Mnaongeza sifuri kwenye ujenzi!

Mnaongeza sifuri kwenye ujenzi!

Nyie mnaongeza sifuri kwenye ujenzi mnatutoa sana kwenye reli hata pesa tunaishia kuhonga badala ya kujenga!

Kuja fundi alinitumia hii picha ya nyumba hapo chini na kuniambia hadi hapo ilipofikia imekula milioni 80,yaani nilitamani hata kumtia makofi!

Tuacheni tabia ya kuongeza sifuri kwenye ujenzi ili uonekane umejenga kwa milioni 200 kumbe umeongeza sifuri kwa mbele!

View attachment 2476704
Kweli hadi hapo ilipofikia ni milioni 80???[emoji276]
Hela zilizotumika hapo angejenga ya chini angekuwa keshahamia
 
Milioni 80 ni nyingi kwa kuandika lakini kwa mahesabu ya ujenzi (ghorofa) basi hapo ni size yake.

Hapo kuna jamvi la ground floor na jamvi la first floor, ring beams na columns (hesabu saruji na vyuma hapo)

Hujaweka cement na mazagazaga kwenye foundation.

Window grills tayari, halafu bado unapiga kelele ya 80?
Kamwe haiwezi fika hapo
 
Milioni 80 ni nyingi kwa kuandika lakini kwa mahesabu ya ujenzi (ghorofa) basi hapo ni size yake.

Hapo kuna jamvi la ground floor na jamvi la first floor, ring beams na columns (hesabu saruji na vyuma hapo)

Hujaweka cement na mazagazaga kwenye foundation.

Window grills tayari, halafu bado unapiga kelele ya 80?
Acha mambo yako wewe
 
Milioni 80 ni nyingi kwa kuandika lakini kwa mahesabu ya ujenzi (ghorofa) basi hapo ni size yake.

Hapo kuna jamvi la ground floor na jamvi la first floor, ring beams na columns (hesabu saruji na vyuma hapo)

Hujaweka cement na mazagazaga kwenye foundation.

Window grills tayari, halafu bado unapiga kelele ya 80?
Siyo kwa hapo kaka😂🤣
 
Hiyo ilitakiwa ionekane ivi. Sema fundi Maiko kesha chochora...
IMG-20221203-WA0000.jpg
 
Yuko sahihi huwezi jua , tatizo letu tunatumia madarali kwenye kila kitu kwahiyo bei halisi ya hapo alipofikia tumuulize darali wake😂
 
Akae anajua pia gorofa halina udogo!

kwenye ujenzi mil 80 tena wa gorofa siyo hela ya kukaa mtu unalialia.

Ndiyo maana watu hawajengi gorofa hovyo, siyo kwamba hawataki, ila bajeti inabana.

Mfano ukiwa na mil 50 unaweza kujenga nyumba ya kawaida na ukahamia (ila haijakamilika finishing zote).
Tukija kwenye gorofa mil 50 ni kama hela ya siment na nondo peke yake.
wanadhani kujenga ni kutania
 
Nilichogundua humu waongeza sifuri ni wengi sana zote ni sifa za Instagram
 
Mtu anaweza akakwambia fagio tu la nyumba kanunua milioni
 
Nyie mnaongeza sifuri kwenye ujenzi mnatutoa sana kwenye reli hata pesa tunaishia kuhonga badala ya kujenga!

Kuja fundi alinitumia hii picha ya nyumba hapo chini na kuniambia hadi hapo ilipofikia imekula milioni 80,yaani nilitamani hata kumtia makofi!

Tuacheni tabia ya kuongeza sifuri kwenye ujenzi ili uonekane umejenga kwa milioni 200 kumbe umeongeza sifuri kwa mbele!

View attachment 2476704
Kweli hadi hapo ilipofikia ni milioni 80???[emoji276]
Ujenzi ni gharama ila 80m hapo haipo, hata 40 tu haipo nakataa, vinginevyo kwa kuwa mtu chake mkubalie.
 
Kama ni jengo la serikali basi ni sahihi lakini kama ni lako binafsi basi ni 25M haizidi hapo
 
Kuna wajinga wengi sana kwenye hii thread.
Mtoa mada. Fundi wako mjinga, mjinga saana. Mwizi.
Achana na hii thread tafuta fundi akujengee hiyo.
 
kama hujawahi kujenga huwezi kufanya makisio. Hebu kaulizie bei za vitu kama nondo, saruji na kadhalika uone.
We ndo ukaulize, huwezi kisia budget ya mil 80 kwa hicho kidude unless hujawahi kujenga. Na ninavyokuambia labda robo yake tu nnamaanisha
 
Back
Top Bottom