nshafunga ndoa mie nina miaka kadhaa sasa na watoto tele ninao ila siku nilipokuwa nafunga ndoa mama alirudi tena na ile theme yake ya usafi na nguo nyeupe akataka nivae gauni la cream ila mume wangu akakataa akasema vaa white tupendeze waifu basi ikawa hivo maybe kwenye annivessary ya miaka kadhaa hv ntavaa cream au pikn
hapo uliwadanganya mashahidi,iyo rangi ya cream au pink itamaanisha nn?
heheee that will be out of white doa tayari have no special meaning lol. Hv na wanaume? Kuvaa suti na shati jeupe wale wanaovaa shati za rangi inakuweje? au suti pia ilitakiwa iwe white? au wao hawana kipima joto?
hahaaaa kuonesha kwamba ukuta wa berlin ulishavunjwa na damu ikamwagika.......lol....
Hiyo inaonyesha nimekamilika.... Ukuta uwepo mpaka age hii kwani nina mkosi gani mie??
What if hiyo bikira alionjeshwa bwana harusi ikiwa sehemu ya ku-seal contract?
Pamoja na yote hayo tukubali tu kiroho safi kua white inapendeza bana inamfanya bibi harusi anashine, habari za kuvaa rangi za kizee nani anataka??hata wale ambao dini inawataka kuvaa za rangi nyingine siku hizi nao wanavaa white unafanya mchezo?!
Huku kwetu wenye mimba wanavaa la blue,asie bikra la khaki,mcharuko red,aliyewahi kuolewa before black!
kumaanisha imeshatumika sana au?lakini hata hilo gunia lisiwe la rangi nyeupe tafadhali.
hiyo ilitakiwa iwe zawadi ya ushindi kwa atakayechukua jumla,sas umewaachia kunguru wameambaaa nayo,unajua vile bwana atajisikia fahari na kukupenda zaidi endapi yeye ndie atakuwa amekivunja kikombe yeye mwenyewe,sasa vile unakuwa ile seal imeondolewa inaonyesh ulikuwa mpiga gemu mahiri so hata bwana anakuwa sio mwenye upendo mwingi......nataka kikombe nivunje mimi mwenyewe.......
Mwanzoni nilikuwa najiuliza kwanini asilimia kubwa ya Mabibi harusi huvaa gauni jeupe na si vinginevyo?katika kutaka kujua hilo;nikawauliza baadhi ya watu na majibu yao yalifanana,walisema hivi;NGUO NYEUPE HUMMANISHA KWAMBA BI HARUSI BADO NI MSAFI/HANA DOA NABADO ANAO USICHANA WAKE (BIKIRA) AMBAYO NI ZAWADI KWA BWANA".Sasa hali ilivyo siku hizi watu hufunga ndoa wakishakuwa wamechakachuana na usichana unakuwa umeondoka,tena wengine hufunga ndoa wakati tayari wakiwa na watoo au wajawazito.Je kuna maana yeyote ya kuendelea kutumia gauni jeupe kwa tafsiri hiyo hapo juu?
Sio tu hivyo unakuta mwanamke anafanyiwa send off wakati alikua anaishi na mwanaume why? Hivi wabongo mnajua maana ya send off lakini? Hii ilikua miaka ile ya zamani wakati msichana anaishi kwa wazazi wake mpaka siku ya harusi bt siku hizi unakuta couples zinaishi pamoja miaka 5 afu eti msichana anafanyiwa send off ni unafiki mtupu
thanx 4 ua truthnessNi kweli hata mm nlishawahi muuliza mama yangu kwann tunavaa mashati ya shule meupe wakati huo niko primary akaniambia inamaanisha kwamba bado ni msafi hata ukifika A level bado unatakiwa kuwa msafi. Kwa sie wakristo tunapopata kipaimara tunavaa magauni meupe mm nikamuomba mama anishonee la rangi ya light either pink au blue ili niweze kulivaa hata siku nyingine kwenye sherehe kwani gauni jeupe linaonekana rasmi sana ukivaa kama hamna shuhuli maalum(harusi au kipaimara) watu wanakushangaa balaa akasema hapana hili gauni jeupe bado linaonesha wewe ni msafi so nikavaa gauni jeupe frm there nilitunza huo weupe na nilijiapiza kutoutoa au kuweka doa hadi niolewe. Nilifanikiwa kumaliza A level baada ya hapo lol nilizidiwa akili na maarifa doa likaingia kuanzia hapo hadi nilipofika chuo loooh!
haki gani tena kwani uyo bwana arus atarud kutoa feedbaki?ni siri yao hukohuko ua part z over mtazamo 2 jamanindoa huwa ni ya watu wawili kweli lakini sisi ndio tunaotoa ushuhuda kuwa kweli wawili hao waungana na kuwa mwili mmoja,sas inapofikia mahala sisi mashahidi tunaamini kuwa bwana usiku huo baada ya ndoa ataenda kufaidi usichana wa mke wake usiku ule wa honey moon ilihali binti alishabemendwa siku nyingiiiii,hapo mnakuwa hamtutendei haki kabisaaaa.....
hiyo ilitakiwa iwe zawadi ya ushindi kwa atakayechukua jumla,sas umewaachia kunguru wameambaaa nayo,unajua vile bwana atajisikia fahari na kukupenda zaidi endapi yeye ndie atakuwa amekivunja kikombe yeye mwenyewe,sasa vile unakuwa ile seal imeondolewa inaonyesh ulikuwa mpiga gemu mahiri so hata bwana anakuwa sio mwenye upendo mwingi......nataka kikombe nivunje mimi mwenyewe.......
haki gani tena kwani uyo bwana arus atarud kutoa feedbaki?ni siri yao hukohuko ua part z over mtazamo 2 jamani