna kosa umelifanya ambalo ukiulizwa huwezi kulitolea majibu

Ni indicators gani zimekufanya uhisi namuongelea mtu ambaye simjui?

Hii pia inatosha kuthibitisha kwamba hujui kuzingatia unachosoma
Ikiwa promo kubwa ndio inabeba msanii mbona Alikiba akui?
 
Hakui kama nani?

Unamlinganisha na nani kujua kwamba huyu hakui?

Hakui katika nyenzo zipi? Na zipi sababu?
Kwenye hatua za mziki kiba Sasa hiv kazidiwa hata na harmonize japo alikuwa anapewa promo kubwa
 
Kwanza lazima tukubali kwamba promo ni kitu cha muhimu sana katika kazi yoyote.

Lakini kumbuka pia wasanii kama Alikiba anapewa promo kubwa sana na media kubwa za burudani hapa nchini kuanzia kwenye redio,tv hadi social media zao, kwa nini katika kipindi chote hicho kaja kupitwa na huyu binti ndani ya kipindi kifupi katika digital platforms mbalimbali???

Inakuwaje mtu wanamsifia, wanasema ana kipaji, ana pata promotion kubwa ya media kubwa halafu mwisho wa siku hawasapoti kazi zake mitandaoni???

Ndio maana nasema kazi nzuri inatembea yenyewe. Kama kazi mbovu hata upewe promo ita buma tu.
Ok
 
Huyu dada katoa ngoma nyingi ila hata moja sijaielewa, nikajua anatubip tu kuna vitu vinakuja...cha kushangaza muda unavyozidi kwenda ndio kama anazidi kutusisitiza hivyo alivyo ndivyo alivyo na tumkubali hivyo hivyo. Naamini hata waliompokea kwa nguvu zote wanakua dissapointed sasa maana ngoma mpya na Mondi nikajua ndo wamemaliza kumbe ndo wanakazia mulemule alimopitia kwenye nyimbo za mwanzo ambazo hata hujui ipi ni ipi zote mulemule na makelele mengi.

Nilianza kupata imani kwenue ngoma ya Karantini ambayo alifanya vizuri japo aliefunika mule ni Queen Darleen na ile verse 'Karantini yangu mi na machizi ni kuparty na usingizi.

Ila tuache utani WCB kama pamoja na kumpika zuchu na tena kumpa collabo na mondi ndio mmetoa project mbovu hivi naanza kuamini sasa hampo serious aisee, nyie hatujawazoea kulipualipua kazi.
Chief kama wewe Hujamwelewa kuna wanao mwelewa sana
 
Kwa mtazamo wangu lavalava yuko talented kuliko hicho kidemu
Unazungumzia kufanya vizuri, mimi nafikiri alifanya vizuri wakati wake mbona nyimbo zililia sana mtaani
Hata isingekuwa hivyo Zuchu ni vile bosi ameamua kutumia nguvu kubwa kumpandisha sababu ndio mgeni, msanii yoyote tu Bosi akiamua kuweka nguvu huko atawika

Mimi sina shida na wasafi, ila hako kadogo hata kukajadili naona nakapaisha tu na nyinyi chawa ndio mnatuponzaga
huyo Diamond kama angekuwa anasikiliza maneno ya watu kama wewe si dhani kama angekuwa amemtoa msanii hata mmoja sasa hivi kwa maana hata mbosso ilikuwa hivi hivi lakini leo yupo mbali.

Hivi unataka useme lavalava yupo level moja na mbosso au rayvanny hivi sasa???

Lady jay dee anapewa promo kubwa na clouds hivi karibuni, mbona hatrend kama zuchu??? Au mondi ni zaidi ya clouds???

Anyways,Sikupangii cha kuongea ila maneno kama"kidemu","chawa",sio mazuri kuyatumia kwa mwanadamu mwenzako ambaye hata hakujui zaidi ni kujitafutia laana tu.
 
Kwakweli wasafi ni jina kubwa mi nilikua nalichukulia poa, ila kwa zuchu ndo nimeamini jina la wasafi lina nguvu mno
Mbn Kuna queen darling Kuna lava lava lkn wanaukubwa gani na wapi wcb, think again
 
Back
Top Bottom