Mnaomuonea wivu Majaliwa ( maja mnyama ) ajira ya zimamoto ni ya kawaida sana

Mnaomuonea wivu Majaliwa ( maja mnyama ) ajira ya zimamoto ni ya kawaida sana

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Nimekuwa nikifuatiria toka kijana mdogo alivyopewa ajira kwenye kikosi cha zimamoto kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiongea saana, na wengine wamefikia kusema kijana wamempoteza tu ilitakiwa aulizwe anataka nini apewe na asepe.

Jamaani ukweli ni kuwa ajira ya zimamoto ni ya kawaida sana acheni kumuonea wivu kijana wa watu, ajira mpya niko nao hapa na wengine wanakopa supu ya buku jero kwa mama ntilie, punguzeni chuki, wivu na husda japo hizi ni sifa za waswahili na watu masikini ( dhaiful hal).
 
Aisee rudi shule ujifunze namna ya kufikisha ujumbe kwa jamii. Ulichoandika hakieleweki. Unachanganya wasomaji. Haijulikani kama unaunga mkono kijana kupewa ajira ya zimamoto au la. Una muda wa kuedit ili usomeke vizuri.
 
Nimekuwa nikifuatiria toka kijana mdogo alivyopewa ajira kwenye kikosi cha zimamoto kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiongea saana, na wengine wamefikia kusema kijana wamempoteza tu ilitakiwa aulizwe anataka nini apewe na asepe...jamaani ukweli ni kuwa ajira ya zimamoto ni ya kawaida sana acheni kumuonea wivu kijana wa watu, ajira mpya niko nao hapa na wengine wanakopa supu ya buku jero kwa mama ntilie, punguzeni chuki, wivu na husda japo hizi ni sifa za waswahili na watu masikini ( dhaiful hal).........
KWA ULIVYOANDIKA, HAKI YA MUNGU HUJAENDA SHULE! 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
Aisee rudi shule ujifunze namna ya kufikisha ujumbe kwa jamii. Ulichoandika hakieleweki. Unachanganya wasomaji. Haijulikani kama unaunga mkono kijana kupewa ajira ya zimamoto au la. Una muda wa kuedit ili usomeke vizuri.
Haeleki kabisa huyu jamaa.
 
Back
Top Bottom