Hela zilizotumika hapo angejenga ya chini angekuwa keshahamiaNyie mnaongeza sifuri kwenye ujenzi mnatutoa sana kwenye reli hata pesa tunaishia kuhonga badala ya kujenga!
Kuja fundi alinitumia hii picha ya nyumba hapo chini na kuniambia hadi hapo ilipofikia imekula milioni 80,yaani nilitamani hata kumtia makofi!
Tuacheni tabia ya kuongeza sifuri kwenye ujenzi ili uonekane umejenga kwa milioni 200 kumbe umeongeza sifuri kwa mbele!
View attachment 2476704
Kweli hadi hapo ilipofikia ni milioni 80???[emoji276]
Kamwe haiwezi fika hapoMilioni 80 ni nyingi kwa kuandika lakini kwa mahesabu ya ujenzi (ghorofa) basi hapo ni size yake.
Hapo kuna jamvi la ground floor na jamvi la first floor, ring beams na columns (hesabu saruji na vyuma hapo)
Hujaweka cement na mazagazaga kwenye foundation.
Window grills tayari, halafu bado unapiga kelele ya 80?
Acha mambo yako weweMilioni 80 ni nyingi kwa kuandika lakini kwa mahesabu ya ujenzi (ghorofa) basi hapo ni size yake.
Hapo kuna jamvi la ground floor na jamvi la first floor, ring beams na columns (hesabu saruji na vyuma hapo)
Hujaweka cement na mazagazaga kwenye foundation.
Window grills tayari, halafu bado unapiga kelele ya 80?
Siyo kwa hapo kaka😂🤣Milioni 80 ni nyingi kwa kuandika lakini kwa mahesabu ya ujenzi (ghorofa) basi hapo ni size yake.
Hapo kuna jamvi la ground floor na jamvi la first floor, ring beams na columns (hesabu saruji na vyuma hapo)
Hujaweka cement na mazagazaga kwenye foundation.
Window grills tayari, halafu bado unapiga kelele ya 80?
umewahi kujenga wewe?Siyo kwa hapo kaka😂🤣
kwa milioni 80 siyo kweli labda mchanga uwe 90% cement 10%Hiyo ilitakiwa ionekane ivi. Sema fundi Maiko kesha chochora...
mambo gani? Mimi nazungumza practical nyinyi muko kwenye theoryAcha mambo yako wewe
kama hujawahi kujenga huwezi kufanya makisio. Hebu kaulizie bei za vitu kama nondo, saruji na kadhalika uone.Hata kama, hapo labda robo ya hiyo 80
ghorofa inaanza na foundation, au unadhani ni kupanga matofali ndiyo kwisha?Kwahiyo nyie hapo mnaona ghorofa!
wanadhani kujenga ni kutaniaAkae anajua pia gorofa halina udogo!
kwenye ujenzi mil 80 tena wa gorofa siyo hela ya kukaa mtu unalialia.
Ndiyo maana watu hawajengi gorofa hovyo, siyo kwamba hawataki, ila bajeti inabana.
Mfano ukiwa na mil 50 unaweza kujenga nyumba ya kawaida na ukahamia (ila haijakamilika finishing zote).
Tukija kwenye gorofa mil 50 ni kama hela ya siment na nondo peke yake.
Siku mumeo akijenga ulete mrejesho.wanadhani kujenga ni kutania
Ujenzi ni gharama ila 80m hapo haipo, hata 40 tu haipo nakataa, vinginevyo kwa kuwa mtu chake mkubalie.Nyie mnaongeza sifuri kwenye ujenzi mnatutoa sana kwenye reli hata pesa tunaishia kuhonga badala ya kujenga!
Kuja fundi alinitumia hii picha ya nyumba hapo chini na kuniambia hadi hapo ilipofikia imekula milioni 80,yaani nilitamani hata kumtia makofi!
Tuacheni tabia ya kuongeza sifuri kwenye ujenzi ili uonekane umejenga kwa milioni 200 kumbe umeongeza sifuri kwa mbele!
View attachment 2476704
Kweli hadi hapo ilipofikia ni milioni 80???[emoji276]
We ndo ukaulize, huwezi kisia budget ya mil 80 kwa hicho kidude unless hujawahi kujenga. Na ninavyokuambia labda robo yake tu nnamaanishakama hujawahi kujenga huwezi kufanya makisio. Hebu kaulizie bei za vitu kama nondo, saruji na kadhalika uone.