Mnaonaje hii combination ya Seki, Babalevo, OK na Adela ndani ya Wasafi FM?

Sory hapo kwenye title ok ndo inamaanisha orest kawau au?
Huenda nimekurupuk kumbe[emoji85]
Ni kweli OK ndiye Orest Kawau. Kama anavyopenda kujiita mwenyewe Mr. OK
 
Naikumbuka ila kipaji chake kilianza kuonekana kipindi anaigiza Mambo hayo na akina JB,Bishanga,Waridi baadaye ndipo akawa mtangazaji wa kipindi cha City Sound,then the comedy now mtangazaji Wasafi Fm.
point yangu ni kuwa vipind vyake vinahiti ila vikipotea ndo hakuna njiw ya kuvirudisha



enzi za mambo hayo... yeye alikuwa na character ya mtoto mtukutu sana, wizi n. k.......kama akina kitale wa sku hiz...
je anashindwaje kui brand idea zake
 
Shida ni baba levo! Utani sio kila mahali na uandishi wa habari kuna kipaji na kusoma na ueweledi
 
OK ana vocal safi sana From Magic.

Adela Tillya kashakimbia Efm Doooooh

Seki Namkubali sana kwenye Utangazaji ana Ucomedy flan "amazing".

Baba Levo anaongea sana yupo vizuri safi perfect kombo.
 
mbona wote ni wa kawaida sana hao tena adela mweupe kabisa kichwani ndio maana wakamtoa kile kipindi cha joto la asubuhi na nafasi yake kuchukuliwa na irene kilenga
 
kumbe ndo mana kila nikiweka magic nakutana na hawa watoto wa kubana pua wanasifu na kuabudu muda wote
Magic na channel10 zimekuwa za kithenge sana tanga zilipotangazwa kuwa chini ya mafisadi wa ccm
 
Hiyo Baba Levi akishinda Udiwani atatumikiaje mabwana wawili
Udiwani upi wakati alishakaangwa hukuona video alipost kuna mtendaji anaitwa mariam huko kigoma ni kauzu yaani babalevo na ubabe wake alipost analia kama kabanwa mbupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…