Mm niona hapa mnalalamika tu sijaona anayethibitisha namna wizi unavyofanyika, anayejua jinsi wizi unavyofanyika atujuze. Pia kama unajua oilcom wanaiba kwanini unarudi tena kujaza mafuta hapo? Kama ni mwizi asusiwe.
We na wewe hujielewi. Unasoma comments za watu kabla ya kuComment? Kwa mfano huoni nilivyoComment mimi hatua nilizochukua? Sidhani kama kuna hata mmoja aliyeibiwa na akaendelea kununua mafuta kwao bila kuchukua hatua za kujihami au labda umesoma comments za nani aliyelizwa mara mbili au tatu bila kuchukua hatua?