Mnaonaje tukibadilisha............?

Mnaonaje tukibadilisha............?

mi l,yk post yako sanaaa, tunaonea hapa kha,
wanasahau[
wengi wameolewa na machenza ndoa wameshindwa kuzitunza, na wako kibao wa wameolewa na machungwa na ndoa zinashine balaaa,
halaf, hata makazn cku hz job experience inahusika tena kuanzia miaka mi3 hailalish una mavyet yako.......mpoooooooooooooooooooooo QUOTE=neylu;4344961]Huyo bwana, mi ndio nifanye kazi ya kumuwekea avunje? Yeye kwa nini nae asingeweka chake akivunje siku ya ndoa?? Hahahaaaaaa... Hiyo biashara kwangu haipo.. Wacha tuu wote tuonane wengi wa habari... Na ni huo umahiri wangu wa game ndio unaomfanya anioe... Upo hapo???
[/QUOTE]

caroline kweli jamaa amekuo kwasababu ya uzoefu wa kupiga gemu?na je kuoa mwanamke aliye/asiye bikra kuna correlate na tabia ya mtu?hapa suala la msingi ni ule uhusiano wa nguo nyeupe kwa mwanamke wakati anapofunga ndoa na implied meaning ya kile kilichopo,so can you comment on that?.
 
hivi upendo ni kwenye kudoo tu ndo unadhihirisha sio ? asa vp upande wa bwana harusi ukute asha taste bucha kadha afu akazipiga chini akaamua kumuoa huyu mwali dah yani wanaume bana quite unfair people ,

mungu aliyewaumba wanadamu akawapa ndoa na kuwatunuku wanandoa zawadi kubwa ya furaha ya tendo la ndoa,so tendo la ndoa linaongeza upendo na furaha katika nyumba,we mnyime mzee haki yake uone kama kutakuwa na upendo na furaha humo ndani.
 
kwa hiyo sisi tulio onjana tukitaka kuoana tuvae black coz tayari kwa bibi harusi kuna tundu? Alafu kwa nini mambo mengi ya kindoa yamekaa kumtazama mwanamke tu ok bibi arusi akiwa bikra avae white je kwa nin principle hii imemkalia kimya babu arusi?

suala la msingi pia kujiuliza je mwanaume ana bikira?
 
hahahaaa, umejuaje??
niwe nayo mpaka saa hz kisa nn, kwa kasoro ipi hasa nliyonayooo,
akha bab wee
utawajua tu wasio na bikra, ona wanavyotoka povu..... teh teh... teh.
 
we ushawavunjishia wangapi???, achen kutuonea bwana, yaan nyie kungonoka kabla ruksa, ikiwa sie kosa
sasa huyo mwanamke anaempa mwenzie zawad ya bikra huyo mwanaume ye anampa zawad gan???[
QUOTE=Nakapanya;4342975]hiyo ilitakiwa iwe zawadi ya ushindi kwa atakayechukua jumla,sas umewaachia kunguru wameambaaa nayo,unajua vile bwana atajisikia fahari na kukupenda zaidi endapi yeye ndie atakuwa amekivunja kikombe yeye mwenyewe,sasa vile unakuwa ile seal imeondolewa inaonyesh ulikuwa mpiga gemu mahiri so hata bwana anakuwa sio mwenye upendo mwingi......nataka kikombe nivunje mimi mwenyewe.......
[/QUOTE]

sijawahi kupata bahati ya kumtoa mtu bikra,we unajisikiaje kuitoa bikra yako ya thamani kabla ya ndoa?
 
sawa. ila hujasema status yako ikoje km ulioewaga, uliachwa, bikra, una mimba, nk...funguka ndugu ili tujifunze na kubadilika pia...lol.......!
Mi nimeshabadilika tayari.. Nitavaa gauni la rangi ya damu ya mzee..
 
................neyluuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Huyo bwana, mi ndio nifanye kazi ya kumuwekea avunje? Yeye kwa nini nae asingeweka chake akivunje siku ya ndoa?? Hahahaaaaaa... Hiyo biashara kwangu haipo.. Wacha tuu wote tuonane wengi wa habari... Na ni huo umahiri wangu wa game ndio unaomfanya anioe... Upo hapo???
 
sijawahi kupata bahati ya kumtoa mtu bikra,we unajisikiaje kuitoa bikra yako ya thamani kabla ya ndoa?[/QUOTE]
dah wee kila mzigo unakuta hakuna cha password wala nn ,taste na bucha za ukonga huenda ukapata sealed
 
Kwani we unafikili ubikra ni li ngozi tu UBIKRA WANAMANISHA KUJITUNZA NA VITU VINGINE KIBAO

dah kweli hapo kwenye bold ,ila ujue nn you men i will never live to understand you at what particular time you have a lying toungue , its not that you cheat on us but its like this we give you much trust which you didn't deserve ikiwemo nanhii K mnatumega afu mnasepa ,
 
hapo anakuwa tayari amevunja utaratibu,inatakiwa ile kitu itolewe wakati tayari wameshingia kwenye ndoa,kuvaa nguo nyeupe inatoa ushahidi kwa ndugu,jamaa na marafiki kuwa mtoto wetu ni msafi na anakwenda kumtunuku bikira hiyo mume.

Siku hizi kuna bikra nyingi za kutunukiwa, au anakuwa katunuku zote?
Tafakari, chukua hatua................
 
Mbona unawaonea kinadada tu Nakapanya,mbona huongelei kinakaka,inamaana swala la kukutwa bikra ni la kina dada tu
 
sijawahi kupata bahati ya kumtoa mtu bikra,we unajisikiaje kuitoa bikra yako ya thamani kabla ya ndoa?
dah wee kila mzigo unakuta hakuna cha password wala nn ,taste na bucha za ukonga huenda ukapata sealed[/QUOTE]

kwahiyo huko ndo vipo vya damu?
 
Mbona unawaonea kinadada tu Nakapanya,mbona huongelei kinakaka,inamaana swala la kukutwa bikra ni la kina dada tu

nijuavyo mimi mwanamke peke yake ndo ana bikra na inawezekana kuprove uwepo wake,je kwa mwanaume utaprove vp?
 
Back
Top Bottom